Tatizo njaa na cheap poularity ndo zinakusumbua.Ulitaka kugombea UVCCM kwa kuchafua watu (Though ni wachafu kweli), hukuwaona uchafu wao hadi kipindi kile ili upate umaarufu kwa kuwaita Mafisadi (Kuiga sera za CHADEMA).Waka kuchinjia Baharini,ukaporomoka,ukawa unalia lia,ukaenda kuanzisha CCJ,wakakupa u DC,ukaufyata Mkia,Now wamekupa kazi ya kuchafua CHADEMA,unaifanya vizuri, yani we umekuwa kama Robot,ukili program lifanye vile unataka linafanye linafanya.Umepoteza hadhi,unaishia kuanzisha thread na kukimbilia nyingine na ID kibao kibao,una Tabia za Kike,shukuru Mungu,ungekuwa Bint ungezalishwa Mapema sana.Narudia tena,Moods Moods Moods Moods Moods,nilindeni,huyu B.wege ANAKERA MPAKA BASI