CHADEMA kimbieni wote kama mna hasira ya kweli

CHADEMA kimbieni wote kama mna hasira ya kweli

Masinki

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
713
Reaction score
481
Ni aina mpya ya siasa waliyoanzisha hawa Jamaa zetu CHADEMA baada ya kushindwa vibaya katika Uchaguzi mkuu, Kuikimbia Nchi na kuomba ukimbizi wa kisiasa.Sote tunajua sababu za wao kufanya hivyo.

1. Kuonesha dunia kwamba Tanzania sio salama chini ya Dkt. Magufuli haswa Kwa wapinzani wake wa kisiasa ambayo kiuhalisia ni uongo mkubwa.

2. Kutafuta huruma ili ionekane hawatendewi haki katika Nchi Yao kiuhalisia ni uongo mkubwa

3. Kweli ni kwamba wote wanaokimbia hawana Pesa za kuijkimu kuishi hapa Nchini baada ya kukatishwa KAZI Yao ya uropokaji bungeni hivyo wanaenda huko kulishwa bure.
 
Una tatizo la akili wewe sio bure!
Kwani madai yao ni ya uongo?
Tumeona viongozi wetu wakipotea na kuuawa hasa wale wakosoaji wa mfalme.

Mbinu zenu tunazijua
1) Kuteka na kutesa hadi mtu akubaliane na udhalimu wenu
2) Kubambikizia kesi mbayambaya
3) Kufilisi
4) Kuhonga
5) Kuua wale wenye misimamo isiyoyumba!

CCM mnajificha nyuma ya mchicha mkidhani hamuonekani
Hata mwezi bado mmeanza kukimbia ikifika mwaka wote mtajisalimisha Tu
 
Ni aina mpya ya siasa waliyoanzisha hawa Jamaa zetu CHADEMA baada ya kushindwa vibaya katika Uchaguzi mkuu, Kuikimbia Nchi na kuomba ukimbizi wa kisiasa.Sote tunajua sababu za wao kufanya hivyo.

1,kuonesha dunia kwamba Tanzania sio salama chini ya Dr Magufuli haswa Kwa wapinzani wake wa kisiasa ambayo kiuhalisia ni uongo mkubwa.

2,kutafuta huruma ili ionekane hawatendewi haki katika Nchi Yao kiuhalisia ni uongo mkubwa

3,ukweli ni kwamba wote wanaokimbia hawana Pesa za kuijkimu kuishi hapa Nchini baada ya kukatishwa KAZI Yao ya uropokaji bungeni hivyo wanaenda huko kulishwa bure.
Kwahiyo kuwa mkimbizi wa kisiasa mana yake unatunzwa na hiyo nchi ulikimbilia?
 
Zuzu huwa ana hasira? Hajui hata hasira ni nini! Yupo yupo kujaza tumbo.
Nilichofurahi ni kwamba kumbe wakipiga kelele huku wanavimbiwa wanajisahau dawa ni kuwanyima chakula ili mkimbie kimbie
 
nani katekwa katekwa kwati ya hao wapiga dili wa upinzani!!!!

mnatibu amambo huko,mkifinywa mnaloloma.acha wakaishi kwa watu huko,wapewe uraia wakiweza wagombee huko
Maiti za Tanzania mpaka zitakapojitambua safari ni ndefu,ila bado tutaendelea kuzipiga shoti huenda zikaamka!
Wenye maono kinzani bado tupo tupo sana,tutaendelea kuparuana pale mtakapoyumba!Mkikosea tunapiga msumari,we are just living our lives to the fullest!
 
Kimbia Nchi!!!shame

Maiti za Tanzania mpaka zitakapojitambua safari ni ndefu,ila bado tutaendelea kuzipiga shoti huenda zikaamka!

Wenye maono kinzani bado tupo tupo sana,tutaendelea kuparuana pale mtakapoyumba!Mkikosea tunapiga msumari,we are just living our lives to the fullest!
 
Ni aina mpya ya siasa waliyoanzisha hawa Jamaa zetu CHADEMA baada ya kushindwa vibaya katika Uchaguzi mkuu, Kuikimbia Nchi na kuomba ukimbizi wa kisiasa.Sote tunajua sababu za wao kufanya hivyo...
Kutakuwa kuna jambo, haiwezekani mtu kama Nyarandu akimbie aache mambo yake yote nyuma. Mimi nilihisi ni mambo tu ya siasa za upinzani ila huenda kuna jambo maana kuna mambo unaweza kuhisi hayatokei kumbe yanatokea.
 
When fools are fooling each other and trying to fool the world in vain
 
Maiti za Tanzania mpaka zitakapojitambua safari ni ndefu,ila bado tutaendelea kuzipiga shoti huenda zikaamka!
Wenye maono kinzani bado tupo tupo sana,tutaendelea kuparuana pale mtakapoyumba!Mkikosea tunapiga msumari,we are just living our lives to the fullest!
Mpo kwenye keyboard Tu kwenye field hamuonekani
 
Back
Top Bottom