CHADEMA kumshitaki Mkumbo mahakamani

CHADEMA kumshitaki Mkumbo mahakamani

Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?

Anzisha thread nyingine. Ujitahidi kuwa na adabu kwenye thread za wenzio
 
Wakuu, katika mwendelezo wa sarakasi nimemsikia Mbowe akidai watamfikisha mahakamani Mkumbo (RPC?) ili ajue gharama za kumweka Lowassa Mwanza. Watataka CHADEMA walipwe gharama za kumweka Lowassa siku nane. Wakati rais Magufuli akibana matumizi, NGO zinazojitambulisha Kama vyama vya siasa zinatafuta mianya ya kupigia pesa. Hawa ndio wapinga ufisadi!!?

Inaelekea hujui kuwa mahakama ilithibitisha kuwa RPC alikosea. Maana yake waliopeleka shauri mahakamani wana haki kudai fidia ili aliyesababisha wao kuingia gharama awajibi na ajifunze asirudie tena. Unadhani hili nalo ni la ushabiki wa kisiasa?
 
Kudai fidia ni haki. Ukitaka usidaiwe usilete usumbufu usiofuata sheria.
Mkuu, kwani aliyefungua kesi ni chadema ama baba mdogo wa Alphonce Mawazo? Nani hasa mwenye mamlaka ya kudai fidia?
 
Mkuu, kwani aliyefungua kesi ni chadema ama baba mdogo wa Alphonce Mawazo? Nani hasa mwenye mamlaka ya kudai fidia?
Huyu Mbowe ana akili finyu sana. Yaani kesi ifunguliwe na baba mdogo wa marehemu Mawazo yeye Mbowe anataka kuchuma mkwanja kihivihivi, bila hata aibu?
 
Ni nakwambia kamanda Mbowe ni mhuni tu na mbinafsi. Atashurutishaje wabunge wachangie kwa mtoto wa Mawazo bila ridhaa yao.!??? Yaani kafanya maamuzi tu ya kihuni huni. Sio zama zake hizi.
Je watoto wa Chacha Wangwe mbona wamtupwa kule
Je watoto na familia na Mwangosi mbona imetelekezwa? ?
Je mbona familia na dr Mvungi imetelekezwa? ?
Je mbona wapo wahanga wengi wa siasa ambao wametangulia mbele ya haki kwa ajili ya kutetea ukawa na chadema mbona wametelekezwa? ??
Kwa nini iwe kwa Mawazo? ??? Na kuamua kuwalazimisha wabunge, wengine ni wapyaaa hata hawataki biashara ya kupelekeshana kama hiyo? ?

Nina maswali ya kuuliza juu ya maswali yako.
Watoto wa Chacha Wangwe wamekuambia hawajasaidiwa na chama? Au ukiwa na wadhifa fulani basi wanao watasaidiwa maisha yao yote?
Mwangosi ametelekezwa? Kwani alikuwakiongozi wa chama? Hivi mlimuua kijana wa watu kwa vile mlidhani ni Mwanachadema?
Dr Mvungi alikuwa mwanachama wa Chadema? Maana topic hii inahusisha kiongozi wa Chadema.
Kwa nini iwe Mawazo? Hilo ni la kujiuliza? Jibu ni kuwa Kauwawa akiwa anatekeleza majukumu yake ya kisiasa hivyo lazima akumbukwe. Ni kama anavyokumbukwa Dr. Kleruu (ambaye sina hakika kama unamfahamu) aliyeuawa akitekeleza majukumu yake ya kisiasa 1972. Wapo ma RC wengi wamekufa tokea 1972,lakini kwa nini hawakumbukwi kama Kleruu?
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?

Sisi wana ukawa tulitaka kujua,pilipili ya shamba yakuwashia nin?
Wangefanya kimya kimya mngelete midomo mbelembele kuwakashifu kuwa wamemtenga marehem na familia yake,mjinga kabisa!
 
Huyu Mbowe ana akili finyu sana. Yaani kesi ifunguliwe na baba mdogo wa marehemu Mawazo yeye Mbowe anataka kuchuma mkwanja kihivihivi, bila hata aibu?

baba mdogo,alitumika kama njia tu,"mlango wa nyuma",ila wenye kesi ni chadema!nadhani uliiona safu ya wanasheria!hyo kesi ni 100% chadema case!
 
Ni nakwambia kamanda Mbowe ni mhuni tu na mbinafsi. Atashurutishaje wabunge wachangie kwa mtoto wa Mawazo bila ridhaa yao.!??? Yaani kafanya maamuzi tu ya kihuni huni. Sio zama zake hizi.
Je watoto wa Chacha Wangwe mbona wamtupwa kule
Je watoto na familia na Mwangosi mbona imetelekezwa? ?
Je mbona familia na dr Mvungi imetelekezwa? ?
Je mbona wapo wahanga wengi wa siasa ambao wametangulia mbele ya haki kwa ajili ya kutetea ukawa na chadema mbona wametelekezwa? ??
Kwa nini iwe kwa Mawazo? ??? Na kuamua kuwalazimisha wabunge, wengine ni wapyaaa hata hawataki biashara ya kupelekeshana kama hiyo? ?

