CHADEMA, kauli ya Lema kuhusu Uislamu ni msimamo wa chama?

Wataambulia SIFURI, au SUFUR kwa lugha ya kiarabušŸ˜
Uchaguzi wa Tanzania wa vyama vingi haujawahi kuwa wa huru na haki...Hata huko zanzibar ambako ni waislam tupu mnaibiana uchaguzi na kuuana wenyewe kwa wenyewe kama hamna akili vile. Unazungumza kitu cha kufikirika na ushabiki tu maaana hata CCM kwenyewe kuna waislam na wakristo. Hizi dini zimewavuruga sana aisee. Sasa huna umeme,sukari,dollar na maisha magumu, amesaidia nini huyo rais wako muislam.Ufahari wa kuwa na rais wa dini yako unatosha? si akili za nyani hizi?
CCM ni genge la wezi wanaojinufaisha kwa njia zozote ikiwemo udini maana wanajua kuna watu kama nyinyi ambao akili zenu ni za kushikiwa wanaweza kuwatumia.
Mwisho wa siku ni wenyewe CCM na familia zao tu ndiyo wananufaika.
Kwani 2015 waislam walimpigia kura nani?
 
Hiyo unasema wewe kafiri,

Uislam unaunganishwa na kalima ya Laa illah Illa Allah, Muhammad Rasuul Allah ..

Hakuna Mungu anapaswa kuabudiwa isipokuwa Mungu Mmoja Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo na kwamba Muhammad ni Mtume wake...
Huyo muhammad mwenyewe anakushangaa wewe kwa kupingana naye ila ni kwasababu wewe ni muisiharamu maana haya niliyo yasema ndiyo aliyo yasema na kuyafundisha muhammad ...muhammadi alisema patakuwa na makundi 70 ya waislam ila kati ya hayo ni moja tu ndiyo watakuwa waislamu wa kweli mengine yote yaliyo baki watakuwa ni waisiharamu ....sasa niambie hayo mameno ya mudi ni ya kweli au la ...je unaya amini au unayapinga ...kama ni yakweli basi mbona unapinga kuwa hakuna WAISIHARAMU DUNIANI ....basi nipe logic ya hayo mafunuo ya muhammadi kuhusu hiyo 70 .
Kwa jinsi unavyo taka wewe kuniaminisha mimi ni kuwa nikusikilize wewe kuhusu uislamu kuliko muhammad ambaye yeye mwenyewe kwa kinywa chake kasema kuhusu madhehebu 70 ambayo 69 yatakuwa si chochote si lolote bali ni WAISIHARAMU
 
CHADEMA ni chama kilichokosa mwelekeo. Huyo Lema ni kama vile ana agenda ya siri kukiharibia chama chake kwa kauli zake za kishenzi dhidi ya makundi mbalimbali kwenye jamii. Bodaboda, kina mama na waislamu ni wahanga wa kauli za kuudhi za Lema. Ndugu THE BIG SHOW usijali.. hiki chama cha Mbowe tutakiadhibu kwenye sanduku la kura.
Mafikirio yangu ni Kama yako. Mambo ni mengi muda ni mchache
 
Friends and Our Enemies,

Niliposikia kauli ya Shangazi Fatma Karume aliposema ya kwamba Chadema waache chuki dhidi ya waislam na uislam nikatanabahi kuwa kumbe siyo Mimi pekeyangu ambae nimeliona jambo Hilo.

Siyo mara ya kwanza Kwa chadema kama Taasisi au kama viongozi wake kuingia kwenye mtego wa kujiingiza kwenye Taharuki na uislam na waislam.

Kauli ya Lema kwenye mkutano wake wa hadhara alivyosema kwamba eti sisi waislam tusiingie kwenye mtego wa kumchagua MTU au chama eti kisa tuh kiongozi alieopo madarakani ni muislam ni kauli ya hovyo zaidi kuwahi kutolewa na kiongozi huyo wa chama.

Chadema kama chama kinapaswa kutuomba Radhi,na hususan huyo Lema kupitia hadhara hizo hizo anazozifanya anapaswa kuomba radhi umma wa waislam Kwa kauli zake za fedheha na dhihaka kwetu.

Tunafahamu ni kweli kuwa wapo viongozi wa dini ambao case Zao zilikua na mrengo wa kisiasa,lakini haiwezi kujustify Kwa chadema eti Kwa wao kuzipigia kelele kesi hizo na baadhi ya wale masheikh kuachiliwa basi igeuke kuwa ni nongwa au masemango ya kusema wao walitusaidia basi na sisi tugeuke kuwa watumwa Kwa msaada wao ule,Hilo haliwezekani.

