Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,796
- 1,236
Uchaguzi wa Tanzania wa vyama vingi haujawahi kuwa wa huru na haki...Hata huko zanzibar ambako ni waislam tupu mnaibiana uchaguzi na kuuana wenyewe kwa wenyewe kama hamna akili vile. Unazungumza kitu cha kufikirika na ushabiki tu maaana hata CCM kwenyewe kuna waislam na wakristo. Hizi dini zimewavuruga sana aisee. Sasa huna umeme,sukari,dollar na maisha magumu, amesaidia nini huyo rais wako muislam.Ufahari wa kuwa na rais wa dini yako unatosha? si akili za nyani hizi?Wataambulia SIFURI, au SUFUR kwa lugha ya kiarabuš
CCM ni genge la wezi wanaojinufaisha kwa njia zozote ikiwemo udini maana wanajua kuna watu kama nyinyi ambao akili zenu ni za kushikiwa wanaweza kuwatumia.
Mwisho wa siku ni wenyewe CCM na familia zao tu ndiyo wananufaika.
Kwani 2015 waislam walimpigia kura nani?