CHADEMA isipomvua Zitto uanachama...!

CHADEMA isipomvua Zitto uanachama...!

Natangaza rasmi kuwa Chadema isipomvua Zitto uanachama nitakuwa wa kwanza kuiviruga kupitia mtandao huu wa JF bila kujali lolote.
Nina details za kuvuruga chama zaidi ya Zitto.

Cc Crashwise
Huna mpya wewe..Zitto yupo na ATAZIDI KUWEPO. kwahiyo jipange ............
 
Natangaza rasmi kuwa Chadema isipomvua Zitto uanachama nitakuwa wa kwanza kuiviruga kupitia mtandao huu wa JF bila kujali lolote.
Nina details za kuvuruga chama zaidi ya Zitto.

Cc Crashwise

Wewe naye utakuwa umevurugwa! hivi kwa akili yako unadhani unaweza kuivuruga CDM JF? Watu wote wanaopita jf walishajitambua kitambo.CDM imesambaa kila kona ya nchi hii waulize maccm kuwa,toka waanzishe LB7 FC wamefanikiwa kwa % ngapi kuivuruga cdm?
 
Siku kumi na NNE bado tu!sasa hivi watarudishiwa vyeo vyao
 
Natangaza rasmi kuwa Chadema isipomvua Zitto uanachama nitakuwa wa kwanza kuiviruga kupitia mtandao huu wa JF bila kujali lolote.
Nina details za kuvuruga chama zaidi ya Zitto.

Cc Crashwise

Ajabu! Utapata faida gani? Familia yenu itabadili mlo kwa hilo? Shangazi chapa kazi!
 
ndugu yangu siasa na maisha yetu ni vitu vilivyo pamoja, hawa wanasiasa ndo wanaoamua hatma za maisha yetu, kuchukia siasa ni sawa na kumsusia nguruwe shamba ati ukidhani unamkomoa, ni sawa pia na kumsusia kinana mbuga zetu ivi tutawakuta tembo wetu kweli?

Hahahahaha kinana na mbuga mbona atasafirisha hadi nyasi na tutabaki na jangwa
 
Niliwahi kuweka thread hii hapa jf katika kupima athari za kumvua au kutomvua uanachama zitto:"Kwa mtazamo wangu ni kwamba kumfukuza Zitto ndani ya chama ni kuwafanya wanachama na wapenzi wa chama cha CHADEMA wasioafikiana nae katita sakata hili kubaki "intact" bila ya bughudha ni mwelekeo upi waufuate. Itakuwa ni kazi kwa wafuasi wake (kama wapo) kutafuta wapi waende iwapo watajikuta wako njia panda kwa namna moja au nyingine.
Kutomfukuza Zitto ndani ya chama , ni kuruhusu kinyume cha hayo yaliyotangulia. Hii ina maana wafuasi wake (kama wapo) watasimama imara na changamoto itakuwa kwa kundi la pili (kama lipo). Je hili kundi la pili liendelee na msimamo wake au lijiunge nae.
Katika hayo mawili , lipi linastahili: afukuzwe au asifukuzwe!"

Naiwasilisha tena.
 
Natangaza rasmi kuwa Chadema isipomvua Zitto uanachama nitakuwa wa kwanza kuiviruga kupitia mtandao huu wa JF bila kujali lolote.
Nina details za kuvuruga chama zaidi ya Zitto.

Cc Crashwise

Wewe utakuwa umeivuruga Chadema kihasara, mwenzio Zitto yametajwa mamilioni aliyokuwa analipwa kwenye mabenki ya nje, hata sasa anaweza akaamua akakaa tu bila kufanya kazi na akala bata mpaka uzeeni Chezea Usalama wa Taifa wewe!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ki ukweli asipofukuzwa Zito itanikatisha tamaa sana,na nitatangaza kuachana na siasa
 
Wananchi maskini wa kitanzania hatutaki siasa

vuruga tu! ila najua unajua kua tutakupuuza kama tunavompuuza shibuda na hata huyo zzk wako.dola inashindwa kuvuruga sembuse wewe unaetaka ujipe ujiko usiokusaidia? au ni zzk unatumia avator bandia? KAFE!
 
