CHADEMA kisisikilizwe tena!

CHADEMA kisisikilizwe tena!

Ndugu ZeMarcoPolo nimesoma kila post katika thread hii, hakuna hata mmoja aliye thubutu kujibu hoja zako! Fact ni kwamba ur article is too strong for these week minds! Thanks bro, Keep it up!

Asante ndugu.
Tuendelee kukumbushana uzalendo kwa nchi yetu.
 
Hii haina u-strong wowote. Heri hata Kamguu katatu ka mtoto wangu wa miezi 6 kana u-strong zaidi kuliko huo upupu hapo juu. Kama wewe unaona ni Strong basi naona wewe Mkuu JUA LIMEKUWAKIA na ndiyo maana walisifia. Kidumu chama cha Mapinduzi ya kumuondoa Nyerere na Matunda yake.

CCM wamekata Umeme na mie ndani umeisha. Ngoja nitoke na Wanangu na madebe yetu tukanunue kwa Waarabu wa hapa Mujini Sikonge. Uzuri si mbali sana na hiki kipikipiki changu cha Mchina.
Ndugu ZeMarcoPolo nimesoma kila post katika thread hii, hakuna hata mmoja aliye thubutu kujibu hoja zako! Fact ni kwamba ur article is too strong for these week minds! Thanks bro, Keep it up!
 
Ndugu ZeMarcoPolo nimesoma kila post katika thread hii, hakuna hata mmoja aliye thubutu kujibu hoja zako! Fact ni kwamba ur article is too strong for these week minds! Thanks bro, Keep it up!

Mazee kwanini usiandike kiswahili tu! Siku nyingine utaandika these year minds!
 
Ndugu wasomaji,

Tumeshuhudia jinsi nchi yetu ilivyokumbwa na vurugu za kisiasa jijini Arusha. Katika vurugu hizo damu ilimwagika. Ni wakati wa masikitiko makubwa kwa nchi yetu na vilevile ni wakati wa tafakuri na mafunzo muhimu. Je, ni nini kilichopelekea vurugu na kumwagika kwa damu?

Kimsingi mgogoro wa kisiasa ulisafirishwa kwenda Arusha. Chanzo chake ni halmashauri ya Hai. Katika halmashauri hiyo CHADEMA kiliwaorodhesha Mh. Lucy Owenya(MB) na Mh. Grace Kihwelu (MB) kuwa wapiga kura katika uchaguzi wa mwenyekiti wa halashauri hiyo. Kuorodheshwa kwao kulikipa CHADEMA nafasi kubwa ya kuweza kushinda uchaguzi huo. Tukumbushane tu, kuwa mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe (MB) ni mjumbe katika halmashauri hiyo ya Hai. Kwa kutokuelewa sheria ipasavyo wajumbe kutoka CCM walipinga ushiriki wa wabunge hao wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwenyekiti wa halmashauri. Hata hivyo wabunge hao wa CHADEMA waliruhusiwa kupiga kura na kumpa ushindi mgombea toka chama hicho. Hivi sasa halmashauri ya Hai inaongozwa na CHADEMA.

Tujifunze katika hili kuwa mwenyekiti wa CHADEMA anatambua kuwa wabunge wa viti maalum wanaweza kusajiliwa katika halmashauri fulani na kukipa chama chao "advantage" katika maamuzi yatakayofanywa katika vikao vya halmashauri hiyo. Katika kufahamu hili ndipo mwenyekiti huyu akawachukua wabunge wake hao wawili ili waweze kushinda uchaguzi. Pingamizi kutoka CCM kisheria halikuwa na nguvu yoyote.

Je, CHADEMA walifanya nini baada ya kukutana na changamoto huko Hai?

Walichokifanya CHADEMA ni kupinga uamuzi wa mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Arusha wa kumruhusu Mh. Mary Chatanda (MB) toka CCM kushiriki katika uchaguzi wa meya wa jiji la Arusha. Kigezo walichokitoa ni kwamba swala hilo si sahihi kisheria.

Tujiulize;
iwapo swala hilo si sahihi kisheria, ni kwanini Mh. Freeman Mbowe (MB) aliwasajiri Mh. Lucy Owenya(MB) na Mh. Grace Kihwelu (MB) toka CHADEMA kwenye uchaguzi wa Hai?
Je Mh. Freeman Mbowe (MB) alikuwa anajaribu kuvunja sheria?
Kwa vile waliopinga ushiriki wa wajumbe hao toka CHADEMA huko Hai ni wajumbe toka CCM, je CHADEMA inawatumia wajumbe wa CCM kuwajulisha sheria ya nchi inaruhusu vitu gani?
Iwapo CHADEMA hawajaridhishwa na maamuzi ya mkurugenzi wa Hai, je, ni sahihi kukataa maamuzi halali ya mkurugenzi wa jiji la Arusha kama majibu kwa mkurugenzi wa Hai?
Kwanini CHADEMA hawakuandamana Hai?

