CHADEMA Jibuni Hoja hii...!!

Ukweli ni kwamba huyu mama hajasoma uchumi. Kama anataka tumwage historia yake sawa, sio kazi kubwa. Na niseme tu hata Masters yake aliyofanya SUA, ilikuwa 'kazi nzuri' ya mama Salma (wakati huo akiwa mke wa waziri wa mambo ya nje) kutia maji ndipo akaachiwa.

Pili niseme sio kweli wala sahihi kuwa mishahara kima cha chini ikiwa laki 3.15, fungu la mishahara ni Tsh 9 Trillions (Sio tillion ndugu Sizinga).
..

Hapo ndipo niliseposema kawakebehi Chadema kwa kudai hata yy kasomea uchumi na wachumi wa CDM wanapachika namba tu,(HII NI DHARAU KWA MTAZAMO WANGU) na kasema hayo live bungeni!!

Yeye kadai kwamba ukilipa hiyo laki 3.15 itafikia t. 7 na ushehe!! kwenye t 9 itabakia t 1 ambayo haiwezi kuongoza serikali... hii ndiyo hoja ya ghasia!! Ikanushwe kwa mchanganuo mzuri hapa CHADEMA.
 
Hapo ndipo niliseposema kawakebehi Chadema kwa kudai hata yy kasomea uchumi na wachumi wa CDM wanapachika namba tu,(HII NI DHARAU KWA MTAZAMO WANGU) na kasema hayo live bungeni!!

Yeye kadai kwamba ukilipa hiyo laki 3.15 itafikia t. 7 na ushehe!! kwenye t 9 itabakia t 1 ambayo haiwezi kuongoza serikali... hii ndiyo hoja ya ghasia!! Ikanushwe kwa mchanganuo mzuri hapa CHADEMA.


Kama alisema hivyo alibugu stepu:
Tuseme watumishi wako 500,000 na wastani wa mshahara kwa mtumishi uwe 1,000,000 unapata 6,000,000,000,000 kwa mwaka....hesabu rahisi sana. Wakipunguza maposho na gharama zingine za anasa wanabaki na pesa nyingi tu
 
kwa mwaka itakuwa ni trilioni 1.3 na haizidi trilioni 2 hata ukiwalipa laki 5 kwa mwezi kima cha chini. Hata hivyo CDM haiwez kuwa na mawazir 52 kama serikali ya JK, mashangingi yanapigwa bei, Posho zote zisizo na tija kwnye re-current bajet zinafutwa, hatukopi zaid ya deni la taifa lililopo na mishahara ikipanda mpaka hapo wengi zaid watalipa kodi ya PAYE pamoja na kuwa inapungua mpaka 19%. Sasa huyo mchumi ghasia anasema bajet mbadala ni manamba tu ana hoja ipi? Alipotosha, mwnye kuelewa atafanya hivyo.

Mkuu uko sahihi sana, lakini kwa nini CHADEMA hawakanushi??ujue hii itawafanya wananchi wasiiamini CHADEMA??
Hizo fig za Ghasia nadhani kajumuisha wafanyakazi wa level zote na si kima cha chini pekeyake!!
 
Mkuu hiyo ni typing errors, nimesharekebisha!! Hoja imeeleweka!!

Hapo(red) ndipo nisipopataka mimi...hesabu sawa walichanganua vizuri, tatizo ni kwamba bajeti kwa utumishi wa Umma ni Tillion 9 ( ukilipa wafanyakazi 315000 itabakia til 1, je hii ipoje??zile hesabu za kipindi kile na mchanganuo wake zilitolewa wakati bajeti haijapangwa!! Sasa bajeti tayari iko mezani fixed!! Wakokotoe hapo!!

Nakupa somo wewe na kilaza mwenzio Hawa bint Ghasia Mke wa Fujo!
Tanzania inawatumishi wa Serikali wasiozidi laki nne (400,000) lakini kwa mujibu wa mkuu wa magamba wako 350,000 (rejea speech yake ya maarufu ya mbayuwayu). Kwa vile kuna viwango tofauti tofauti vya mishahara na posho za lazima fanya kila mfanyakazi anapata Tsh laki saba (700,000/=) kwa mwezi.

