DAMAS DAMIAN
Senior Member
- Apr 8, 2011
- 115
- 54
Arusha inamhitaji Lema kuliko wakati mwingine wowote ule, CCM sahauni tena Arusha, hata chadema ikiweka mtoto mchanga ashindane na.JK mtoto ataibuka mshindi
Mzawa ni nani na wakuja ni nani? Soma katiba ya nchi yetu kama inasema hivyo.....,arusha tumechoka hatuwez kuongozwa na jmbaz anashindwa kutatua matatzo ya wananachi kazi yake nikujipeleka jela na kushnda mahakamani hakuna cha maana alicho tufanyia zaidi ya maandamano,naaondoke hatuwez kuendelea kuongozwa na wakuja wakat wazawa wapo
ivi MIHADHARA ni uwekezaji.haah,haah c.c MatolaVizuri kama wamefanya hivyo mimi mwenyewe tarudi Arusha kuwekeza nilikuwa nahofia fujo na maandamano yasiyokuwa na tija yeyote.
leo nipo ARUSHA,nilipita miaka 4 iliyopita naona mji umezidi kuzorota.
Taka taka
ivi MIHADHARA ni uwekezaji.haah,haah c.c Matola
Hivi Kwanini Makamanda wa CHADEMA mnadharau waislalamu hivi? Mnazidi kutuaminisha kuwa chama chenu kikoje!!!
leo nipo ARUSHA,nilipita miaka 4 iliyopita naona mji umezidi kuzorota.
Hivi Kwanini Makamanda wa CHADEMA mnadharau waislalamu hivi? Mnazidi kutuaminisha kuwa chama chenu kikoje!!!
duh..wanasiasa hakika ni kizazi cha nyoka. ukabila udini rushwa ushirikina etc. hapo mtu anataka kuondoa kisiki.Wanajamvi! Amani idumu Tanzania!
Hizi ni habari zenye uhakika 100% nilizozipata kutoka ndani ya CHADEMA na zikathibitishwa na mmoja wa viongozi wakuu hapa mkoani.
CHADEMA kupitia mwenyekiti wao wameongea na Mbunge wa Arusha mjini Bw Godbless J Lema na kumuomba asigombee tena ubunge wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama hicho.
Habari zaidi zinasema, CHADEMA wamefikia hatua hiyo baada ya kugundua kuwa wakazi wa Arusha mjini hawana tena Imani na Bw.Lema baada ya LEMA kushindwa kutimiza karibia asilimia 98 ya ahadi zake kwa wana Arusha, Kwahiyo kama angegombea angeshindwa vibaya na hivyo kuwa ni aibu kwa chama hicho, ukichukulia kuwa wameshatangaza kuwa Arusha mjini ni ngome yao.
Suala lingine lililosababisha CHADEMA kumuondoa LEMA ni hili la wanachama wengi wa CHADEMA ambao nao ni viongozi katika ngazi za chini kuonyesha wazi kupingana na uongozi wa Mbunge huyu! Kwa mfano kijana wa CHADEMA siku nyingi Bw.Noel Ole Veroya kutangaza Nia ya kumn'goa LEMA Arusha. Hali hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na siasa za fujo alizosiasisi Ndg.Lema.
Suala la Ukabila nalo Limechukua nafasi yake, kwani Bw.Noel ametajwa kuwa ni mzawa wa Arusha huku Godbless LEMA akishawishiwa akagombee Jimbo la HAI(Nyumbani kwao) kwani Mbowe anatarajiwa kuhamia jimbo la Moshi mjini.
Pia CHADEMA imemtoa wasiwasi Bw.LEMA kwamba iwapo atakosa nafasi ya Ubunge watampa cheo kama kile cha NAPE, kwahiyo hatakufa njaa hapa mjini.
Wapiga Kura wengi wa Arusha mjini wamefurahishwa na habari hizi kwani wengi wao wamechoshwa na vituko vya Mh.LEMA na sasa wanataka maendeleo.
Wanajamvi! Amani idumu Tanzania!
Hizi ni habari zenye uhakika 100% nilizozipata kutoka ndani ya CHADEMA na zikathibitishwa na mmoja wa viongozi wakuu hapa mkoani.
CHADEMA kupitia mwenyekiti wao wameongea na Mbunge wa Arusha mjini Bw Godbless J Lema na kumuomba asigombee tena ubunge wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama hicho.
Habari zaidi zinasema, CHADEMA wamefikia hatua hiyo baada ya kugundua kuwa wakazi wa Arusha mjini hawana tena Imani na Bw.Lema baada ya LEMA kushindwa kutimiza karibia asilimia 98 ya ahadi zake kwa wana Arusha, Kwahiyo kama angegombea angeshindwa vibaya na hivyo kuwa ni aibu kwa chama hicho, ukichukulia kuwa wameshatangaza kuwa Arusha mjini ni ngome yao.
Suala lingine lililosababisha CHADEMA kumuondoa LEMA ni hili la wanachama wengi wa CHADEMA ambao nao ni viongozi katika ngazi za chini kuonyesha wazi kupingana na uongozi wa Mbunge huyu! Kwa mfano kijana wa CHADEMA siku nyingi Bw.Noel Ole Veroya kutangaza Nia ya kumn'goa LEMA Arusha. Hali hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na siasa za fujo alizosiasisi Ndg.Lema.
Suala la Ukabila nalo Limechukua nafasi yake, kwani Bw.Noel ametajwa kuwa ni mzawa wa Arusha huku Godbless LEMA akishawishiwa akagombee Jimbo la HAI(Nyumbani kwao) kwani Mbowe anatarajiwa kuhamia jimbo la Moshi mjini.
Pia CHADEMA imemtoa wasiwasi Bw.LEMA kwamba iwapo atakosa nafasi ya Ubunge watampa cheo kama kile cha NAPE, kwahiyo hatakufa njaa hapa mjini.
Wapiga Kura wengi wa Arusha mjini wamefurahishwa na habari hizi kwani wengi wao wamechoshwa na vituko vya Mh.LEMA na sasa wanataka maendeleo.