Kimsingi, maamuzi ya mkurugenzi wa jiji la Arusha ni maamuzi sahihi. Na wale wote waliowakatalia Mh. Lucy Owenya(MB) na Mh. Grace Kihwelu (MB) kushiriki uchaguzi wa mwenyekiti wa halmashauri huko Hai hawakuwa sahihi - na kwa vitendo, mwenyekiti wa CHADEMA amedhihirisha kulitambua hili.

Kitendo cha wajumbe kutoka CHADEMA kukataa kuchiriki uchaguzi kwa kisingizio cha kuwepo kwa Mh. Mary Chatanda (MB) kama mjumbe kingepelekea jiji la Arusha kushiindwa kupata meya, iwapo mkurugenzi angeendelea kusubiri wajumbe wafikie theluthi mbili. Je, ni kwanini CHADEMA waliona sawa kwa jiji la Arusha kushindwa kufanya uchaguzi wa meya ilhali wakijua kuwa maamuzi ya mkurugenzi kumruhusu mjumbe huyo toka CCM ni sahihi?
Ninaamini CCM hawatajibu tukio hili kwa kuongeza mbunge mwingine wa viti maalum, kwa sababu kwa kufanya hivyo watakuwa wanaweka wananchi wa Arusha katika "political roller-coaster"

Hivi karibuni imeripotiwa kuwa CHADEMA kimeamua kumsajili Mh. Anna Komu (MB) kama mjumbe wa halmashauri ya jiji la Arusha. Maamuzi haya ni sahihi kisheria na yanathibitisha kuwa viongozi wa CHADEMA wanatambua kuwa Mh. Mary Chatanda (MB) ni mjumbe halali kwa sheria za nchi. Hata hivyo viongozi hao hawajaonyesha tabia ya kiung'wana ya angalau kuomba radhi kwa kuupotosha umma wa Arusha. Hii imedhihirisha kuwa viongozi hawa sio watu wawajibikaji.

Wito: CHADEMA kisisikilizwe tena mpaka viongozi wake wakuu waliochochea vurugu zilizosababisha vifo huko Arusha (Dr. Wilbroad Slaa, Mh. Freeman Mbowe, Mh. Ndesamburo, ) watangaze kujiuzuru/ kuomba radhi umma kwa upotoshaji walioufanya.

Kwa nini kisisikilizwe?
CHADEMA kimekuwa chama ambacho viongozi wake wamekuwa wakifanya maamuzi bila kuyafanyia utafiti na tafakuri ya kutosha na inapodhihirika kuwa maamuzi hayo si sahihi wamekuwa wakitafuta lugha za "longolongo" za "ujanjaujanja".
1.Tumeshuhudia wakianzisha mchakato wa kutokumtambua Rais. Walipgundua kuwa uamuzi huo hautekelezeki/ hawawezi kuutekeleza, wakachezacheza na maneno bila kuwaomba radhi wananchi waliowapa support.
2. Tumeshuhudia viongozi wa CHADEMA wakisema kura zao za urais zimeibiwa na mgombea wao akiahidi kuleta vidhibiti vya kuhujumiwa kwenye uchaguzi. Mpaka sasa mgombea huyo wa CHADEMA hajatoa kidhibiti chochote wala hakuomba radhi kwa kutoa ahadi hewa.
3. Tumeshuhudia viongozi na waasisi wa CHADEMA wakiwanyima wanachama wao haki yao ya kikatiba ya kugombea nafasi za uongozi ndani ya chama hicho.
4. Tumeshuhudia viongozi wa CHADEMA wakiwanyima wanawake wanachama wa chama hicho kuchagua wabunge wao wa viti maalum.
5.Tumeshuhudia viongozi wa CHADEMA wakichangamkia kupeleka mchakato wa katiba bungeni. Walipokumbushwa na mwanazuoni Prof. Issa Shivji kuwa kufanya hivyo ni kuukabidhi mchakato huo kwa CCM wamekosa moyo wa kukiri upungufu kwenye mkakati wao huo/ angalau kumshukuru Prof. Shivji kwa angalizo hilo muhimu.
6. Tumeshuhudia viongozi wa CHADEMA wakitoa tamko la kutokuhudhuria mahakamani kusikiliza kesi waliyoshitakiwa. Viongozi wanaotegemewa kuonyesha mfano wa kutii utawala wa sheria wanaonyesha dharau kwa mahakama!
7.Leo tunashuhudia CHADEMA ikipeleka mbunge katika halmashauri ya jiji la Arusha jambo ambalo walipinga lisifanywe na CCM.

