CHADEMA kina wanachama wangapi?

CHADEMA kina wanachama wangapi?

Kama ni section ya watu itakuwa ni sawa na mambo ya kamat kuu ya ccm na ni rais kuonga wote
 
Na bado subirini mtatandikwa, armageddon inakuja!
 

Attachments

  • 1437450341538.jpg
    1437450341538.jpg
    56 KB · Views: 476
CHADEMA kwa sasa kwa hesabu iliyopo halisi ni wanachama 8million,wacha kujitoa akili sababu ya kutumika na CCM.
 
Bdo 2po gado CCM karne yao imeixha

Yaambie hayo magamba yasiyojitambua miaka50 ya Uhuru bado wananchi wanatibiwa chini ya mti?alafu bado mnaendelea kuishabikia ccm chama mfu?
 
Siyo kila mwanachama anashiriki kura za maoni bali viongozi kuanzia tawi na kuendelea. mfano moshi v watakaoshiriki ni watu 360 tu.
 
Sasa huon apo anapatkana mgombea asiyekubalka na weng ndan ya chama

Utaratibu wa CHADEMA ni Kamati ya Utendaji ya Jimbo ambayo ni viongozi wa ngazi zilizopo jimboni ndiyo inapiga kura.

Nafikiri ni utaratibu mzuri kwani wanaomuweka mgombea ndio hao hao watakaotumika kumnadi.

Pia inaondoa uwezekano wa kuwa na wapiga kura hewa na rushwa.

Alafu unaposema asiyekubalika na wengi, mbona magufuli amechaguliwa na watu 2000 wakati ccm ina wanachama milioni 6??. Unasemaje kuhusu huyu?. Hakubaliki na wengi?.

Kalaghabao na ubwezi wako
 
Yaambie hayo magamba yasiyojitambua miaka50 ya Uhuru bado wananchi wanatibiwa chini ya mti?alafu bado mnaendelea kuishabikia ccm chama mfu?

Dah yaan watanzania tuna sifa yakusahau ndo tunapelkeshwa to
 
Wanaochagua Mgombea kutoka idadi ya watia nia ni Wajumbe wa Mkutano Mkuu na sio kila Mwanachama...
Tulieni Magamba mnyolewe vizuri Mwaka huu.
 
Yaambie hayo magamba yasiyojitambua miaka50 ya Uhuru bado wananchi wanatibiwa chini ya mti?alafu bado mnaendelea kuishabikia ccm chama mfu?

Kwa kukosa uelewa wa mabadiliko, ongezeko la watu na viviji vipya vinavyoongezeka ulipoona tu jana usiku kwenye taarifa ya ITV ndo umeamua kujitoa akili yako ya kibavicha!
 
Ahsante....Na mimi nilitaka nimjibu, lakini nikaona jibu lako ni murua na linajitosheleza kabisa !

Utaratibu wa CHADEMA ni Kamati ya Utendaji ya Jimbo ambayo ni viongozi wa ngazi zilizopo jimboni ndiyo inapiga kura.

Nafikiri ni utaratibu mzuri kwani wanaomuweka mgombea ndio hao hao watakaotumika kumnadi.

Pia inaondoa uwezekano wa kuwa na wapiga kura hewa na rushwa.

Alafu unaposema asiyekubalika na wengi, mbona magufuli amechaguliwa na watu 2000 wakati ccm ina wanachama milioni 6??. Unasemaje kuhusu huyu?. Hakubaliki na wengi?.

Kalaghabao na ubwezi wako
 
Wanaochagua Mgombea kutoka idadi ya watia nia ni Wajumbe wa Mkutano Mkuu na sio kila Mwanachama...
Tulieni Magamba mnyolewe vizuri Mwaka huu.

Mnaweweseka CDM HAINA wanachama ina wapita njia ndo maana hata michango na ada hawatoi kiasi cha kushindwa kujenge makao makuu ya Ofisi! Ni mashabiki tu wanaoendeshwa na mihemuko!
 
Back
Top Bottom