CHADEMA isipomvua Zitto uanachama...!

CHADEMA isipomvua Zitto uanachama...!

Hivi mbona siku hizi Zitto anahudhuria vikao vya bunge? Nauliza kwa kuwa kwa muda mrefu nilikuwa simwoni. Vipi, amesitisha safari zake au hajapewa fedha? Mara nyingi alikuwa nje ya nchi.
 
Mwenyekiti amekulia katika familia ya kitajili, hajui shida za wananchi - Waraka
Mwenyekiti anafanya siasa ki-local local - Waraka
Mwenyekiti anaelimu ndogo sana - Waraka

Hata rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma elimu yake ni ndogo lakini anaongoza Taifa lenye wasomi waliobobea.
 
UNAMUONA UYU MWEHU WA KIKE,,, BADALA YA KUJIKITA KT MADA ANAISHIA KTOA IYO COMENT,

NDO HAWA WATEULE WALOPEWA LAPTOP NA CCM THR MAKAMBA Jr. KUWAFANYIA PROPAGANDA,

NAOMBA MNIAMINI KUWA MKIMUONA MBWA JUU YA MTI LAZIMA ATAKUWA KAPANDISHWA, i.e. KTK TEAM YA LUMUMBA sr Magdalena lzm kabebwa, na nadhani ni chakula cha mwigulu mpenda totoz REF: Kitendo chake cha ktembea na mke wa mtu igunga

Tungeanza na KUB

KUB = Kiongozi wa Uzinzi Bungeni Ref. Viti Maalum
 
nitakusaidia mkuu nina hamu kuu maana wamezidi hawa malaghai hakika humu kutatikisika siku hiyo
Natangaza rasmi kuwa Chadema isipomvua Zitto uanachama nitakuwa wa kwanza kuiviruga kupitia mtandao huu wa JF bila kujali lolote.
Nina deteals za kuvuriga chama zaidi ya zitto
Cc Crashwise
 
Hivi mbona siku hizi Zitto anahudhuria vikao vya bunge? Nauliza kwa kuwa kwa muda mrefu nilikuwa simwoni. Vipi, amesitisha safari zake au hajapewa fedha? Mara nyingi alikuwa nje ya nchi.

Zitto Zuberi Kabwe
Chadema
Questions (10)
Supplementary question (39)
Contributions (149)

Mbowe Aikael Freeman
Chadema
Questions (6)
Supplementary question (34)
Contributions (46)

Lema Jonathan Godbless
Chadema
Questions (1)
Supplementary question (2)
Contributions (12)

Mwenye macho haambiwi tazama, hatudanganyiki
 
Natangaza rasmi kuwa Chadema isipomvua Zitto uanachama nitakuwa wa kwanza kuiviruga kupitia mtandao huu wa JF bila kujali lolote.
Nina deteals za kuvuriga chama zaidi ya zitto
Cc Crashwise
KAWAVURUGE kama hawajakufanya kama CHACHA WANGWE! Kumbe unayajua maovu yao halafu unayaficha? We hulitakii mema taifa hili, we ni mnafiki wa kutupwa kama MBOWE NA SLAA.
 
Chadema hawana ubavu wa kumvua Zitto uanachama kwa hiyo anza tu. Unangoja siku 14 zipi tena?
Hivi kweli bado mwanachama wa chadema mbona anamsaidia kwa karibu naibu katibu mkuu wa CCM asiyeshirikiana na secretariat bali anashirikiana na zitto zaidi ha ha
 
Zitto Zuberi Kabwe
Chadema
Questions (10)
Supplementary question (39)
Contributions (149) Kijana anapiga shule huko nje, usifikiri yeye ni kama akina DJ Baba Freelady. Tatizo ni wivu mlio nao kwa zzk. Mbona hamumuulizi Mbowe kumiliki nyumba South Africa, Dubai na Marekani? Hawa jamaa hawatufai kabisa kutuongoza na hawatakuja kuliongoza taifa hili kamwe. Wanafiki. Wazandiki. Wana choyo. Wana roho mbaya. Wauaji. Watekaji na watesaji.

Mbowe Aikael Freeman
Chadema
Questions (6)
Supplementary question (34)
Contributions (46)

Lema Jonathan Godbless
Chadema
Questions (1)
Supplementary question (2)
Contributions (12)

Mwenye macho haambiwi tazama, hatudanganyiki
:bange::dance::drum:
 
Zitto Zuberi Kabwe
Chadema
Questions (10)
Supplementary question (39)
Contributions (149)

Mbowe Aikael Freeman
Chadema
Questions (6)
Supplementary question (34)
Contributions (46)

Lema Jonathan Godbless
Chadema
Questions (1)
Supplementary question (2)
Contributions (12)

Mwenye macho haambiwi tazama, hatudanganyiki
Wenzake wakijenga chama na kupambana na polisi na mahakama za CCM yeye yuko bungeni kutekeleza yale aliyokubaliana na MACCM for now he is on run Lema kamkalia koo ataje majina ya walio na hera uswisi
 
Natangaza rasmi kuwa Chadema isipomvua Zitto uanachama nitakuwa wa kwanza kuiviruga kupitia mtandao huu wa JF bila kujali lolote.Nina details za kuvuruga chama zaidi ya Zitto.Cc Crashwise
Yaani unasikia mtaani natembea na mama ako mzazi unaniundia bifu kwa kusikia tuhuna ushahidi, hujashirikisha ubongo, mahaba yako kwa akina mbowe ( kama wewe si mbowe) na chuki binafsi na wivu kwa zito zimepofua macho yako
 
Zitto Zuberi KabweChademaQuestions (10)Supplementary question (39)Contributions (149)Mbowe Aikael FreemanChademaQuestions (6)Supplementary question (34)Contributions (46)Lema Jonathan GodblessChademaQuestions (1)Supplementary question (2)Contributions (12)Mwenye macho haambiwi tazama, hatudanganyiki
sugu na msigwa vipi??
 