Ficha upumbavu wako!Mbowe alisema wabunge wa Ukawa wamekubaliana sasa wewe unaleta taarabu na mipasho ya vibarazani hapa,jinga kabisa!Huyo Mwangosi aliyeuawa na polisi alikuwa mwandishi,iulize serikali yako imefanya nin shwain wewe!
 
Mpumbavu nyumbu wewe, kudai fidia eti sababu kumweka Lowassa Mwanza ni gharama kubwa ni upuuzi uliopitiliza. Nyumbu weee

We juha weka akiba ya maneno,wakishinda kesi utaongea nin!?
 
baba mdogo,alitumika kama njia tu,"mlango wa nyuma",ila wenye kesi ni chadema!nadhani uliiona safu ya wanasheria!hyo kesi ni 100% chadema case!
Kisheria haiko hivyo. Hiyo ni kesi ya baba mdogo wa marehemu Mawazo na si vinginevyo. Hayo madai ya Mbowe hayawezi kutambulika kisheria.
 
Less judicator. Kesi imeshaamuliwa mahakamani. Walichochemka mawakili wa CHADEMA ni kutojumuisha ombi la kulipwa gharama na kuendesha kesi na usumbufu uliojitokeza.

Les =Res.
Unaielewa vizuri hiyo principle? Maana ulichoandika ni tofauti na uhalisia.
 
Less judicator. Kesi imeshaamuliwa mahakamani. Walichochemka mawakili wa CHADEMA ni kutojumuisha ombi la kulipwa gharama na kuendesha kesi na usumbufu uliojitokeza.

Good point Lubebenamawe,

ila kama chadema wangetumbukiza hilo la kumvisha hilo tairi la motto RPC la kulipia gharama jaji angetafuta namna ya kumkwepesha na zigo hilo maadam sasa mahakama imekiri kuwa RPC kachemsha sasa ndio wakati mzuri wa kumvesha tairi hilo la moto.
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?
Na wale watoto wa Mwangosi nao bado wanasomeshwa?
 
Kama mbowen skate ni mwenyekiti wa chadema ameona ana haki kwenda mahakamani kuna kosa gani... Stop bringing your stupidity.
 
Hawa wauaji wanaweza kushauri nb kuhusu chadema?? Waacheni waendelee kua ,wamefurahi sana kwa kifo hiki ..ila wakumbuke na wao watakufa, fidia ipo kisheria na hawa wauaji hawawez kuizuia wao kazi yao ni kuja na kuanzisha majungu huku ..ukiona mtu yeyote anashangilia ujue ndiye kaua....
 
Na maguful alishndwa nn kukaa kimya mpaka atangaze kaokoa pesa za sherehe ya wabunge, wakat pesa zenyewe ni michango ya Mashrka ya umma, uoni ni aibu kwa rais wa nch kuleta mbwembwe kwa ajili ya 250M, wakat watu wanapiga maescrw kwa kuchekacheka

Akiri za kitoto hizi eti kwa vile kakojoa acha na mie nitoe kangu ..hivi mnaelewa hata maana ya kuwa rais? tuanze na familia yako labda, kuna mtu aliwahi kuwa rais wa nchi kutoka kwenu?
 
Akiri za kitoto hizi eti kwa vile kakojoa acha na mie nitoe kangu ..hivi mnaelewa hata maana ya kuwa rais? tuanze na familia yako labda, kuna mtu aliwahi kuwa rais wa nchi kutoka kwenu?

Jibu hoja acha kutoa povu ..nyie ndo watuhumiwa wa kumua mawazo .....acheni chadema wahangaike kutafuta haki zake...kaeni kimya
 
Nafuu huyo aliyetangaza kuchanga fedha za kumsomesha mtoto wa marehemu kuliko yule aliyetangaza kumtibu Ray C kwa kuelemewa na madawa ya kulevya yaani TEJA huku waliomsababishia uTEJA huo wakiachwa wakiendelea na biashara hiyo.

mkuu pokea like 100000 toka kwangu. weekend njema
 
Wanachofanya Chadema ni kuidhalilisha familia ya Mawazo kila kitu wanachowafanyia wanawatangazia wananchi.

Wasingesema vipi mngeulizia au msingeulizia?. Akili za magambaz zimejawa na ganzi tupu azi sense kitu aisee.
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?


Halafu wewe jamaa mim nawasiwasi sana ufahamu wako! Unakurupuka tu bila hata kutafakari.

Eti unajiita masters degree holder! Ufahamu wenyewe hata drs la saba anakuzidi.
Kuna msemo unasema hivi, "mpumbavu akikaa kimya huonekana mwenye hekima" Jaribu basi kukaa kimyaa ili ufiche aibu yako.
 
Back
Top Bottom