Je hao maofisa usalama na police walifanya juhudi gani saaana ya kuhakikisha wahusika wote wanakamatwa na kupelekwa mahakamani au cdm walivyosema wanamkanda basi nao wakaishia hapo hapo bila kufanya kazi yao wanayolipwa mshahara otherwise tuwape CDM kazi ya kuipatia serikali police na wanausalama bora zaidi.kuna sheria ya kuhusu watu wanaoficha ushahidi wa uhalifu makusudi,hiyo sheria itumike kuwaweka lokapu hao watakaopeleka huo mkanda,waulizwe kwanini wameficha ushahidi wa mauaji kwa miezi yote hiyo,mpaka wahalifu waweza kuwa wametokomea?.
ndo maana mi husema hawa jamaa ni wahuni,
Hata msemeje ccm ni Chama dume na tutashinda hata kwa goli la mkono
Hiyo authority nayo imekuja na jibu gani kuhusu sakata hilo....pia dhana ya kujilinda mipaka yake inaishia wapiAcha blah blah wewe, hiyo kazi ya upelelezi mlipewa kwa authority gani?
Nawashauri mkaikabidhi ujeruman alikokuwa kikongwe wenu
Ila atambue inshu ya ushoga hapa tz ilishapigwa chini so asipokee misaada kwa kuwadanganya kuwa atairudisha hapa bongo...imekula upande wake hiyo...unatafuta misaada ili kuuza nchi?? Halafu eti naye anataka urais wakati hata familia yake imemshinda!!!kaishia kusingizia watu walinz wake eti wanataka kumuua?? Shame on babuuu
Wajinga hawa cd gani kama wangekuwa na utu na uchungu na watanzania kwanini hawjakabizi siku zote.
Baada ya Serikali ya CCM kukataa kuunda tume ya Kijaji ili wakabidhiwe CD ya mauaji Soweto, Sasa CHADEMA wameamua kuwa wataikabidhi serikali CD hiyo muda wowote kuanzia leo.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA wakiwa wanahitimisha kampeni za uchaguzi wa Madiwani mjini Arusha, Watu wanaosadikiwa kuwa ni maafisa usalama wanashukiwa kuwa walirusha Bomu kwenye mkutano huo na kusababisha mauaji.
Sasa baada ya cdm kuomba Serikali kuunda tume huru ya kijaji Serikali ilikataa kufanya hivyo ikihofia kuumbuka kwa tukio lile.
Tutarajie nini baada ya CD hiyo kutolewa?.
Hata msemeje ccm ni Chama dume na tutashinda hata kwa goli la mkono