Mwaka 2005, ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana na kijana nguri wa siasa Zitto Zuberi Kabwe. Nakumbuka ilikuwa eneo maarufu kama Kontena pale chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Tulikuwa katika harakati za uchaguzi wa Serikali ya wanafunzi DARUSO.

John Mrema ndiye aliyenitambulisha kwa mwanasiasa huyu kijana na mahiri kwa siasa zake za kuvizia. Ulikuwa uchaguzi wa serikali ya wanafunzi, ambapo Mwita Waitara Mwikwabe ndiye aliyeibuka kidedea. Huyu alijifanya kuvaa nguo za kijani nje kumbe ndani ni gwanda.

Hata kabla ya mwaka huo (2005) nilikuwa nikimsikia Zitto jinsi anavyofanya siasa ndani ya UDSM wakati yeye sio mwanafunzi. Pia nikawa nasikia siasa hizo anazifanya hata vyuo vingine isipokuwa Mzumbe ambapo UVCCM ilikuwa imeweka mizizi.

ZITTO apingwe tu, tena sana.

Nadhani watu wanaweza kudhani nimeungana na Umbowe au Ubabu kumsema Zitto hasha, nilitokea kutopenda siasa za Zitto toka kale. Kwasababu nilimuona ni kijana mahiri na mweredi wa siasa lakini akiwapoteza vijana wengi sana nchini, tena wenye elimu zao.

1. Zitto amewafanya vijana wengi sana kujiunga na chama cha wajanja wajanja (CDM) wakati akijua chama hicho, sio chama kitakachowaletea maendeo watanzania, bali kukuza malalamiko na usanii.

2. Zitto aliwadanganya vijana wengi sana katika elimu ya juu, wakaingia katika migomo katika vyuo vyao. Wengine walifukuzwa na wengine walisimamishwa. Kisa ulikuwa ni mkakati wake wa kuimarisha Chadema.

3. Zitto amewapotosha vijana wengi, ambao sasa wanaona mbele giza, hawajui wafanye nini. Kwasababu aliwapa matumaini makubwa juu ya CDM wakati akijua sio chama cha siasa bali genge la wanasihasa

4. Zitto, baada ya kuwapotosha vijana wengi, sasa hataki kuwaambia ukweli, nini kilichomo ndani ya CDM, zaidi anafanya mipango ya kuwakimbia/kuwatelekeza.

5. Zitto amewafitinisha vijana na serikali yao. Ili waione CDM ni malaika.

Kwa dhati kabisa, Chadema mchapeni viboko vingi, tena vingi.
 
huyo yuko taabani anahitaji drip ya vitamin hata uingie humu kwa ID mia kumserve amebaki makapi alivyopandishwa ndivyo alivyoshushwa arudishe brief case la watu lekendu na hizo million miambili hamsini
 
Teh teh....!!
Ungesema hayo tangu 2005 "ungeokoa" wengi...
Naona nawe umevizia mkuu.
 
nimejikuta nabaki kushangaa, kuona kila baya linalotokea nchini humu lazima uhusishwe.
Usalti wa chama chako wewe, kupokea posho kwa kificho wewe, kupokea rushwa toka ccm wewe, kuratibu wavurugaji wa mikutano ya mbowe na slaa wewe, umalaya wewe, pesa za uswis wewe. Cha kushangaza zaidi hata hili la kiogozi wetu mkuu wa chama,mh mbowe wanasema zitto kashirikiana na mwinguru kuratibu. Sasa kabla watu hawajamuhusisha zitto kwa hili tujiulize kwanza nikweli mbowe kafanya hivo kweli? Kama nikweli zitto kahusika vipi?

Nataka kuuliza nibinadamu gani ambaye anaweza kufanya vitu vyote kwa mpigo?
Siku wakikuta kuna mtu kajisaidia pale stend ya ubungo watu watasema zitto kahusika. Jamani hayo yote anayorushiwa zitto yana uhalisia au ni kusadikika tu kwa hisia za chuki?
 
Mh!
Ngoja waamke!
Ila mimi nilishasema Zitto aende akaimalishe CHAUMA au aje na chama kipya kama anataka kweli kuendelea na Siasa za ushindani, zaidi ya hapo basi akaombe kazi UDOM afundishe.
 
huyo yuko taabani anahitaji drip ya vitamin hata uingie humu kwa ID mia kumserve amebaki makapi alivyopandishwa ndivyo alivyoshushwa arudishe brief case la watu lekendu na hizo million miambili hamsini

viboko zaidi vinahitjika muadhibuni tu kwa kuwapoteza wengu
 
Back
Top Bottom