No matter how long wamekaa au wangekaa jela wale masheikh haiondoi facts kwamba kama hawana au hawakuwa na hatia it was just a matter of time tuh kuwa wangeachiwa.

So chadema waangalie kauli zao kama chama na viongozi wao,waislam hatutaki watutaje taje kiholela kwenye mikutano Yao pasipo na sababu za msingi,wasisahau pia chadema chuki ambayo waliipanda Kwa waislam kipindi kile wanaanza choko choko juu ya suala la DP World,wajikite kwenye hoja za msingi ambazo wao kama chama Cha kisiasa wanaweza kutufanyia sisi wananchi endapo watapewa hatamu za kushika Dola na kuongoza Taifa hili,na siyo kuingia kwenye homa ya Islamophobia.

Kauli ya wanasisa wa nchi hii ya kusema kiongozi wa kuongoza wananachi kwa ngazi mbalimbalii za uongozi asichaguliwe kwa kigezo cha DINI yake bali kwa uwezo wake wa uelewa wa mambo ya uongozi ni kauli ya siku nyingi tangu enzi za muasisi wa taifa hili mwalimu Nyerere na wala hajaanza kusema huyo Lema kama unavyotaka kutuaminisha
 
Tipical Galatian block, makafiri mmekosa akili kiasi Cha kudhani wanaouliwa kule Gaza basi woote ni waislam,being brainwashed that all Palestinian ni Muslims ni jambo la hovyo sana ambao makafiri wa bongo wamekuwa wanaishi nalo miaka na miaka, kizazi na kizazi ...very astonishing....

Kuyatazama mambo yote kwa mtizamo wa kidini yameziponza sana jamii nyingi. Kuna mambo ya kutumia akili tuliyopewa na mwenyezi Mungu badala ya kusubiri kuhubiriwa na wapotoshaji.

Kuna mafundisho ya dini ambayo yanapofusha akili za watu. Mafundisho kama yale yanayosema kuwa ndugu katika imani ni ndugu wa karibu zaidi kuliko ndugu wa damu, yanapalilia fikra za kumwunga mkono mshirika wa dini yako katika lolote ( liwe jema au baya) dhidi ya mwenye imani tofauti.

Sijawahi kusikia kuna msikiti Tanzania uliwahi kuchomwa moto na wakristo, hapa Tanzania. Sikuwahi kusikia kuna biashara ya muislam iliwahi kushambuliwa na mkristo kwa sababu inaenda kinyume na dini yake. Lakini hayo yametendwa sana na baadhi ya waislam dhidi ya wakristo. Kiuhalisia, tukiongelea chuki za kidini, ni baadhi ya waislam wamewahi kuonesha wazi chuki dhidi ya wakristo. Hata hivyo, wapo waislam wengi wenye hekima, na wanaotambua kuwa imani ni suala la mtu binafsi lisilostahili kulazimisha watu wote watende au wasitende unavyotaka wewe au mimi.
 
Unafiki ni kitu kibaya sana! Kwa hiyo kupitia haya maelezo yako unataka kusema hakuna watu wa imani yako wanaopigana miti wao kwa wao siyo!!

Umesahau hata mashoga wote maarufu nchini walio wahi kujitangaza hadharani, ni ndugu zako! Unataka nikutajie na majina yao? Na hata sasa wametapakaa maeneo yote ya Pwani ya nchi uetu!!

Kwa Tanzania na Kenya, ufirauni ni tabia ya watu wa pwani.
 
Friends and Our Enemies,

Niliposikia kauli ya Shangazi Fatma Karume aliposema ya kwamba Chadema waache chuki dhidi ya waislam na uislam nikatanabahi kuwa kumbe siyo Mimi pekeyangu ambae nimeliona jambo Hilo.

Siyo mara ya kwanza Kwa chadema kama Taasisi au kama viongozi wake kuingia kwenye mtego wa kujiingiza kwenye Taharuki na uislam na waislam.

Kauli ya Lema kwenye mkutano wake wa hadhara alivyosema kwamba eti sisi waislam tusiingie kwenye mtego wa kumchagua MTU au chama eti kisa tuh kiongozi alieopo madarakani ni muislam ni kauli ya hovyo zaidi kuwahi kutolewa na kiongozi huyo wa chama.

Chadema kama chama kinapaswa kutuomba Radhi,na hususan huyo Lema kupitia hadhara hizo hizo anazozifanya anapaswa kuomba radhi umma wa waislam Kwa kauli zake za fedheha na dhihaka kwetu.