Je ni lini tutaanza kuwawajibisha viongozi wa CHADEMA?

Kama tunataka kuwaandaa viongozi wa CHADEMA kuwa viongozi wa taifa wawajibikaji, ni LAZIMA tuwawajibishe kuanzia sasa kwa maamuzi yao yote yanayokosa busara.
Upuuzi mwingine
 
Nimekugongea Senkyu kabla sijatimka.

Hii ndiyo inaitwa STRONG POINT OF THESE WEEK MINDS. Keep it up bro..... 😛eace:
Mazee kwanini usiandike kiswahili tu! Siku nyingine utaandika these year minds!
 
Ndugu wasomaji,

Tumeshuhudia jinsi nchi yetu ilivyokumbwa na vurugu za kisiasa jijini Arusha. Katika vurugu hizo damu ilimwagika. Ni wakati wa masikitiko makubwa kwa nchi yetu na vilevile ni wakati wa tafakuri na mafunzo muhimu. Je, ni nini kilichopelekea vurugu na kumwagika kwa damu?

Kimsingi mgogoro wa kisiasa ulisafirishwa kwenda Arusha. Chanzo chake ni halmashauri ya Hai. Katika halmashauri hiyo CHADEMA kiliwaorodhesha Mh. Lucy Owenya(MB) na Mh. Grace Kihwelu (MB) kuwa wapiga kura katika uchaguzi wa mwenyekiti wa halashauri hiyo. Kuorodheshwa kwao kulikipa CHADEMA nafasi kubwa ya kuweza kushinda uchaguzi huo. Tukumbushane tu, kuwa mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe (MB) ni mjumbe katika halmashauri hiyo ya Hai. Kwa kutokuelewa sheria ipasavyo wajumbe kutoka CCM walipinga ushiriki wa wabunge hao wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwenyekiti wa halmashauri. Hata hivyo wabunge hao wa CHADEMA waliruhusiwa kupiga kura na kumpa ushindi mgombea toka chama hicho. Hivi sasa halmashauri ya Hai inaongozwa na CHADEMA.

Tujifunze katika hili kuwa mwenyekiti wa CHADEMA anatambua kuwa wabunge wa viti maalum wanaweza kusajiliwa katika halmashauri fulani na kukipa chama chao "advantage" katika maamuzi yatakayofanywa katika vikao vya halmashauri hiyo. Katika kufahamu hili ndipo mwenyekiti huyu akawachukua wabunge wake hao wawili ili waweze kushinda uchaguzi. Pingamizi kutoka CCM kisheria halikuwa na nguvu yoyote.

Je, CHADEMA walifanya nini baada ya kukutana na changamoto huko Hai?

Walichokifanya CHADEMA ni kupinga uamuzi wa mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Arusha wa kumruhusu Mh. Mary Chatanda (MB) toka CCM kushiriki katika uchaguzi wa meya wa jiji la Arusha. Kigezo walichokitoa ni kwamba swala hilo si sahihi kisheria.

Tujiulize;
iwapo swala hilo si sahihi kisheria, ni kwanini Mh. Freeman Mbowe (MB) aliwasajiri Mh. Lucy Owenya(MB) na Mh. Grace Kihwelu (MB) toka CHADEMA kwenye uchaguzi wa Hai?
Je Mh. Freeman Mbowe (MB) alikuwa anajaribu kuvunja sheria?
Kwa vile waliopinga ushiriki wa wajumbe hao toka CHADEMA huko Hai ni wajumbe toka CCM, je CHADEMA inawatumia wajumbe wa CCM kuwajulisha sheria ya nchi inaruhusu vitu gani?
Iwapo CHADEMA hawajaridhishwa na maamuzi ya mkurugenzi wa Hai, je, ni sahihi kukataa maamuzi halali ya mkurugenzi wa jiji la Arusha kama majibu kwa mkurugenzi wa Hai?
Kwanini CHADEMA hawakuandamana Hai?