Wafanyakazi 400,000 X Tsh. 700,000 X Miezi 12 = Tsh 3,360,000,000,000/= (Trillion 3.36)
Changanya na michango ya mifuko ya jamii na Bima ya afya haizidi 20% ya hiyo (Trillion 3.36) utapata Tsh. 672,000,000,000/= (Bil. 672)

Ukijumlisha vyote yaani Tsh 3,360,000,000,000 + 672,000,000,000 = Tsh. 4,032,000,000,000/= (Trillion 4.032/=) Hii ndiyo gharama zooote za mishahara ya wafanyakazi na posho zao kwa viwango tofauti tofauti kama kima cha chini kikiwa Tsh. 315,000/=. Huyo Hawa Ghasia yeye hesabu yake ilikuwaje akapata utumbo?

Wewe naye umekurupuka, kwanza unaonekana hujui hata kuandika tarakimu sawa na waliokutuma wakipewa hundi ina tarakimu tofauti na maandishi tena hadharani!
 
Nakupa somo wewe na kilaza mwenzio Hawa bint Ghasia Mke wa Fujo!
Tanzania inawatumishi wa Serikali wasiozidi laki nne (400,000) lakini kwa mujibu wa mkuu wa magamba wako 350,000 (rejea speech yake ya maarufu ya mbayuwayu). Kwa vile kuna viwango tofauti tofauti vya mishahara na posho za lazima fanya kila mfanyakazi anapata Tsh laki saba (700,000/=) kwa mwezi

Wafanyakazi 400,000 X Tsh. 700,000 X Miezi 12 = Tsh 3,360,000,000,000/= (Trillion 3.36)
Changanya na michango ya mifuko ya jamii na Bima ya afya haizidi 20% ya hiyo (Trillion 3.36) utapata Tsh. 672,000,000,000/= (Bil. 672)

Ukijumlisha vyote yaani Tsh 3,360,000,000,000 + 672,000,000,000 = Tsh. 4,032,000,000,000/= (Trillion 4.032/=) Hii ndiyo gharama zooote za mishahara ya wafanyakazi na posho zao kwa viwango tofauti tofauti kama kima cha chini kikiwa Tsh. 315,000/=. Huyo Hawa Ghasia yeye hesabu yake ilikuwaje akapata utumbo?

Wewe naye umekurupuka, kwanza unaonekana hujui hata kuandika tarakimu sawa na waliokutuma wakipewa hundi ina tarakimu tofauti na maandishi tena hadharani!



Anko Tham uthithahau hethabu janga la taifa.......tarakimu si mchezo bana
 
Kitu kingeni ambacho Hawa Ghasia hakukisema hiyo hesabu ya mishahara ya CCM inajumlisha pia wafanyakazi hewa. Serikali inapoteza karibu Tsh 2 trion kila mwaka kulipia wafanyakazi hewa. Haya sion maneno ya CDM. Jana wabunge wa CCM Suleima Jafu, Dr. William Mgimwa, Michael Laizer etc. wameyasema. Kama una shaka na hao wabunge tafuta report CAG.

Hilo tu hata kabla hatujaenda kwenye kupunguza posho, ukubwa wa baraza la mawaziri, etc. Kama CDM wanaweza kudhibiti wafanyakazi hewa wa CCM tayari watakuwa kibindoni wame save Tsh 2 trion. Kama hawa Ghasia anasema ukweli afanye mdahalo na Suzana Lyimo, halafu mtajua pumba ni zipi na mchele ni upi. Huyu mama kwanza amelidanganya bunge hana degree ya uchumi. CCM kazi kujipa usomi wasiokuwa nao kama yule mwizi wa taulo hotelini eti anajiita Dr.
 
Nakupa somo wewe na kilaza mwenzio Hawa bint Ghasia Mke wa Fujo!
Tanzania inawatumishi wa Serikali wasiozidi laki nne (400,000) lakini kwa mujibu wa mkuu wa magamba wako 350,000 (rejea speech yake ya maarufu ya mbayuwayu). Kwa vile kuna viwango tofauti tofauti vya mishahara na posho za lazima fanya kila mfanyakazi anapata Tsh laki saba (700,000/=) kwa mwezi.

