Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Jana waziri wa Utumishi Management ya Umma Hawa Ghasia, jana kaituhumu Chadema mbele ya Bunge.
Kadai bajeti yenu ni tril 9, kwa mujibu wa Waziri Ghasia, mkilipa
mishahara ya wafanyakazi kima cha chini laki tatu kumi na tano(Tsh 315000) mtabakiwa na tril 1, Je serikali
gani inaweza kuongozwa kwa tril `1??{Bajeti kivuli ya wizara ya utumishi wa umma ilisomwa na Suzan Lyimo}
Na yy Waziri kasema wazi kwamba Chadema acheni kudanganya wafanyakazi(wananchi).
Magazeti ya leo sijaona sehemu yoyote kuhusu Chadema kukanusha haya maelezo ya Waziri. Je ni kweli bajeti yenu
iliongopa?? Mkiifumbia mamcho hii hoja bila majibu yenye mashiko tuwaeleweje Chadema??
Naomba Dk Slaa, Mh Zitto Kabwe au kiongozi yoyote atoe jibu hapa.
Angalizo: Hapa nisingependa majibu kwamba eti madini tunayo, sijui rasilimali, mara posho zitafutwa,hapana!! Majibu yaendane na hoja ya bajeti yenu mbadala mliyowasilisha bungeni na kutaka kima cha chini kiwe kiasi hicho mlichokitaja.
Kadai bajeti yenu ni tril 9, kwa mujibu wa Waziri Ghasia, mkilipa
mishahara ya wafanyakazi kima cha chini laki tatu kumi na tano(Tsh 315000) mtabakiwa na tril 1, Je serikali
gani inaweza kuongozwa kwa tril `1??{Bajeti kivuli ya wizara ya utumishi wa umma ilisomwa na Suzan Lyimo}
Na yy Waziri kasema wazi kwamba Chadema acheni kudanganya wafanyakazi(wananchi).
Magazeti ya leo sijaona sehemu yoyote kuhusu Chadema kukanusha haya maelezo ya Waziri. Je ni kweli bajeti yenu
iliongopa?? Mkiifumbia mamcho hii hoja bila majibu yenye mashiko tuwaeleweje Chadema??
Naomba Dk Slaa, Mh Zitto Kabwe au kiongozi yoyote atoe jibu hapa.
Angalizo: Hapa nisingependa majibu kwamba eti madini tunayo, sijui rasilimali, mara posho zitafutwa,hapana!! Majibu yaendane na hoja ya bajeti yenu mbadala mliyowasilisha bungeni na kutaka kima cha chini kiwe kiasi hicho mlichokitaja.