Kimsingi, maamuzi ya mkurugenzi wa jiji la Arusha ni maamuzi sahihi. Na wale wote waliowakatalia Mh. Lucy Owenya(MB) na Mh. Grace Kihwelu (MB) kushiriki uchaguzi wa mwenyekiti wa halmashauri huko Hai hawakuwa sahihi - na kwa vitendo, mwenyekiti wa CHADEMA amedhihirisha kulitambua hili.

Kitendo cha wajumbe kutoka CHADEMA kukataa kuchiriki uchaguzi kwa kisingizio cha kuwepo kwa Mh. Mary Chatanda (MB) kama mjumbe kingepelekea jiji la Arusha kushiindwa kupata meya, iwapo mkurugenzi angeendelea kusubiri wajumbe wafikie theluthi mbili. Je, ni kwanini CHADEMA waliona sawa kwa jiji la Arusha kushindwa kufanya uchaguzi wa meya ilhali wakijua kuwa maamuzi ya mkurugenzi kumruhusu mjumbe huyo toka CCM ni sahihi?

Hivi karibuni imeripotiwa kuwa CHADEMA kimeamua kumsajili Mh. Anna Komu (MB) kama mjumbe wa halmashauri ya jiji la Arusha. Maamuzi haya ni sahihi kisheria na yanathibitisha kuwa viongozi wa CHADEMA wanatambua kuwa Mh. Mary Chatanda (MB) ni mjumbe halali kwa sheria za nchi. Hata hivyo viongozi hao hawajaonyesha tabia ya kiung'wana ya angalau kuomba radhi kwa kuupotosha umma wa Arusha. Hii imedhihirisha kuwa viongozi hawa sio watu wawajibikaji.
Ninaamini CCM hawatajibu tukio hili kwa kuongeza mbunge mwingine wa viti maalum, kwa sababu kwa kufanya hivyo watakuwa wanaweka wananchi wa Arusha katika "political roller-coaster".

Wito: CHADEMA kisisikilizwe tena mpaka viongozi wake wakuu waliochochea vurugu zilizosababisha vifo huko Arusha (Dr. Wilbroad Slaa, Mh. Freeman Mbowe, Mh. Ndesamburo, ) watangaze kujiuzuru/ kuomba radhi umma kwa upotoshaji walioufanya.

Kwa nini kisisikilizwe?
CHADEMA kimekuwa chama ambacho viongozi wake wamekuwa wakifanya maamuzi bila kuyafanyia utafiti na tafakuri ya kutosha na inapodhihirika kuwa maamuzi hayo si sahihi wamekuwa wakitafuta lugha za "longolongo" za "ujanjaujanja".
1.Tumeshuhudia wakianzisha mchakato wa kutokumtambua Rais. Walipgundua kuwa uamuzi huo hautekelezeki/ hawawezi kuutekeleza, wakachezacheza na maneno bila kuwaomba radhi wananchi waliowapa support.
2. Tumeshuhudia viongozi wa CHADEMA wakisema kura zao za urais zimeibiwa na mgombea wao akiahidi kuleta vidhibiti vya kuhujumiwa kwenye uchaguzi. Mpaka sasa mgombea huyo wa CHADEMA hajatoa kidhibiti chochote wala hakuomba radhi kwa kutoa ahadi hewa.
3. Tumeshuhudia viongozi na waasisi wa CHADEMA wakiwanyima wanachama wao haki yao ya kikatiba ya kugombea nafasi za uongozi ndani ya chama hicho.
4. Tumeshuhudia viongozi wa CHADEMA wakiwanyima wanawake wanachama wa chama hicho kuchagua wabunge wao wa viti maalum.
5.Tumeshuhudia viongozi wa CHADEMA wakichangamkia kupeleka mchakato wa katiba bungeni. Walipokumbushwa na mwanazuoni Prof. Issa Shivji kuwa kufanya hivyo ni kuukabidhi mchakato huo kwa CCM wamekosa moyo wa kukiri upungufu kwenye mkakati wao huo/ angalau kumshukuru Prof. Shivji kwa angalizo hilo muhimu.
6. Tumeshuhudia viongozi wa CHADEMA wakitoa tamko la kutokuhudhuria mahakamani kusikiliza kesi waliyoshitakiwa. Viongozi wanaotegemewa kuonyesha mfano wa kutii utawala wa sheria wanaonyesha dharau kwa mahakama!
7.Leo tunashuhudia CHADEMA ikipeleka mbunge katika halmashauri ya jiji la Arusha jambo ambalo walipinga lisifanywe na CCM.