Tunafahamu ni kweli kuwa wapo viongozi wa dini ambao case Zao zilikua na mrengo wa kisiasa,lakini haiwezi kujustify Kwa chadema eti Kwa wao kuzipigia kelele kesi hizo na baadhi ya wale masheikh kuachiliwa basi igeuke kuwa ni nongwa au masemango ya kusema wao walitusaidia basi na sisi tugeuke kuwa watumwa Kwa msaada wao ule,Hilo haliwezekani.

No matter how long wamekaa au wangekaa jela wale masheikh haiondoi facts kwamba kama hawana au hawakuwa na hatia it was just a matter of time tuh kuwa wangeachiwa.

So chadema waangalie kauli zao kama chama na viongozi wao,waislam hatutaki watutaje taje kiholela kwenye mikutano Yao pasipo na sababu za msingi,wasisahau pia chadema chuki ambayo waliipanda Kwa waislam kipindi kile wanaanza choko choko juu ya suala la DP World,wajikite kwenye hoja za msingi ambazo wao kama chama Cha kisiasa wanaweza kutufanyia sisi wananchi endapo watapewa hatamu za kushika Dola na kuongoza Taifa hili,na siyo kuingia kwenye homa ya Islamophobia.
Wewe ni unawakilisha waislam wa wapi wa Zanzibar, Oman au Tanga?
 
Uchaguzi wa Tanzania wa vyama vingi haujawahi kuwa wa huru na haki...Hata huko zanzibar ambako ni waislam tupu mnaibiana uchaguzi na kuuana wenyewe kwa wenyewe kama hamna akili vile. Unazungumza kitu cha kufikirika na ushabiki tu maaana hata CCM kwenyewe kuna waislam na wakristo. Hizi dini zimewavuruga sana aisee. Sasa huna umeme,sukari,dollar na maisha magumu, amesaidia nini huyo rais wako muislam.Ufahari wa kuwa na rais wa dini yako unatosha? si akili za nyani hizi?
CCM ni genge la wezi wanaojinufaisha kwa njia zozote ikiwemo udini maana wanajua kuna watu kama nyinyi ambao akili zenu ni za kushikiwa wanaweza kuwatumia.
Mwisho wa siku ni wenyewe CCM na familia zao tu ndiyo wananufaika.
Kwani 2015 waislam walimpigia kura nani?

Mimi sio mzanzibar, suala la kuibiana hilo sina ushahidi nalo, na dini yetu hairuhusu wizi, hao wanaofanya wizi ni nafsi zao wenyewe, hivyo ni dhambi kufanya hivyo.

2015 unategemea magufuli alipigiwa na nani kura kama sio waislam wengi wao! Nchi ina idadi kubwa ya waislamu tukisema tususie kupiga kura unadhani ccm itapita! Inawezekana kabisa hata lowasa na Dr slaa kuna waislam pia walijitokeza kuwapigia.
 
Mimi sio mzanzibar, suala la kuibiana hilo sina ushahidi nalo, na dini yetu hairuhusu wizi, hao wanaofanya wizi ni nafsi zao wenyewe, hivyo ni dhambi kufanya hivyo.

2015 unategemea magufuli alipigiwa na nani kura kama sio waislam wengi wao! Nchi ina idadi kubwa ya waislamu tukisema tususie kupiga kura unadhani ccm itapita! Inawezekana kabisa hata lowasa na Dr slaa kuna waislam pia walijitokeza kuwapigia.
Kwanza unatakiwa kujua chaguzi zote zinaibwa na ccm kwa hiyo hatuwezi kuzungumzia matokeo ya wizi. Ingekuwa free and fair elections tungezungumza kitu. Idadi ya waislam nchi hii ulifanya sensa lini? Mnao mfumo wa kuwa hesabu waislam hai mkaangalia mko wangapi kulingana na population ya Tanzania au mnajidanganya huko uswahilini mkikaa kwenye vijiwe vya kahawa?
 
Ni ukweli usiofichika Wakristo wengi sana hapa Tanzania wako 'indoctrinated' (wamekasumbishwa?) dhidi ya Waislamu; wanaamini na kukubali vitu vya kipumbavu sana juu ya Waislamu, hata hao wasomi wao!
Kwa upande mwingine, Waislamu wengi pia, wanawaona Wakristo wanapendelewa katika kila jambo hata yale ambayo wameyapata kwa juhudi zao.
Hili taifa lina maradhi, na hatujapa kiongozi wa kuyatibu maradhi hayo kwa kusema ukweli, kufanya uadilifu na kutazama uwezo wa mtu tu kuwa kigezo pekee.
 