alichemka sixgates utakuwa wewe?
mtu mzima atishiwi nyau
 
Last edited by a moderator:
niliwahi kuweka thread hii hapa jf katika kupima athari za kumvua au kutomvua uanachama zitto:"kwa mtazamo wangu ni kwamba kumfukuza zitto ndani ya chama ni kuwafanya wanachama na wapenzi wa chama cha chadema wasioafikiana nae katita sakata hili kubaki "intact" bila ya bughudha ni mwelekeo upi waufuate. Itakuwa ni kazi kwa wafuasi wake (kama wapo) kutafuta wapi waende iwapo watajikuta wako njia panda kwa namna moja au nyingine.
Kutomfukuza zitto ndani ya chama , ni kuruhusu kinyume cha hayo yaliyotangulia. Hii ina maana wafuasi wake (kama wapo) watasimama imara na changamoto itakuwa kwa kundi la pili (kama lipo). Je hili kundi la pili liendelee na msimamo wake au lijiunge nae.
Katika hayo mawili , lipi linastahili: Afukuzwe au asifukuzwe!"

naiwasilisha tena.

akiomba msamaha na kukubali makosa waziwazi,asifukuzwe ila aangaliwe kwa ukaribu na asipewe cheo chochote
 
Natangaza rasmi kuwa Chadema isipomvua Zitto uanachama nitakuwa wa kwanza kuiviruga kupitia mtandao huu wa JF bila kujali lolote.
Nina details za kuvuruga chama zaidi ya Zitto.

Cc Crashwise

kamanda, ili kutenda haki ungeshauri pia chama kimchukilie hatua gani kamanda mbowe kwa tuhuma za ufisadi dhidi ya chama na uzinzi dhidi ya viti maalum...........
 
Sijui kama kwa siasa za namna hii Tanzania itakuja kupata chama kingine cha kuitoa CCM madarakani,na laiti kama chadema ingejuwa kwamba kuna wanaCCM wengi wanataka kukihama chama hicho lakini bado hawajaona chama mbadala!
 
Mkuu mimi nitarudisha kadi ya CDM na kubaki kuwa yatima wa kisiasa, Zitto kafanya mabaya mengi sana hata hili la kumchafua Mbowe kahusika na soon tutaleta ushaidi humu.

Sipo tayari kuishi na nyoka nyumba moja.
Tunataka evidence sio maneno tu, lete huo ushahidi ili kama Zitto ni mnafiki kieleweke kwa sasa hatujengi chama bali tunataka kukibomoa
 
chadema family bhana.....chuki tu dhidi ya zito, utadhani zito ndo alimtuma mbowe kufanya upuuzi!
 
Wakuu mnasubili nini kelele za chura hizo mtimueni huyo zitto ili mpate kunywa maji naona hamlali la sivyo ondokeni nyie kwenye chama kweni mlizaliwa humo? bado kuna maisha nje ya chama.
 
chadema is very interesting party, nakwambia kwa ela akina wasira, mwigulu, nchimbi et al walizokuwa wakimpa zito kabwe ili akiangamize chama real kama ingekua cuf, nccr, tlp nk. zingekufa mda mfup sana.

ivo ni lazima tuwape mda pia tuwaunge mkono viongoz wetu wa chama ili waandae mikakati ya kukiweka sawa chama pia kuandaa hatua madhubut dhid ya msalit zito kwani sio siri chama tayari kiliishajeruhiwa kiasi, kumbuka sakata la akina mtela, mchange, shonza et al na la uyu zito

Hivi uandishi kama huu kwenye red unaashiria nini? ni shule ndogo ya mwandishi au hajui kiswahili fasaha au ni uelewa duni wa uandishi wa kiswahili? mnatia aibu sana. utakuta hata waandishi wa magazeti wanaandika upuzi huu sijui hata wahariri hawaoni au wote level yao ya uelewa ni moja? Mnakera sana hebu jifunzeni kuandika kiswahili fasaha. kama hujui kuandika omba mwenzio akusaidie kabla hujapost humu.
 
Zzk ashavuliwa uanachama cku nyingi kinachofuata ni formality tu
 
Back
Top Bottom