Wafanyakazi 400,000 X Tsh. 700,000 X Miezi 12 = Tsh 3,360,000,000,000/= (Trillion 3.36)
Changanya na michango ya mifuko ya jamii na Bima ya afya haizidi 20% ya hiyo (Trillion 3.36) utapata Tsh. 672,000,000,000/= (Bil. 672)

Ukijumlisha vyote yaani Tsh 3,360,000,000,000 + 672,000,000,000 = Tsh. 4,032,000,000,000/= (Trillion 4.032/=) Hii ndiyo gharama zooote za mishahara ya wafanyakazi na posho zao kwa viwango tofauti tofauti kama kima cha chini kikiwa Tsh. 315,000/=. Huyo Hawa Ghasia yeye hesabu yake ilikuwaje akapata utumbo?

Wewe naye umekurupuka, kwanza unaonekana hujui hata kuandika tarakimu sawa na waliokutuma wakipewa hundi ina tarakimu tofauti na maandishi tena hadharani!


Mkuu una nyodo sana!! Halafu acha dharau unapojibu michango ya mtu!! Hivi utawezaje kulipa mshahara kima cha chini hadi laki 3.15 na yule wa kima cha kati laki 3 usimjumishe?? ina maana wa kima cha kati anazidiwa na wa kima cha chini?? sasa piga hesabu zako wa kima cha kati (laki3-4) na wale wa kima cha chini 3.15 halafu njoo tena...p.umbavu wewe!!
 
Mkuu una nyodo sana!! Halafu acha dharau unapojibu michango ya mtu!! Hivi utawezaje kulipa mshahara kima cha chini hadi laki 3.15 na yule wa kima cha kati laki 3 usimjumishe?? ina maana wa kima cha kati anazidiwa na wa kima cha chini?? sasa piga hesabu zako wa kima cha kati (laki3-4) na wale wa kima cha chini 3.15 halafu njoo tena...p.umbavu wewe!!

Tempers!........could land you with BAN
 
Nimeamini jamaa hafahamu kabisa mahesabu. Ukisoma hapo chini, unabaki mdomo wazi na kupigwa na butwaa.

Muacheni masikini wa Mungu ambaye MAGAZIJUTO hakupitia kabisa. Naanza kuamini kuwa Degree ya Ghasia ilisimamiwa na Salma Kikwete (Maelezo juu) maana unashindwa kabisa kuelewa mtu anapewa mfano mdogo na yeye anarudi na maelezo ya WAGAGAGIGIKOKO.
Nakupa somo wewe na kilaza mwenzio Hawa bint Ghasia Mke wa Fujo!
Tanzania inawatumishi wa Serikali wasiozidi laki nne (400,000) lakini kwa mujibu wa mkuu wa magamba wako 350,000 (rejea speech yake ya maarufu ya mbayuwayu). Kwa vile kuna viwango tofauti tofauti vya mishahara na posho za lazima fanya kila mfanyakazi anapata Tsh laki saba (700,000/=) kwa mwezi.

Wafanyakazi 400,000 X Tsh. 700,000 X Miezi 12 = Tsh 3,360,000,000,000/= (Trillion 3.36)
Changanya na michango ya mifuko ya jamii na Bima ya afya haizidi 20% ya hiyo (Trillion 3.36) utapata Tsh. 672,000,000,000/= (Bil. 672)

Ukijumlisha vyote yaani Tsh 3,360,000,000,000 + 672,000,000,000 = Tsh. 4,032,000,000,000/= (Trillion 4.032/=) Hii ndiyo gharama zooote za mishahara ya wafanyakazi na posho zao kwa viwango tofauti tofauti kama kima cha chini kikiwa Tsh. 315,000/=. Huyo Hawa Ghasia yeye hesabu yake ilikuwaje akapata utumbo?

Wewe naye umekurupuka, kwanza unaonekana hujui hata kuandika tarakimu sawa na waliokutuma wakipewa hundi ina tarakimu tofauti na maandishi tena hadharani!


Mkuu una nyodo sana!! Halafu acha dharau unapojibu michango ya mtu!! Hivi utawezaje kulipa mshahara kima cha chini hadi laki 3.15 na yule wa kima cha kati laki 3 usimjumishe?? ina maana wa kima cha kati anazidiwa na wa kima cha chini?? sasa piga hesabu zako wa kima cha kati (laki3-4) na wale wa kima cha chini 3.15 halafu njoo tena...p.umbavu wewe!!
 
