CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

Chadema ni chama cha pekee nchini chenye kutoa fursa kwa wale watu waliokuwa na umaarufu hapo zamani lakini kutokana na kuchuja kwao wamepoteza mvuto mbele ya jamii na kuchoka kabisa.

Hivi karibuni, chadema imepokea wasanii wa bongo flevor wa kipindi hicho na kwa kuwa 'game' sasa limekuwa gumu, wasanii hao wamehama mziki na kukimbilia siasa kama njia ya kujikomboa na janga la njaa.

Wasanii hao ni JOSEPH MBILINYI (SUGU), JOSEPH HAULE (Prof J) na Soggy Doggy, hii hali ya wasanii kuona kwamba njia pekee ya kujikomboa na njaa kupitia CHADEMA inatokana na nini? kwani enzi hizo wapo kwenye chart CHADEMA haikuwepo?

JITAMBUE!

Hivi suala la kujiunga na chama linahitaji watu wenye taaluma au kazi fulani? Kwamba mpaka uwe maarufu ndo upate haki ya kuingia au kutoka chama fulani? Hoja dhaifu sana hii ....!
 
ni vyema kuliko kwena lishwa unga na kubebeshwa unga na CCM
 
John Komba,Hadija Kopa, Asha Baraka ni wao tuwaite majalala au makopo we we vipi msanii sio binadamu huna adabu Raisi wako mwenyewe ni msanii,mswahili tu
 
Umemsahau na huyu.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1372064203818.jpg
    uploadfromtaptalk1372064203818.jpg
    44.1 KB · Views: 52
Mbona india, amitha batchani, govinda, dharumendra n.k huwasemi,
 
Chadema ni chama cha pekee nchini chenye kutoa fursa kwa wale watu waliokuwa na umaarufu hapo zamani lakini kutokana na kuchuja kwao wamepoteza mvuto mbele ya jamii na kuchoka kabisa.

Hivi karibuni, chadema imepokea wasanii wa bongo flevor wa kipindi hicho na kwa kuwa 'game' sasa limekuwa gumu, wasanii hao wamehama mziki na kukimbilia siasa kama njia ya kujikomboa na janga la njaa.

Wasanii hao ni JOSEPH MBILINYI (SUGU), JOSEPH HAULE (Prof J) na Soggy Doggy, hii hali ya wasanii kuona kwamba njia pekee ya kujikomboa na njaa kupitia CHADEMA inatokana na nini? kwani enzi hizo wapo kwenye chart CHADEMA haikuwepo?

JITAMBUE!
kwanini unadhani Soggy ana njaa, huyo kijana ni Muajiriwa wa Radio moja kule mkoani Iringa, kwahiyo unataka kutuamisha watangazaji wa vituo vya Radio wana njaa ?
 
Umemsahau na huyu.

hahaha... nae anataka ubunge?

Kama CHADEMA ikiendelea na utaratibu wa kupokea tu watu wa aina hiyo na kuwafanya makamanda wao, basi nadiriki kusema bado CHADEMA haipo serious.

Kwani huku CCM kuna utaratibu maalumu wa kupata wanachama, ni ndio maana tuna 'wafia' chama wengi kwa taratibu tulizo jiwekea.

CHADEMA jifunzeni kutoka kwa baba.
 
Chadema ni chama cha pekee nchini chenye kutoa fursa kwa wale watu waliokuwa na umaarufu hapo zamani lakini kutokana na kuchuja kwao wamepoteza mvuto mbele ya jamii na kuchoka kabisa.

Hivi karibuni, chadema imepokea wasanii wa bongo flevor wa kipindi hicho na kwa kuwa 'game' sasa limekuwa gumu, wasanii hao wamehama mziki na kukimbilia siasa kama njia ya kujikomboa na janga la njaa.

Wasanii hao ni JOSEPH MBILINYI (SUGU), JOSEPH HAULE (Prof J) na Soggy Doggy, hii hali ya wasanii kuona kwamba njia pekee ya kujikomboa na njaa kupitia CHADEMA inatokana na nini? kwani enzi hizo wapo kwenye chart CHADEMA haikuwepo?

JITAMBUE!
Kila mtu ana haki ya kujiunga na chama akipendacho..... Kwa mfano Nakaaya alihamia CCM kwa utashi wake...
 
Chadema ni chama cha pekee nchini chenye kutoa fursa kwa wale watu waliokuwa na umaarufu hapo zamani lakini kutokana na kuchuja kwao wamepoteza mvuto mbele ya jamii na kuchoka kabisa.

