Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuwataarifu viongozi wake, wanachama, na umma kwa ujumla kuwa tarehe 3 Juni 2025, Chama kitafanya kikao cha dharura cha Kamati Kuu.
Pia, Soma: CHADEMA kuijadili barua ya Msajili Juni 3.2025
Kikao hicho kitaanza saa 3:00 asubuhi na kitafanyika katika Makao Makuu ya CHADEMA yaliyopo jijini Dar es Salaam.
Pia, Soma: CHADEMA kuijadili barua ya Msajili Juni 3.2025
Kikao hicho kitaanza saa 3:00 asubuhi na kitafanyika katika Makao Makuu ya CHADEMA yaliyopo jijini Dar es Salaam.