Friends and Our Enemies,

Niliposikia kauli ya Shangazi Fatma Karume aliposema ya kwamba Chadema waache chuki dhidi ya waislam na uislam nikatanabahi kuwa kumbe siyo Mimi pekeyangu ambae nimeliona jambo Hilo.

Siyo mara ya kwanza Kwa chadema kama Taasisi au kama viongozi wake kuingia kwenye mtego wa kujiingiza kwenye Taharuki na uislam na waislam.

Kauli ya Lema kwenye mkutano wake wa hadhara alivyosema kwamba eti sisi waislam tusiingie kwenye mtego wa kumchagua MTU au chama eti kisa tuh kiongozi alieopo madarakani ni muislam ni kauli ya hovyo zaidi kuwahi kutolewa na kiongozi huyo wa chama.

Chadema kama chama kinapaswa kutuomba Radhi,na hususan huyo Lema kupitia hadhara hizo hizo anazozifanya anapaswa kuomba radhi umma wa waislam Kwa kauli zake za fedheha na dhihaka kwetu.

Tunafahamu ni kweli kuwa wapo viongozi wa dini ambao case Zao zilikua na mrengo wa kisiasa,lakini haiwezi kujustify Kwa chadema eti Kwa wao kuzipigia kelele kesi hizo na baadhi ya wale masheikh kuachiliwa basi igeuke kuwa ni nongwa au masemango ya kusema wao walitusaidia basi na sisi tugeuke kuwa watumwa Kwa msaada wao ule,Hilo haliwezekani.

No matter how long wamekaa au wangekaa jela wale masheikh haiondoi facts kwamba kama hawana au hawakuwa na hatia it was just a matter of time tuh kuwa wangeachiwa.

So chadema waangalie kauli zao kama chama na viongozi wao,waislam hatutaki watutaje taje kiholela kwenye mikutano Yao pasipo na sababu za msingi,wasisahau pia chadema chuki ambayo waliipanda Kwa waislam kipindi kile wanaanza choko choko juu ya suala la DP World,wajikite kwenye hoja za msingi ambazo wao kama chama Cha kisiasa wanaweza kutufanyia sisi wananchi endapo watapewa hatamu za kushika Dola na kuongoza Taifa hili,na siyo kuingia kwenye homa ya Islamophobia.
Mkuu kwanza itake radhi CDM maana ile ni kauli ya Lema kama Lema na sio press ya chama.

Pili alichosema Lema hakina shida yeyote wala sio udini au unyanyapaaji kama ukivyosema.

Lema amewema wazi kwamba hata wakristu wasimpigie kura kama yeye hafuati msingi wa utawala bora na haki.

Akaendelea kusema waismlamu wasimpige mtu eti kwa sababu tu ni muislam mwenzao bali waangalie mpenda na mtoa haki kwa waote.

Akajitolea mfano alivyopambania suala la mashekh gerezani japo sio dini bali haki itendeke.

Sikiliza video yake.

Mytake: kama tusiyaishi aliyosema Lema hatuna sababu ya kulalamika sukari imepanda, umeme hakuna, vyakula vimepanda bei n.k. maana dini zinatupa upofu.
 
Ni ukweli usiofichika Wakristo wengi sana hapa Tanzania wako 'indoctrinated' (wamekasumbishwa?) dhidi ya Waislamu; wanaamini na kukubali vitu vya kipumbavu sana juu ya Waislamu, hata hao wasomi wao!
Kwa upande mwingine, Waislamu wengi pia, wanawaona Wakristo wanapendelewa katika kila jambo hata yale ambayo wameyapata kwa juhudi zao.
Hili taifa lina maradhi, na hatujapa kiongozi wa kuyatibu maradhi hayo kwa kusema ukweli, kufanya uadilifu na kutazama uwezo wa mtu tu kuwa kigezo pekee.
Hakika,ulichosema ndicho hasa kitu KILICHOPO
 
Kuyatazama mambo yote kwa mtizamo wa kidini yameziponza sana jamii nyingi. Kuna mambo ya kutumia akili tuliyopewa na mwenyezi Mungu badala ya kusubiri kuhubiriwa na wapotoshaji.