Hivi karibuni, chadema imepokea wasanii wa bongo flevor wa kipindi hicho na kwa kuwa 'game' sasa limekuwa gumu, wasanii hao wamehama mziki na kukimbilia siasa kama njia ya kujikomboa na janga la njaa.

Wasanii hao ni JOSEPH MBILINYI (SUGU), JOSEPH HAULE (Prof J) na Soggy Doggy, hii hali ya wasanii kuona kwamba njia pekee ya kujikomboa na njaa kupitia CHADEMA inatokana na nini? kwani enzi hizo wapo kwenye chart CHADEMA haikuwepo?

JITAMBUE!

Kweli nimeamini CCM mkiwa waongo basi ni wepesi wakusahau!
13.jpg
 
shame upon ww mwanatunduru, umaskini wako sawa na akili yako,hiyo ni akili ya kushikiwa.
peleka aibu yako huko. mwisho wenu ni aibu hakuna la maana ccm ni uhuni n adili za uaji.
HATA KAMA MKIWAKAMATA WAKINA LISSU NA MNYIKA BADO WATZ SIO WAJINGA LAZIMA AIBU YENU IWEKUTA, NAJUA MKO BIZE NA MITANADAO KUITETEA MAITI YENU CCM ILA MUNGU NI MWAMINIFU MTAANGAMIA TU.
 
Kwa kawaida watu makini hawaongozwi na Ubinafsi katika kujadili masuala mbalimbali muhimu ya kitaifa. Hawasukumwi na Umimi, ukabila, ukanda na Udini katika kutoa michango na maoni katika ujenzi wa Taifa, hali ipo tofauti kwa Waumini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao wanajitambulisha kwa Udini,ukabila,ukanda,Umimi na Ubinafsi katika kujadili mambo nyeti ya Kitaifa.


Nisingependa kumaliza makala hii pasi na kuwashauri viongozi wa CHADEMA na Wafuasi wake kuwa, wawe tayari kulifia Taifa kuliko Chama, Wawaunge mkono viongozi wetu pale wanapokuja na mikakati ya kuljenga Taifa,kuwapa moyo viongozi wetu kwa mawazo yao pale yanapoonekana ni ya tija kuliko kuwabeza, tweza na kuwakatisha tamaa kwani kufanya hivyo kwaweza kupelekea viongozi wetu kujihusisha na malumbano badala ya kusisimamia shughuli za kimaendeleo na hatimaye kulipeleka Taifa kwenye Mdomo wa Mamba. Kwa faida ya nani?

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.

Ninaitwa BAKARI MADAYA (Mwanatunduru).
Ninapatikana simu: 0789357823 au barua pepe madayabakar@hotmail.com


Kuwa mjinga si dhambi, lakini kujivunia ujinga ni dhambi. Mambo nyeti ya Kitaifa anayajua huyu?

Kuna mtu alitengeneza ARV feki hapa, watu wakala na wengine wakadhurika. Serikali yenu ilichofanya ni kufunga kiwanda chake kwa muda na sasa anaendelea kutengeneza sumu zingine. Hilo ni jambo nyeti, anzisha mada tujadili.

Haya mambo yenu ya kujifanya mna akili saaana kuliko watu wote hapa duniani ndio yanawaponza mnakuwa vituko na kuanza kulazimisha shikamoo kwa kufuga ndevu. Hivi mnataka tuwaheshimu kweli hata baada ya watu wazima na akili zao kuomba 1bn kwa ajili ya makaburi ya baadhi ya viongozi wa kitaifa katika nchi ambayo bado kuna kina mama wanajifungulia chini ya miti?

Ngojeni siku mtakayokuwa nje ya madaraka, tutawaonesha ni yapi mambo muhimu ya kitaifa. Kigwangala apeleke mijadala yake huko huko mlikojadilia ununuzi wa kiwanja cha makaburi kwa milioni elfu moja, hapa JF watu tuna akili zetu.
 
Naunga mkono hoja,Chadema wamelewa tamaa ya kuhitaji madaraka,Wanajiona wao ndo wao kwa akili,Hongera kaka yangu Kingwangala kwa mawazo yakizalendo
 
Kwa sasa chadema hakina jipya zaidi ya uzushi na ujanjaujanja wa kitoto.Kila siku wanakuja na vituko mara wana video inayoonesha tukio la bomu kwenye mkutano wao Arusha,mara waraka mishahara mipya kwa walimu nk.Vyote hivi ni ujanjaujanja wenye lengo la kuwapandikiza hasira na chuki dhidi ya serikali wananchi.Chadema mtaumbuka muda siyo mrefu ujao,inavyoonekana kuna mtu aliyekuwa anarekodi hilo tukio na hiyo anatupa picha kwamba Chadema ndio wanahusika kulipua bomu katika mkutano wao ili kuwahadaa watu.Matukio yote haya yanatudhihirishia wananchi kuwa chadema hakifai kabisa na inabidi kife tu maana ni hatari kwelikweli.Huwezi kufanya mauaji ya watu wasio na hatia kwa malengo ya kisiasa wakati huohuo unataka kura kwao,ukiua wote nani utamuongoza? Siasa majitaka kweli.Vijana wa chadema mmekuja na vioja,eti waraka kwa walimu,mmh inatisha sana ndio maana pinda amesema mpigwe tu maana siasa zenu zina walakini,ni siasa mfu zitakazowagharimu sana
 