Sipendi sana huu mjadala kwani unaweza kuiumbua serikali zaidi ya inavyofikiri. Ni kwali huyu Ghasia anataka ashushiwe data? Anawajaribu CDM au yuko serious? Namwonea huruma kwani hata mwaka jana budget ya CDM ilidhihirisha uwezo wa kulipa 315,000, iweje leo wawe (CCM) na ujasiri wa kuwahoji! Naomba kushangaa, wakuu.
 
huyu hawa gasia ni kilaza kama bosi wake,hiyo bajeti ya mshahara ni ya ccm.
walisema wanalipa t.3 wakasema kwa vile ukilipa laki tatu ni asilimia mia mbili ya laki na tano wanayolipa kwa hiyo wakazidisha hiyo laki 3*asilimia 200=9000000000.akili ya kimagamba.cdm walisema unaongeza kima cha chini tu. wao wakaongeza mpaka mtu anayelipwa milioni 3 akawa na milioni 9.akili ya kuambiwa changanya na zako.

Safi sana. Hata mimi huwa nafikiria kwamba kima cha chini kinaweza kupandishwa kwa kuongeza difference ya kima cha chini cha sasa yaani 135000 na 315000 ambayo ni 180000 ukamwongezea kila mfanyakazi inatumia fedha kidogo badala ya kutumia mfumo wa ukokotaji kwa asilimia. Mfano 180000 X 500000 = 90,000,000,000/=. Si unaona ni 90 bil tu. Yaani magamba utadhani hawana akili vichwani kabisa
 
jamani huyu mama ana mawazo mgando na wafuasi wake wa magamba niwavivu kufikiria. hakika hawa ndio wale waliokimbia hesabu shuleni. CDM wanachosema nikupandisha kima cha chini hadi 315,000 na siyo kupandisha mishahara ya ngazi kwa hiyo percentage. Pia namuunga mkono mdau Mndeme yakua na mapato ya kodi yatazidi (PAYE). Nadhani taifa lianzishe elimu ya lazma kwa wanamagamba wote
 
Angewasifia CDM kibarua kingeota nyasi, anamtumikia kafiri ili apate mradi wake ati!
Lakini cha ajabu pamoja na kuwaponda mtasikia wametumia bajeti mbadala na sera
za CDM katika kuongoza serikali yao! Tunawajua kwa hilo.
 
Sizinga, soma vizuri mfano wa Anko Sam,

Ametoa mfano watumishi wote walipwe 700,000/=, yaani amechukua makadirio ya kati, kwani wapo wanaolipwa chini ya hapo na wengine juu ya hapo sasa huo wastani aliochukua unaweza kuwa ndio base ya calculation.

pia punguza Jazba Hoja za Ghasia ni Ghasia kama jina lake, hakufanya mahesabu kwa umakini na ndio maana kaja na pumba, Chadema wakitaka wamjibu ila wakipenda wamwache na ujinga wake maana wanachi wanajua kufanya mahesabu.
 
Mkuu ile haikuwa HOJA ni vijembe sioni kama ni sahihi Kujibu hata vijembe
 
CCM haina jipya kwa wannchi wa TANZANIA,imetufanya leo tuwe hapa katika dimbwi la umaskini,tunaichukia CCM,ILANIWE.
 
majibu rahisi kwa swali gumu, umewashika pabaya mkuu, ha ha ha ha ha ha

Mkuu, mimi ninadhani badala kushabikia kwamba wameshikwa pabaya, ungefanya utafiti wa hiyo mishahara ya watumishi wa serikali. Kwa mfano, wako wangapi kwa ujumla wake, na ktk kila salary scale kwa ujumla huo wako wangapi? Na it's obvious kwamba katika kupandisha mishahara watumishi wote hawawezi kupandishwa kwa equal percentage. Kwa hiyo inayosemekana nyongeza ni almost 133% sasa huwezi kuwaongeza wote kwa percentage hiyo hiyo. Hivyo anayefikiri CDM wamechemsha nadhani yeye ndiye amechemsha kwa kupiga simple arithmetic badala ya kukokotoa
 
Back
Top Bottom