Je ni lini tutaanza kuwawajibisha viongozi wa CHADEMA?

Kama tunataka kuwaandaa viongozi wa CHADEMA kuwa viongozi wa taifa wawajibikaji, ni LAZIMA tuwawajibishe kuanzia sasa kwa maamuzi yao yote yanayokosa busara.

u r an asshole of u r own
 
Kuwa mkamilifu kazi kwelikweli inahitaji uelewa na ukamilifu wa dahari Arusha na Hai vimeingilianaje hapo au alijaribu kuleta mfano ghafla ikawa ndo hoja?? najiuliza bado, ila hajaeleza kwanini cdm waliandamana Arusha Je walikuwa na haki kuandamana na kwanini walipigwa risasi za moto badala ya kuwalinda na maandamano yao? kama polisi waliona kuna dalili za uvunjifu wa amani katika maandamano yale je walichukua hatua gani kuzuia uvunjifu wa amani? Je walichagua kupiga watu risasi za moto ndo kuzuia uvunjifu wa amani Arusha??? Zaidi wakijibu Hoja za mwanzo ndo tutajua nani alikuwa sahihi na nani mchonganishi wa amani Arusha Nimewakilisha tuu wadau!!:amen:
 
ND WANA JF
Propaganda hazijengi hii nchi yetu sote,na ukWeli unatabia ya kujitenga siku zote,huyu anaye jiitA zemarcopolo
asiwababaishe hana analolijua kuhusiana na arusha na hai,amesikiliza kipindi cha ccm walichonunua air time pale chn 10
na kumtuma tambwe hizza mtu wa propaganda kuupotosha umma wa watanzania,lkn wamefeli kwani miongoni wa umma
tupo tunaoujua ukweli from a to z,JUMLA YA WAJUMBE WA KIKAO HALALI CHA KUMCHAGUA MEYA WA ARSHA NI 31(INCLUDE CHITANDA)
CDM MADIWANI 8,VITI MAALUM 3,MBUNGE ARUSHA LEMA,MBUNGE VITI MAALUM 1
TLP 1,
CCM 10 NA MAALUM 3,WABUNGE VITI MAALUM 3(INCLUDE CHITANDA) TOTAL 31,
KANUNI ZINASEMA LAZIMA WAJUMBE WAFIKIE IDADI YA 2/3 YA WAJUMBE WOTE AMBAO NI 21,SIKU YA TUKIO DIWANI WA TLP ALIKUWA UPANDE WA CHADEMA,HIVYO CCM 16 NA CDM 15,UKATOKEA MVUTANO WA KUTAKA KUJUA UHALALI WA CCM KUWA NA WABUNGE 3 WA VITI MAALUM,JAMBO AMBALO PIA LINAKINZANA NA KANUNI AMBAZO ZINASEAMA WABUNGE WA VITI MAALUM NDANI YA JIMBO WASIZIDI 2,HIVYO KIKAO KILIAIRISHWA MPAKA KESHO YAKE AMBAPO,KULIIKUWA NA SEMINA YA MADIWANI NA OFISI YA MKURUGENZI ILIWATAARIFU
WAENDE ENEO HUSIKA,WALIPOKUWA HUKO MDA ULIKUWA UMEENDA BILA TAARIFA ZOZOTE HUKU WAKIWA WENYEWE WANAJADILIANA KUHUSU UHALALI WA CHITANDA,NDIPO DIWANI WA TLP AKAKUBALIANA NAO ANAENDA OFISI ZA MKOA AMBAPO HUKO HATUJUI NN KILITOKEA NA YEYE AKAUKWAA UNAIBU MEYA,WAKAPATA TAARIFA KUWA WENZAO WANACHAGUA MEYA,KAMA KAWAIDA LEMA AKAONGOZANA NA MADIWANI WAKE MPAKA OFISINI HAPO,NA ALIINGIA NDANI,MKURUGENZI AMBAYE NDIO MWENYEKITI WA KIKAO HICHO NA UCHAGUZI,AKAWAITA POLISI AKASEMA LEMA ANAFANYA FUJO,MTAKUMBUKA SIKU HIYO UCHAGUZI WA MEYA MBUNGE LEMA ALIPIGWA NA POLISI HADI KULAZWA.
SASA UTAONA JINSI HII NCHI INAPOELEKA MBUNGE AMEBURUTWA KUTOKA NDANI YA KIKAO NA KUPOKEA KICHAPO,WAKATI IPO WAZI MKURUGENZI ALIVUNJA KANUNI KWA MAKUSUDI AU KWA KUSHINIKIZWA,AMEFANYA UCHAGUZI BILA QUORUM KUTIMIA,WAJUMBE WALIOKUWEPO NI 17 BADALA YA 21,HIVYO NGUDU ZEMARCOPOLO ACHANA NA PROPAGANDA TUNAUJUA UKWELI,HAKUNA WA KUTUYUMBISHA TUNATAKA MAENDELEO NI PROPAGANDA ZENU NA UTUWAMBIE HICHO CHAMA MBADALA NI KIPI,KISHA UTUAMBIE KIMEFANYA NN KWA WATANZANIA,SS TUNAJIVUNIA CHAMA CHOCHOTE CHENYE NIA YA DHATI KWA WATANZANIA NA SIO HADITHI
ZA KINTEJILISIA NA MCHAKATO USIOISHAAA,NI HAYO TU,PIA KUMBUKA TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA SIO WAGANGA NJAA.
 
