CHADEMA isipomvua Zitto uanachama...!

CHADEMA isipomvua Zitto uanachama...!

Mapenzi yakizidi sana yanaitwa lumbwata usiegemee upande mmoja tafakar na fanya tafiti ukweli upo wapi zitto ni muas katika hizi harakati za mapinduzi
 
Ndugu wanajamvi naomba kupata ufafanuzi kuhusu usaliti wa zitto uko katika misingi ipi.

Nimekuwa nikifuatilia mda sasa swala la zitto kabwe na usaliti anaohusishwa, ila sijapata kuona mtu anayekuja na taarifa ya uhakika kuwa zitto kakisaliti chama kwa namna hii.
Wengi wamekuwa wakisema kapokea rushwa kutoka ccm ila cha kushangaza tuhuma hii mnyika alikanusha, slaa na mtei kupitia walaka wa siri wa zitto. Kuhusu sakata la waraka wa mabadiliko ya 2013, wahusika waliouandaa walikiri kwa maandishi kuwa niwao ila zitto hahusiki.

kinachonishangaza kila kukicha zitto ndo anazidi kuhusishwa na kila aina ya tuhuma hapa nchini, hata swala la mbowe kahusishwa, yani kila baya zitto yumo.

Je? Nikweli anahusishwa kwa sababu ya usaliti au watu hawamtaki kwa sababu hawamtaki? Jamani napenda nami kujua na si kutetea upande wowote.
 
naichukia ccm lakini namchukia zitto zaidi,,
 
Kwanini na wewe usiwe miongoni mwa wanaofukuzwa kaa Zito? ZZK afukuzwe asifukuzwe wewe pia una details za kutosha za kukichafua chama ila details za kukijenga chama huna hakika unastahili kufukuzwa wewe kwanza-CHADEMA NAWASHAURI ANZENI NA HUYU MTU NI MBAYA KULIKO ZITO FUKUZENI YEYE MAPEMA-KISHA MALIZIENI NA KUMTIMUA ZITO Z.KABWE.
 
Zitto kaishatimuliwa , linasubiriwa tamko tu , japo sijapenda mikwara yako kwamba una details za kuvuruga cdm kuliko zitto , msingi mkuu wa maamuzi ya cdm ni katiba wala siyo mayowe ya kila mtu .
 
Sekeseke linaloendelea ndani ya chama cha Demokrasia na maendeleo chadema inaonekana kama mchezo wa kuigiza, ambapo mwanzoni walimvua nyadhifa zake zote ndani ya chama mh. Zitto na kuahidi kumfukuza uanachama mwanasiasa huyo anayependwa na vijana wengi nchini lakini haikuwa hivyo mpaka sasa kwa kuogopa kukisambaratisha chama, mwisho sinema hii inapoishia ni kumrejeshea Zitto nafasi zake zote ndani ya chama kutokana na mwasisi wa chama hicho Edwin Mtei kukiri kuwa Zitto ni makini ni mwanasiasa asiyetetereka ni hazina ya chama baadaye alisema mtei.
 
Sekeseke linaloendelea ndani ya chama cha Demokrasia na maendeleo chadema inaonekana kama mchezo wa kuigiza, ambapo mwanzoni walimvua nyadhifa zake zote ndani ya chama mh. Zitto na kuahidi kumfukuza uanachama mwanasiasa huyo anayependwa na vijana wengi nchini lakini haikuwa hivyo mpaka sasa kwa kuogopa kukisambaratisha chama, mwisho sinema hii inapoishia ni kumrejeshea Zitto nafasi zake zote ndani ya chama kutokana na mwasisi wa chama hicho Edwin Mtei kukiri kuwa Zitto ni makini ni mwanasiasa asiyetetereka ni hazina ya chama baadaye alisema mtei.

Kuna magojwa ambayo hayana tiba kama ulilyonayo wewe na Zitto. Ndiyo maana lazima atafukuzwa au atajifukuza.
Mngeanzisha chama huko Kigoma mjitenge muende Rwanda au Burundi.
 
Ndugu wanajamvi naomba kupata ufafanuzi kuhusu usaliti wa zitto uko katika misingi ipi.

Nimekuwa nikifuatilia mda sasa swala la zitto kabwe na usaliti anaohusishwa, ila sijapata kuona mtu anayekuja na taarifa ya uhakika kuwa zitto kakisaliti chama kwa namna hii.
Wengi wamekuwa wakisema kapokea rushwa kutoka ccm ila cha kushangaza tuhuma hii mnyika alikanusha, slaa na mtei kupitia walaka wa siri wa zitto. Kuhusu sakata la waraka wa mabadiliko ya 2013, wahusika waliouandaa walikiri kwa maandishi kuwa niwao ila zitto hahusiki.

kinachonishangaza kila kukicha zitto ndo anazidi kuhusishwa na kila aina ya tuhuma hapa nchini, hata swala la mbowe kahusishwa, yani kila baya zitto yumo.

Je? Nikweli anahusishwa kwa sababu ya usaliti au watu hawamtaki kwa sababu hawamtaki? Jamani napenda nami kujua na si kutetea upande wowote.

ukiona mwanao anasura ya upole lakini kila baya watoto wenzake wanamtaja. Kaa na utafakari kwa kina. Kwanini yeye tu? Paka ni mnyama mpole ila ukiingia anga zake ni heri ugombane na mbwa. Yaweza kuwa zzk ni mchora ramani ila wengine ni watendaji. Ghorofa likianguka mchora ramani halaumiwi ila .....
 
