CHADEMA kumshitaki Mkumbo mahakamani

CHADEMA kumshitaki Mkumbo mahakamani

Wakuu, katika mwendelezo wa sarakasi nimemsikia Mbowe akidai watamfikisha mahakamani Mkumbo (RPC?) ili ajue gharama za kumweka Lowassa Mwanza. Watataka CHADEMA walipwe gharama za kumweka Lowassa siku nane. Wakati rais Magufuli akibana matumizi, NGO zinazojitambulisha Kama vyama vya siasa zinatafuta mianya ya kupigia pesa. Hawa ndio wapinga ufisadi!!?
Hizo siku nane za kukaa mortuary,nani alimwambia aende si angesubiri kwanza hukumu,naona leo kafurahi baada ya kuona ''mafuriko''teh teh
 
Wakuu, katika mwendelezo wa sarakasi nimemsikia Mbowe akidai watamfikisha mahakamani Mkumbo (RPC?) ili ajue gharama za kumweka Lowassa Mwanza. Watataka CHADEMA walipwe gharama za kumweka Lowassa siku nane. Wakati rais Magufuli akibana matumizi, NGO zinazojitambulisha Kama vyama vya siasa zinatafuta mianya ya kupigia pesa. Hawa ndio wapinga ufisadi!!?

magufuli hataki kuchezea hela za serikali za uma sasa lowasa anatumia hela ya nani na wewe mbowe unatakiwa ulipe kodi za ulizouza chama
 
Ni nakwambia kamanda Mbowe ni mhuni tu na mbinafsi. Atashurutishaje wabunge wachangie kwa mtoto wa Mawazo bila ridhaa yao.!??? Yaani kafanya maamuzi tu ya kihuni huni. Sio zama zake hizi.
Je watoto wa Chacha Wangwe mbona wamtupwa kule
Je watoto na familia na Mwangosi mbona imetelekezwa? ?
Je mbona familia na dr Mvungi imetelekezwa? ?
Je mbona wapo wahanga wengi wa siasa ambao wametangulia mbele ya haki kwa ajili ya kutetea ukawa na chadema mbona wametelekezwa? ??
Kwa nini iwe kwa Mawazo? ??? Na kuamua kuwalazimisha wabunge, wengine ni wapyaaa hata hawataki biashara ya kupelekeshana kama hiyo? ?

"Tulikaa kikao wabunge wa chadema tukakubaliana kila mmoja atachanga laki tatu itakuwa 33,000,000 kwa ajili ya familia ya mawazovna zitawekwa kwenye account maalumu km tutakavyoshauriana na familia"By Mbowe,mwisho wa kunukuu.

Hicho unachosema amelazimisha umekitoa wapi wee kenge kasoro mkia?
 
Ni nakwambia kamanda Mbowe ni mhuni tu na mbinafsi. Atashurutishaje wabunge wachangie kwa mtoto wa Mawazo bila ridhaa yao.!??? Yaani kafanya maamuzi tu ya kihuni huni. Sio zama zake hizi.
Je watoto wa Chacha Wangwe mbona wamtupwa kule
Je watoto na familia na Mwangosi mbona imetelekezwa? ?
Je mbona familia na dr Mvungi imetelekezwa? ?
Je mbona wapo wahanga wengi wa siasa ambao wametangulia mbele ya haki kwa ajili ya kutetea ukawa na chadema mbona wametelekezwa? ??
Kwa nini iwe kwa Mawazo? ??? Na kuamua kuwalazimisha wabunge, wengine ni wapyaaa hata hawataki biashara ya kupelekeshana kama hiyo? ?

KAZI YA NYUMBU WADOGO NI KUFATA NYUMBU MKUBWA ANACHOTAKA,,,,By Nyumbu38@yahoo.com
 
Nafuu huyo aliyetangaza kuchanga fedha za kumsomesha mtoto wa marehemu kuliko yule aliyetangaza kumtibu Ray C kwa kuelemewa na madawa ya kulevya yaani TEJA huku waliomsababishia uTEJA huo wakiachwa wakiendelea na biashara hiyo.

JF wafanye mpango wa kurudisha kile kitufe cha like,

Asante sana mkuu
 
wewe BABELI NDI MHUNI UNAYEPIKA HABARI
Nani alikwannbia kuwa wabunge walishuritishwa mhuni Babeli?? hayo yalikuwa makubaliano ya kikao cha wabunge wenyewe

NAifahamu familia ya chacha wangwe nani aliyekwambia familia yake imetelekezwa mhuni Babeli na majibu yake umeyaona kwenye uchaguzi wana Tarime wameipa nini chadema unafikiri cdm imtelekeze familia yake halafu leo wana Tarime waipe zawadi ya jimbo cdm grow up babeli.

Mwangosi anausika vipi na cdm ?? hakuwa mfanyakakzi wao wala mpiga debe wao lakini wameaidi kusoma mtoto wao wake kwa hiyari yao wenyewe ujue kuwa cdm ni chama chenye utu, mwangosi alikuwa mwajili wa channel 10

Dr.Mvungi hakuwa mwajiiliwa wa cdm wala hakuwai kufanya kazi cdm sasa sijui wana usika vipi na issue yake mpaka anakufa mvungi alikuwa mwajiliwa wa serikali kwahiyo inawajibia naye hapa pameonyesha uenda babeli kichwa yako haijakaa sawa.
kwanini iwe kwa mawazo tu??
Mawazo alikuwa ni kiongozi na mtumishi wa chadema amefia kazini ameacha mtoto mmoja halafu hutako achangiwe ili upige kelele kwanini hakuchangiwa next time uliza kabla ya kuanza kutoa madai yako ya ajabu kama haya ya kulazimisha wabunge
Politiki nikuulize.
Wabunge ambao watachangia ni wa chadema pekee au itahusisha ukawa? ?
Kama ni suala la ukawa basi Dr Mvungi alikuwa nccr linamuhusu.
Mwangosi alikuwa mtumishi wa channel 10 lakini alikua .wanachama wa chadema!
Chacha wangwe familia wametelekezwa.! Habari ndio hiyo. Na tunajua kwa nini wametelekezwa.
Suala la kushinda tarime lilikuwa ni juhudi binafsi ya mbunge na sio sababu ya chadema. Mbona Musoma mjini tumepigwa chini? ? Ni sawasawa na ushindi wa Magufuli ni kwa sababu yeye binafsi alishajenga uaminifu kwa wananchi kwa utendaji kazi wake. Lakini sio sababu ya ccm. Ndio maana Lowasa alipigwa chini sababu hana rekodi ya uaminifu na maadili katika utendaji wake serikalini.wananchi hawamuamini kabisa!
Politiki elewa hivyo. Una hoja? ?
 
Mpumbavu nyumbu wewe, kudai fidia eti sababu kumweka Lowassa Mwanza ni gharama kubwa ni upuuzi uliopitiliza. Nyumbu weee

Mapovu yote ya nini? Unadaiwa kodi na Baba mwenye nyumba?
 
Wanachofanya Chadema ni kuidhalilisha familia ya Mawazo kila kitu wanachowafanyia wanawatangazia wananchi.
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?
Mjinga daima hupenda kusifiwa lazima aseme kwa watu ili aonekane.
 
magufuli hataki kuchezea hela za serikali za uma sasa lowasa anatumia hela ya nani na wewe mbowe unatakiwa ulipe kodi za ulizouza chama

Acha ujinga wako pia unaonekana unaelementi za ........ Kishg.....kaaaaa pili angekuwa kaka yako je ungeropoka ujinga huuuu au ni ujuha usiyo na kipimo
 
Back
Top Bottom