Mjepu,
Huyu Arafat hata hajui uhusiano kati ya mvutano wa Arusha na ule wa Hai, yaani hana taarifa zozote juu ya kiini cha mvutano. Halafu kitendo cha wajumbe wa CHADEMA kususia uchaguzi anakiita ni kitendo cha kutoka nje kujadiliana. Yaani ameamua kulijadili hili swala kihuni. Ndio maana nimempotezea tu.

Umenionea kusema najadili kiuni; Mi nimeweka wazi hoja zangu wewe unataka kubishan na Vijana katika hoja ambayo haipo!! nimekwambia Hai ni Hai na Arusha ni Arusha; wewe kumbuka wanao-kusuuport wengi nadhani sio Wataanzani angalia huko juu kuna mmoja anasema Arusha na Hai zote ni Mkoa wa Kilimanjaro.

Mi nasema na nina sisitiza kuwa Hoja ni kubiga kura wakati wengine wapo faragha kichama zaidi, hoja sio kwanini Maria alipiga kura!! nakataa hapo umetengeneza hoja batili kudhoofisha jamii kwa makusudi makubwa.
 
Asante ndugu.
Tuendelee kukumbushana uzalendo kwa nchi yetu.

Ntakubaliana na Article yako kama kuna siku nitasoma makala hapa JF inahozungumzia uozo ama uharo wa CCM ambayo itakuwa imeandikwa na wewe...

Dobi wa kweli utamjuwa siku akipewa nguo nyeupe.