Kwa sasa chadema hakina jipya zaidi ya uzushi na ujanjaujanja wa kitoto.Kila siku wanakuja na vituko mara wana video inayoonesha tukio la bomu kwenye mkutano wao Arusha,mara waraka mishahara mipya kwa walimu nk.Vyote hivi ni ujanjaujanja wenye lengo la kuwapandikiza hasira na chuki dhidi ya serikali wananchi.Chadema mtaumbuka muda siyo mrefu ujao,inavyoonekana kuna mtu aliyekuwa anarekodi hilo tukio na hiyo anatupa picha kwamba Chadema ndio wanahusika kulipua bomu katika mkutano wao ili kuwahadaa watu.Matukio yote haya yanatudhihirishia wananchi kuwa chadema hakifai kabisa na inabidi kife tu maana ni hatari kwelikweli.Huwezi kufanya mauaji ya watu wasio na hatia kwa malengo ya kisiasa wakati huohuo unataka kura kwao,ukiua wote nani utamuongoza? Siasa majitaka kweli.Vijana wa chadema mmekuja na vioja,eti waraka kwa walimu,mmh inatisha sana ndio maana pinda amesema mpigwe tu maana siasa zenu zina walakini,ni siasa mfu zitakazowagharimu sana

Watu wasiojulikana wamechoma moto jengo la ofisi ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma tukio lililotokea Juni 21 mwaka huu majira ya usiku pamoja mlinzi wa ofisi hizo kuwepo katika eneo hilo la ofisi mpaka majira ya saa 12 asubhi na hakuweza kutambua kutokea kwa kitendo hicho kilichofanywa na watu wasiojulikana usiku huo.
 
Watu wasiojulikana wamechoma moto jengo la ofisi ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma tukio lililotokea Juni 21 mwaka huu majira ya usiku pamoja mlinzi wa ofisi hizo kuwepo katika eneo hilo la ofisi mpaka majira ya saa 12 asubhi na hakuweza kutambua kutokea kwa kitendo hicho kilichofanywa na watu wasiojulikana usiku huo.

acha kupotosha
 
usiogope tumekusoma kwamba nyie ndio sawa na dada poa, mnahongwa pesa, chips,pombe kama malaya huku usaliti wenu kwa umma ukiwa sehemu ya maisha yenu milele,sema lolote kuhusu CDM ila huu ndio ukweli kwamba CCM NI GENGE LA UHUNI ----- LA MAHARAMIA WA KIUAJI CHINI KIONGOZI DHAIFU KULIKO WOTE KUWAHI KUTOKEA TZ KIKWETE.
CCM NA VIONGOZI WAO NA WAFUASI WAO SIKU SIO NYINGI MTAONA GADHAMU YA UMMA



Kwa sasa chadema hakina jipya zaidi ya uzushi na ujanjaujanja wa kitoto.Kila siku wanakuja na vituko mara wana video inayoonesha tukio la bomu kwenye mkutano wao Arusha,mara waraka mishahara mipya kwa walimu nk.Vyote hivi ni ujanjaujanja wenye lengo la kuwapandikiza hasira na chuki dhidi ya serikali wananchi.Chadema mtaumbuka muda siyo mrefu ujao,inavyoonekana kuna mtu aliyekuwa anarekodi hilo tukio na hiyo anatupa picha kwamba Chadema ndio wanahusika kulipua bomu katika mkutano wao ili kuwahadaa watu.Matukio yote haya yanatudhihirishia wananchi kuwa chadema hakifai kabisa na inabidi kife tu maana ni hatari kwelikweli.Huwezi kufanya mauaji ya watu wasio na hatia kwa malengo ya kisiasa wakati huohuo unataka kura kwao,ukiua wote nani utamuongoza? Siasa majitaka kweli.Vijana wa chadema mmekuja na vioja,eti waraka kwa walimu,mmh inatisha sana ndio maana pinda amesema mpigwe tu maana siasa zenu zina walakini,ni siasa mfu zitakazowagharimu sana
 
Back
Top Bottom