The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,345
- 4,608
Haujitambui.. Hata Mugabe alikuwa mungu mtu huko Zimbabwe na bila shaka mnakumbuka kauli ya kiongozi wa vijana wa ZANU-PF mara baada tu ya kauli ya CDF wa ZimbabweChadema imekufa
Sasa na nyie mmebaki kishabiki sasa sijui kwa manufaa ya nani. Jaribu kuifikiria leo wasingekuwepo viongozi waliokuwa na ujasiri wa kusema uozo wa serikali hadharani sijui maswala ya EPA, MEREMETA, ESCROW, DOWANS na mengine mengi ungesikia kwa nani
Kama hujui wajibu wa upinzani katika gurudumu la manendeleo bila shaka hujui faida ya chumzi katika chakula