CHADEMA kina wanachama wangapi?

CHADEMA kina wanachama wangapi?

Ahsante....Na mimi nilitaka nimjibu, lakini nikaona jibu lako ni murua na linajitosheleza kabisa !

Majibu yenu yote yanafanana mnaokoteza tu vihoja hapa ombeni msaada kwa Makene maana nyie sio wanachadema ni mashabiki tu na wapitaji hata kadi hamna, ada na michango hamtoi teh teh teh kelele nyingi Subirini tu Magufuli anaendelea kuwanyoa taratibu
 
Matokeo ya kula za maoni ndan ya CHADEMA ambayo yanaendelea kutolewa yanahashilia kuwa chama bado kinahitaji kuongeza nguvu ya kusajili wanachama wapya .

Mtu anashinda kwa kula 88 na kula zilizopgwa ni zaid ya kula mia moja ukizngatia jimbo lina wapiga kula zaid ya 50000.

2010 vita ya CCM ndani kwa ndani ilichangia sana CHADEMA ikazoa Wabunge katika maeneo ya mijini kama Dar na Iringa.

Kuna umuhimu wa chama kuzidi kusajili watu ili kuwa na safari ya uhakika.

Uliza kwanza ndo ukurupuke kutoa hoja,wanaopiga kura za maoni kwa wabunge ndani ya CDM ni mkutano maalum wa uchaguzi jimbo,kwa upande wa udiwani ni mkutano maalum wa uchaguzi kata na wala sio wanachama wote kwa jinsi unavyodhania.
 
Kuna kamati teule ya kitendaji ndo wanaruhusiwa kupiga kura
 
Mihemuko tu na story za Bulicheka ndo zinaguide Cdm eti nao wanawaza kuingia Ikulu, mwanzo waliungana UKAWA lakini sasa hawaijui UKAWA wanawaza kwenda peke yao kwa uroho wa madaraka walio nao mtapigwa tu!
 
Uliza kwanza ndo ukurupuke kutoa hoja,wanaopiga kura za maoni kwa wabunge ndani ya CDM ni mkutano maalum wa uchaguzi jimbo,kwa upande wa udiwani ni mkutano maalum wa uchaguzi kata na wala sio wanachama wote kwa jinsi unavyodhania.

CDM wanaleta porojo tu hapa na hawa sio wanachama ni mashabiki tu ndo maana hawana majibu!
 
Ahsante....Na mimi nilitaka nimjibu, lakini nikaona jibu lako ni murua na linajitosheleza kabisa !

Rejea waraka namba 1 wa katibu mkuu unatoa mwongozo wa kura za maoni na sio kamati tendaji ya jimbo au wilaya bali waraka unaagiza kazi hiyo ifanywe na mkutano maalum wa uchaguzi jimbo na umeainisha wajumbe watakao wa mkutano maalum wa uchaguzi jimbo au kata.Kwa rejea zaidi waraka unapatikana kwenye website ya chama!
 
Mnaweweseka CDM HAINA wanachama ina wapita njia ndo maana hata michango na ada hawatoi kiasi cha kushindwa kujenge makao makuu ya Ofisi! Ni mashabiki tu wanaoendeshwa na mihemuko!

Ww ndiye unaweweseka kwa kujadili jambo usilolijua emu rejea waraka 1 wa katibu mkuu unaotoa mwongozo wa kupatikana kwa wagombea kupitia cdm na kama hauna tembelea website wa chama utaukuta.Pia sio kwel kwamba cdm haina wanachama bali ina wanachama tena zaidi ya ccm kwa kuwa wanachama wa ccm ni takwimu tu na ndo maana utakuta majina hata ya wale waliokwishafariki,kuhama,kupoteza kadi na hata kwa wale ambao bado wana kadi hawana ada za kuwafanya wawe wanachama hai bali wanachama hai si zaidi ya 10% ya wanaoitwa wanachama wa ccm
 
Mleta mada ulipaswa kuuliza kwanza ni utaratibu gani unaotumiwa na chadema kwenye kura za maoni
 
Shida apo huo mkutano mahalumu mbona kila jimbo na idadi yake au katiba ya chama inasmaje

ndo maana nasema una akili ndogo,sidhani kama kila jimbo Tzania lina idadi sawa ya kata,vijiji,mitaa na vitongoji kwa hiyo tofauti hiyo ya idadi ya wajumbe wa mkutano maalum wa uchaguzi ndani ya jimbo au kata inatokana na tofauti ya maeneo hayo ya kiutawala ktk majimbo yetu.Pia utaona maeneo ambayo cdm ilishinda serikali za mitaa,vijiji au vitongoji kuna wajumbe wengi wa mkutano maalum kwan nao waraka umewataja kama wajumbe.
 
Bado watu wanazungumzia wanachama million 8, my foot. kwenye jukwaa hili tumewahi kuhoji chanzo cha takwimu hizi
lakini watu wakaingia mitini na sasa wanarejea na takwimu za uanachama za kupikwa. Bila
shaka watu wana matatizo ya uelewa
 
CDM wanaleta porojo tu hapa na hawa sio wanachama ni mashabiki tu ndo maana hawana majibu!

mm ninayekwambia ni mwanachama na ni m/kiti msaafu wa cdm chuo kikuu SUA kwa hyo nondo unayopewa ni ya uhakika na ukwel ndo huo tatizo ninyi mmezoea mfumo wa kifisadi wa ccm ambao wanamruhusu mgombea aandae kadi feki na kuwapatia watu ili mradi tu apite kwenye kura za maoni.
 
Sawa....muhimu ni kwamba si wanachama wote wanaoshiriki na ninadhani hilo ni sahihi !

Rejea waraka namba 1 wa katibu mkuu unatoa mwongozo wa kura za maoni na sio kamati tendaji ya jimbo au wilaya bali waraka unaagiza kazi hiyo ifanywe na mkutano maalum wa uchaguzi jimbo na umeainisha wajumbe watakao wa mkutano maalum wa uchaguzi jimbo au kata.Kwa rejea zaidi waraka unapatikana kwenye website ya chama!
 
Mleta mada ulipaswa kuuliza kwanza ni utaratibu gani unaotumiwa na chadema kwenye kura za maoni

Mkuu amekurupuka ili nawao angalau wapate kuwasema cdm maana wiki mzima ccm hawakuonekana jamvini na hawana cha kuzungumza
 
mm ninayekwambia ni mwanachama na ni m/kiti msaafu wa cdm chuo kikuu SUA kwa hyo nondo unayopewa ni ya uhakika na ukwel ndo huo tatizo ninyi mmezoea mfumo wa kifisadi wa ccm ambao wanamruhusu mgombea aandae kadi feki na kuwapatia watu ili mradi tu apite kwenye kura za maoni.

Na hizo hizo kadi feki ndio zinazidi kuibomoa ccm kama ilivyotokea kahama hadi kupelekea mzee lembeli kubwaga manyanga
 
Back
Top Bottom