Ukifuatilia siasa za Tanzania utagundua kwamba mara zota Zitto Kabwe anapokuwa kwenye mgogoro na chama chake, utaona viongozi wengi wa CCM wakimtetea kuwa anaonewa, huku wakiingiza masuala ya ukanda na ukabila, Kwenye kikao cha Bunge cha juzi naibu spika akimjibu mbunge wa nyamagana muheshimiwa Wenje alitumia fursa hiyo kuongelea masuala ya zito huku akionyesha kumtetea kwenye mgogoro wa chama chake. Mtela mwampamba ambaye kwa sasa ni kiongozi wa UVCCM amekuwa karibu sana kumtetea zitto ali asivuliwe uongozi, Muheshimiwa Lemma alishambuliwa kwenye mitandao na vijana wa CCM baada tu ya kuwepo vita ya maneno kati yake na Zitto kabwe, na jana tu Muheshimiwa Mbowe ameshambuliwa na Mwigulu Chemba kwa mambo binafsi tu, lakini ukiunganisha dots utajua kuwa hii yote ni kujibu mapigo kutokana na sakata la mtu wao zotto kabwe.
Sasa wana jamii tujiulize kuna masilahi gani ambayo CCM inaendelea kuyapata kwa Zitto kabwe kuendelea kubaki Chadema? Ni kwa nini basi kama zitto ni kiongozi bora hatujasikia kiongozi yoyote wa CCM kumshawishi kujiunga na chama chao? Sasa naanza kuamini kuwa Zitto kabwe ndio karata ya mwisho ya CCM waliyobaki nayo mkononi.
 
Ndugu wanajamvi naomba kupata ufafanuzi kuhusu usaliti wa zitto uko katika misingi ipi.

Nimekuwa nikifuatilia mda sasa swala la zitto kabwe na usaliti anaohusishwa, ila sijapata kuona mtu anayekuja na taarifa ya uhakika kuwa zitto kakisaliti chama kwa namna hii.
Wengi wamekuwa wakisema kapokea rushwa kutoka ccm ila cha kushangaza tuhuma hii mnyika alikanusha, slaa na mtei kupitia walaka wa siri wa zitto. Kuhusu sakata la waraka wa mabadiliko ya 2013, wahusika waliouandaa walikiri kwa maandishi kuwa niwao ila zitto hahusiki.

kinachonishangaza kila kukicha zitto ndo anazidi kuhusishwa na kila aina ya tuhuma hapa nchini, hata swala la mbowe kahusishwa, yani kila baya zitto yumo.

Je? Nikweli anahusishwa kwa sababu ya usaliti au watu hawamtaki kwa sababu hawamtaki? Jamani napenda nami kujua na si kutetea upande wowote.
Wangesema kwa style ipi ndio ungesema ni habari ya uhakika?
 
Mkuu uzi wako umetaja kila baya ambalo amelifanya Zitto kwa vijana na nakuunga mkono na miguu. Mim ni mmoja wa watu ambao kwa mdomo wa Zitto niliingia chadema na kwa mapenzi na hekima ya Mungu ikaniondoa chadema.

MUNGU NI MWEMA..AHIMIDIWE MILELE NA MILELE

Mkuu, sijakuelewa, ni wewe kweli?
 
walipewa siku 14 wawe wameshajibu barua zao huko kwa baraza kuu,CCM nyie kama mnampenda Zzk mchukueni na mpe uongozi
 
Natangaza rasmi kuwa Chadema isipomvua Zitto uanachama nitakuwa wa kwanza kuiviruga kupitia mtandao huu wa JF bila kujali lolote.
Nina details za kuvuruga chama zaidi ya Zitto.

Hizo detail mpelekee Slaa maana ndio mhanga anayefuatia.
 
usiwe na munkali jomba, ni ka muda tu, utamuona zito akiwa chali,

uyu zito kala ela ya ccm yani mpango wa ccm alokuwa akiutekeleza pale chadema umebuma ivo naye lazima nae atabomolewa
Hilo ulisemalo wenzio wenye chadema wamekataa kuwa ule waraka haukutoka chadema. Kwahiyo hawana, na ndio maana zzk kawashtaki chadema kwa msajili wa vyama wewe.. Haulijuwi hilo, uliza kaka.
 
Zitto anaenda na maji hana ujanja...siasa za kinafiki zimemfikisha mwisho harak
 
Msiwe na wasiwasi waungwana chadema lazima iwatendee haki watanzania.

Haiwezekani binadamu kuishi chumba kimoja na shoka
 
UNAMUONA UYU MWEHU WA KIKE,,, BADALA YA KUJIKITA KT MADA ANAISHIA KTOA IYO COMENT,

NDO HAWA WATEULE WALOPEWA LAPTOP NA CCM THR MAKAMBA Jr. KUWAFANYIA PROPAGANDA,

NAOMBA MNIAMINI KUWA MKIMUONA MBWA JUU YA MTI LAZIMA ATAKUWA KAPANDISHWA, i.e. KTK TEAM YA LUMUMBA sr Magdalena lzm kabebwa, na nadhani ni chakula cha mwigulu mpenda totoz REF: Kitendo chake cha ktembea na mke wa mtu igunga

Unadhan na huyu ni kama mbuge wenu wa viti maalumu aliyelipa hongo ya penzi kwa kiongozi ambaye yuko too local
 
Back
Top Bottom