comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,948
Mwaka 2015 mhesmiwa Mbowe ilichukua na kufufua magari matatu chakavu na spika tatu chakavu kutoka vyomba vya muziki vilivyokuwa vinamilikiwa na Birricana Club na kuvigeuza kuwa PA kwa thamani ya shs 100,000,000/= akifanya jumla ya shs 300,000,000/=. PA hizi alizitumia kwenye kamepeni jimboni Hai.
Baada ya uchaguzi akaziuza CHADEMA kwa bei ya shs 300,000,000/= kufanya jumla ya 900,000,000/= kwa zote tatu.
Mwaka 2010-2015 CHADEMA ilipokea 900,000,000/= kutoka kwa Mzee Sabodo zitumike kuwapa wabunge kwenye majimbo yote yalikuwa na wabunge wa CHADEMA kwa ajili ya kuchimba visima, mpaka ukaguzi unafanyika hakukukuwa na kisima hata kimoja kilichochibwa.
Aidha CHADEMA ilipokea 100,000,000/= Kutoka kwa Mzee Sabodo kwa ajili ya kujenga makao makuu ya CHADEMA. Hadi leo hakuna msingi uliochibwa.
Tunapendekeza CHADEMA ijibu tuhuma hizi.
Baada ya uchaguzi akaziuza CHADEMA kwa bei ya shs 300,000,000/= kufanya jumla ya 900,000,000/= kwa zote tatu.
Mwaka 2010-2015 CHADEMA ilipokea 900,000,000/= kutoka kwa Mzee Sabodo zitumike kuwapa wabunge kwenye majimbo yote yalikuwa na wabunge wa CHADEMA kwa ajili ya kuchimba visima, mpaka ukaguzi unafanyika hakukukuwa na kisima hata kimoja kilichochibwa.
Aidha CHADEMA ilipokea 100,000,000/= Kutoka kwa Mzee Sabodo kwa ajili ya kujenga makao makuu ya CHADEMA. Hadi leo hakuna msingi uliochibwa.
Tunapendekeza CHADEMA ijibu tuhuma hizi.