Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
Wakuu, katika mwendelezo wa sarakasi nimemsikia Mbowe akidai watamfikisha mahakamani Mkumbo (RPC?) ili ajue gharama za kumweka Lowassa Mwanza. Watataka CHADEMA walipwe gharama za kumweka Lowassa siku nane. Wakati rais Magufuli akibana matumizi, NGO zinazojitambulisha Kama vyama vya siasa zinatafuta mianya ya kupigia pesa. Hawa ndio wapinga ufisadi!!?
Kwani hizo gharama wanamdai kivipi RPC kwani yeye ndio alimuandikia barua Lowasa aende akaishi Mwanza muda wote huo? Huu utoto! Kwani Lowasa ndio alikuwa muombolezaji pekee? Mbowe mpiga.dili sana.