Nakusubiri Mama
 
ND WANA JF
Propaganda hazijengi hii nchi yetu sote,na ukWeli unatabia ya kujitenga siku zote,huyu anaye jiitA zemarcopolo
asiwababaishe hana analolijua kuhusiana na arusha na hai,amesikiliza kipindi cha ccm walichonunua air time pale chn 10
na kumtuma tambwe hizza mtu wa propaganda kuupotosha umma wa watanzania,lkn wamefeli kwani miongoni wa umma
tupo tunaoujua ukweli from a to z,JUMLA YA WAJUMBE WA KIKAO HALALI CHA KUMCHAGUA MEYA WA ARSHA NI 31(INCLUDE CHITANDA)
CDM MADIWANI 8,VITI MAALUM 3,MBUNGE ARUSHA LEMA,MBUNGE VITI MAALUM 1
TLP 1,
CCM 10 NA MAALUM 3,WABUNGE VITI MAALUM 3(INCLUDE CHITANDA) TOTAL 31,
KANUNI ZINASEMA LAZIMA WAJUMBE WAFIKIE IDADI YA 2/3 YA WAJUMBE WOTE AMBAO NI 21,SIKU YA TUKIO DIWANI WA TLP ALIKUWA UPANDE WA CHADEMA,HIVYO CCM 16 NA CDM 15,UKATOKEA MVUTANO WA KUTAKA KUJUA UHALALI WA CCM KUWA NA WABUNGE 3 WA VITI MAALUM,JAMBO AMBALO PIA LINAKINZANA NA KANUNI AMBAZO ZINASEAMA WABUNGE WA VITI MAALUM NDANI YA JIMBO WASIZIDI 2,HIVYO KIKAO KILIAIRISHWA MPAKA KESHO YAKE AMBAPO,KULIIKUWA NA SEMINA YA MADIWANI NA OFISI YA MKURUGENZI ILIWATAARIFU
WAENDE ENEO HUSIKA,WALIPOKUWA HUKO MDA ULIKUWA UMEENDA BILA TAARIFA ZOZOTE HUKU WAKIWA WENYEWE WANAJADILIANA KUHUSU UHALALI WA CHITANDA,NDIPO DIWANI WA TLP AKAKUBALIANA NAO ANAENDA OFISI ZA MKOA AMBAPO HUKO HATUJUI NN KILITOKEA NA YEYE AKAUKWAA UNAIBU MEYA,WAKAPATA TAARIFA KUWA WENZAO WANACHAGUA MEYA,KAMA KAWAIDA LEMA AKAONGOZANA NA MADIWANI WAKE MPAKA OFISINI HAPO,NA ALIINGIA NDANI,MKURUGENZI AMBAYE NDIO MWENYEKITI WA KIKAO HICHO NA UCHAGUZI,AKAWAITA POLISI AKASEMA LEMA ANAFANYA FUJO,MTAKUMBUKA SIKU HIYO UCHAGUZI WA MEYA MBUNGE LEMA ALIPIGWA NA POLISI HADI KULAZWA.
SASA UTAONA JINSI HII NCHI INAPOELEKA MBUNGE AMEBURUTWA KUTOKA NDANI YA KIKAO NA KUPOKEA KICHAPO,WAKATI IPO WAZI MKURUGENZI ALIVUNJA KANUNI KWA MAKUSUDI AU KWA KUSHINIKIZWA,AMEFANYA UCHAGUZI BILA QUORUM KUTIMIA,WAJUMBE WALIOKUWEPO NI 17 BADALA YA 21,HIVYO NGUDU ZEMARCOPOLO ACHANA NA PROPAGANDA TUNAUJUA UKWELI,HAKUNA WA KUTUYUMBISHA TUNATAKA MAENDELEO NI PROPAGANDA ZENU NA UTUWAMBIE HICHO CHAMA MBADALA NI KIPI,KISHA UTUAMBIE KIMEFANYA NN KWA WATANZANIA,SS TUNAJIVUNIA CHAMA CHOCHOTE CHENYE NIA YA DHATI KWA WATANZANIA NA SIO HADITHI
ZA KINTEJILISIA NA MCHAKATO USIOISHAAA,NI HAYO TU,PIA KUMBUKA TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA SIO WAGANGA NJAA.

Mtu akinyimwa haki anaenda mahakamani au anaitisha maandamano?
Ikiwa kila kikundi kinachohisi kimenyimwa haki kikiamua kuitisha maandamano tutaweza kuendelea na shughuli nyingine za maendeleo?
 
Ntakubaliana na Article yako kama kuna siku nitasoma makala hapa JF inahozungumzia uozo ama uharo wa CCM ambayo itakuwa imeandikwa na wewe...

Dobi wa kweli utamjuwa siku akipewa nguo nyeupe.

Nakusubiri Mama

Kama umeisoma vizuri article yangu utaona kuwa nimeeleza kuwa wajumbe wa CCM Halmashauri ya Hai hawakuwa sahihi. Nini zaidi unahitaji?
 
kwa nini hoja zake zisijibiwe kwa hoja. Je ni kweli cdm waliwatumia wabunge wateuli kule katika halimashauri ya hai, na ilikuwa halali kisheria ama la. Na ccm walikuwa na nafasi gani kisheria kumtumia mbunge wao wa kuteuliwa.
Kubwa sheria inasemaje kuhusiana na sakata hili??
Tukishakosa hoja z kujibia hoja tunapinga huku tukisubiri kina flani waje watujibie!!! Great Thinkers!!!
 
Unfortunatelly hiyo ndio JF ya siku hizi. JamiiForums sasa imekuwa idara rasmi ya CHADEMA!
Si hamia kwenye idara ya ccm unatafuta nini wewe hapa? ebooooo kama unakuja na crap unaambiwa hata ungekuwa wewe ni Mbowe! Shiiitttty
 