Kuna mafundisho ya dini ambayo yanapofusha akili za watu. Mafundisho kama yale yanayosema kuwa ndugu katika imani ni ndugu wa karibu zaidi kuliko ndugu wa damu, yanapalilia fikra za kumwunga mkono mshirika wa dini yako katika lolote ( liwe jema au baya) dhidi ya mwenye imani tofauti.

Sijawahi kusikia kuna msikiti Tanzania uliwahi kuchomwa moto na wakristo, hapa Tanzania. Sikuwahi kusikia kuna biashara ya muislam iliwahi kushambuliwa na mkristo kwa sababu inaenda kinyume na dini yake. Lakini hayo yametendwa sana na baadhi ya waislam dhidi ya wakristo. Kiuhalisia, tukiongelea chuki za kidini, ni baadhi ya waislam wamewahi kuonesha wazi chuki dhidi ya wakristo. Hata hivyo, wapo waislam wengi wenye hekima, na wanaotambua kuwa imani ni suala la mtu binafsi lisilostahili kulazimisha watu wote watende au wasitende unavyotaka wewe au mimi.
Hawezi kuwa muislam Kisha akachoma kanisa, muislam mwenye kuutambua uislam amefundishwa kuheshima dini ya kila MTU,Kwa sababu uislam unasema makafiri Wana dini Yao na waislam Wana dini Yao, tatizo nyinyi makafiri mnatazama mfanyaji wa tukio Hilo jina lake limekaa kiarabu au kizungu Kisha mnafanya judgement,MTU kuitwa Abdallah,Ally au whatever doesn't justify kuwa ni muumini wa uislam au ametumwa na uislam kufanya matukio hayo.
 
Siku zote Huwa nacheka sana kafiri anapokuja mbele yangu na kuniita mpuuzi Kisha yeye akajiita smart,nacheka sana...

Kafiri wewe hata means za kujiswafi huna unaenda toilet na kutumia toilet papers unataka kuniambia Nini Mimi??

Kafiri hata unachoabudu hukijui unaabudu sanamu la bikra maria na mtoto wake Kisha unawaita Mungu utaniambia kitu Gani,wewe ni MTU wa kuhurumiwa tuh
Onyesha kipeperushi matusi ya nini
Ukimaliza kutukana onyesha hiko kipeperushi
 
Hiyo unasema wewe kafiri,

Uislam unaunganishwa na kalima ya Laa illah Illa Allah, Muhammad Rasuul Allah ..

Hakuna Mungu anapaswa kuabudiwa isipokuwa Mungu Mmoja Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo na kwamba Muhammad ni Mtume wake...
mungu amewashindwa taifa la israel
 
Kwanza unatakiwa kujua chaguzi zote zinaibwa na ccm kwa hiyo hatuwezi kuzungumzia matokeo ya wizi. Ingekuwa free and fair elections tungezungumza kitu. Idadi ya waislam nchi hii ulifanya sensa lini? Mnao mfumo wa kuwa hesabu waislam hai mkaangalia mko wangapi kulingana na population ya Tanzania au mnajidanganya huko uswahilini mkikaa kwenye vijiwe vya kahawa?

Ndio maana mnakimbia sensa, kumbe mnajua waislamu ni wengi!
 
Siendekezi dini, nilishazipotezea muda mrefu baada ya kuona ni utapeli wa mchana kweupe. Nakushangaa ww unayekaza fuzu kwa mambo yasiyo na proof. Alichosema Lema kiko wazi, achaguliwe mtu kutokana na uwezo wake, na sio hayo madini ya kubrainwash watu. Labda ungewaambia hao wanaopita huko mitaana wakiitumia hiyo dini yako kupotosha kuhusu kupingwa kwa kiongozi. Hakuna anayemshutumu kiongozi kwa ajili ya hizo dini za kukaririshwa, Bali kutokana na matokeo duni ya kiutendaji full stop.
Nimesoma reply zako nyingi kuhusu watu w dini niseme unaongea pumba
Nikukumbushe elimu uliyosoma walileta wazungu kupitia shule za mission unavyowaona watu wanaofuata dini ni wajinga usisahau na wale wanaosoma elimu ya mzungu

Hii elimu tunayosoma sio ya mwafrika bali ya mzungu hata vitabu vingi waandishi ni wazungu
Huwezi tuhumu watu ni watumwa wa watu weupe ilihali na wewe unasoma elimu ya mzungu kwa lugha nyingine wewe pia ni mtumwa wa mtu mweupe
 
Wakati mwingine kuelewa contents ni vizuri kuliko ushabiki wa kidini. Hakumaanisha kitu chochote kibaya kama unavyotaka watu waamini
 
Back
Top Bottom