Tukitaka kufanya Fair Judgement, Mwanakijiji hana Credibility yoyote ya kuiongelea Chadema hasa ukizingatia wakati Chadema ndio kinakubalika kwa Watanzania yeye akawa yuko bize kugawanya watu ili wajiunge CCJ.
Ndio maana nimemuuliza hapa haya unayoyasema hapa mbona ukushauri yafanyike CCJ mpaka chama chao kikafutwa kwa kushindwa kuleta Wanachama Live ili wahakikiwe? au anadhani yeye angehakikiwa kwa kupitia Sype kutokea Detroit?
Tupunguze unafki, pamoja na udhaifu mkubwa uliounesha Mwanakijiji bado unaheshimika na hata mimi nakuheshimu, usitake tena kupoteza hawa trust.
No Matola hapo nitamtetea nauhakika anania nzuri sana..Ila anaonyesha concern ya jambo ambalo wengi hawatalielewa....Anahitaji mabadiliko haraka kuliko wengi tunavyo amini..Anataka kula matunda ya kazi ya mikono yake..Lakini mi namwambia achanganye na sacrifice kidogo aone utamu wake..Maana hata Yesu alikubali kubeba dhambi za watu lakini baba yake alipomwacha kwa madakika machache tu akataka kukacha ila kwavile alikuwa na uhakika wa matokeo alifunga macho nakuangalia utukufu ule mkubwa zaidi kuliko ile aibu na maumivu ya wakati aliyokuwepo..Ndicho kinachomsumbua ndugu yangu huyu....Vinginevyo anamapenzi mazito na mahaba juu na CDM kuliko mimi wa kuchonga...lol!