Mtu akinyimwa haki anaenda mahakamani au anaitisha maandamano?
Ikiwa kila kikundi kinachohisi kimenyimwa haki kikiamua kuitisha maandamano tutaweza kuendelea na shughuli nyingine za maendeleo?
Katiba ya nchi inaruhusu mtu au watu kuandamana kupinga kitu chochote ambacho kinawakera. Umezoea ukandamizaji wa ccm ndo maanna unadhani kuandamanai ni kosa la jinai hivyo unastaili kupigwa lisasi. Pole maana wewe ni mtoto au kibaraka wa mafisadi ndo maana unachangia upuuzi tupu. Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna mtanzania mwenye nia njema na nchi hii ataweza kuitetea ccm kama sio fisadi au kibaraka wa ufisadi. Hakuna kitakachozuia mabbadiliko yaliyoanza, someni alama za nyakati. Hatakama mtatumia njia za kumwaga damu bado hamtazuia bali mtapandisha ujasiri wa watu kusonga mbele kwenye haya mapambano. Kumbuka jambo hili la badiliko haliji kwa sababi ya chadema, bali ni hasira kwa serikali na ccm ambayo wananchi wameirundika mioyoni mwao kwa muda mrefu na sasa they can't take anymore. Hakuna jiwe litakalobaki juu ya lingine ccm na utawala dhalimu unaishia na wala hautaamka tena. Mtailaumu sana chadema lakini ukweli uko wazi kwamba hatakama cdm wangekaa kimya bado wananchi wangeripuka si muda mrefu. tumechoka kuliwa nguvu zetu na kikundi kidogo cha mafisadi wa ccm. Peoples powaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Ninachokifahamu mimi na kukisoma kwenye vyombo vya habari ni kwamba - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai umefanyika baada ya vurugu za Arusha. CHADEMA ilishinda uchaguzi huo baada ya kupigiwa kura mmoja wa madiwani wa CCM. Makamu mwenyekiti ilishindikana kumpata mshindi baada ya kura kulingana, na hivyo kukubaliana kuongoza nusu kipindi kwa kila chama huku wa CCM akianza kushika nafasi hiyo kwa nusu ya kwanza. Aidha, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Hai, aliwakatalia kupiga kura Wabunge wa viti maalum kwa sababu anazozijua yeye, pamoja na kuwepo barua ya Mwanasheria Mkuu wa serikali iliyomtaka awaruhusu.
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi na kufanikiwa kuongoza Halmashauri ya Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.
Diwani wa Kata ya Machame Kaskazini, Clement Kwayu, ndiye alishinda nafasi ya mwenyekiti wa halmashauri hiyo. Hai ni Halmashauri ya sita kuongozwa na CHADEMA nyingine ni Kigoma Ujiji, Mwanza, Musoma Mjini, Karatu, Moshi Mjini.
Kabla ya jana, uchaguzi huo ulishindikana na kuahirishwa mara mbili, baada ya Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Melkizedeck Humbe, kukataa ushauri wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, aliyeruhusu wabunge wawili wa Viti Maalumu mkoani Kilimanjaro kupitia CHADEMA, Lucy Owenya na Grace Kiwelu, kuwa ni wajumbe halali wa baraza hilo.
Kwayu alipata kura 12 dhidi ya mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ally Mwanga, aliyepata kura 10. Nafasi ya makamu mwenyekiti haikupata mshindi, kwani walifungana kwa kura, hata baada ya kurudiwa.
Baraza la Madiwani wa wilaya hiyo, lilikubaliana na kauli moja kuwa waliokuwa wakigombea nafasi hiyo waongoze kwa kuachiana.
Atakayeanza kuongoza kwenye nafasi ya makamu mwenyekiti katika mwaka wa kwanza ni Diwani wa Kata ya Weruweru, Adris Mandrai (CCM). Baadaye atafuata Diwani wa Kata ya Masama Kati, Deogratius Kimaro (CHADEMA).
Hata hivyo, matokeo hayo yameibua mtafaruku ndani ya CCM baada ya viongozi wa chama hicho kudai kuwa kuna diwani wao mmoja ambaye amewasaliti na wanamjua. Walidai watamfukuza kwenye chama.
Kila chama kilikuwa na wajumbe 11, hali iliyokuwa inaviweka katika wakati mgumu wa kupata mshindi.
Awali, Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe, aliyekuwa mwenyekiti wa muda wa kikao hicho, aliwataka watendaji wa serikali kujifunza taratibu za uongozi.
Alisema kuwa kitendo cha watendaji kukaidi maelekezo ya Mwanasheria Mkuu ni ushahidi kwamba watendaji hao hawajui taratibu za uendeshaji wa shughuli za kila siku ndani ya serikali yao.


Source: Tanzania daima
A%20S%20thumbs_up.gif
 
cha kujiuliza ni kwamba,je? HUYO MH. CHATANDA NAYE ALISAJILIWA KM MJUMBE HUKO ARUSHA?
 
Back
Top Bottom