CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

Naona umeamka sasa hiivi na kukurupuka sasa na wewe anataka ukatoe ushahid mahakamani kama kina wenzio Nape,Mwigulu,Mtikila,Hawa Gasia au takataka hata sifahamu hili jina la aina gani any way Criss Lukos.Kumbe hujafahamu kuwa Chadema wana full ushahidi?Pole sana,kama vipi waambie wakutumia hela yako kutoka Lumumba maake ushapost au waweza waambia wakamtumia mama'ko kwa njia ya M pesa.
 
Nimeshangaa sana kuona makamanda viroba wanashanbikia bila kutumia akili matukio ya mabomu na vurugu zinazoendelea nchini bila kufikiri chanzo ni nini?

Mimi nawauliza tu, siku Lema na Dj wakipatikana na hatia ya kupanga mauaji mtasema nini?

Mkae mkijua iko siku watanaswa tu!
Kwema kama kaka chilisosi
 
Nimeshangaa sana kuona makamanda viroba wanashanbikia bila kutumia akili matukio ya mabomu na vurugu zinazoendelea nchini bila kufikiri chanzo ni nini?

Mimi nawauliza tu, siku Lema na Dj wakipatikana na hatia ya kupanga mauaji mtasema nini?

Mkae mkijua iko siku watanaswa tu!

Chris lukosi aka chikisosi mbeba box.unapoleta thread hapa uwage unafikiria kabla ya kuandika utumbo wako...kama unavyodai mh.mbowe au kamanda lema ndio wanahusika na mauwaji, peleka ushahidi policcm au kwa kikwete.last week umeleta thread yakusema chadema na ccm wasinyoosheane vidole wakati muuwaji yuko pembeni anawacheka, leo umekuja na nyingine tena ya kusema wao ndio wauwaji.acha kuongea kwa kutumia masaburi.kama magamba wamekutuma waambie it's too late!
 
Naona umeamka sasa hiivi na kukurupuka sasa na wewe anataka ukatoe ushahid mahakamani kama kina wenzio Nape,Mwigulu,Mtikila,Hawa Gasia au takataka hata sifahamu hili jina la aina gani any way Criss Lukos.Kumbe hujafahamu kuwa Chadema wana full ushahidi?Pole sana,kama vipi waambie wakutumia hela yako kutoka Lumumba maake ushapost au waweza waambia wakamtumia mama'ko kwa njia ya M pesa.
Kwa hiyo huo ushahidi waliuandaa kabla ya bomu kulipuka au sio?
 
Kwa hiyo huo ushahidi waliuandaa kabla ya bomu kulipuka au sio?

Sasa hapa utakuwa unamseam Mwigulu Mchemba na Ccm yenu maake nyie mnaandaa kabla si ilikuwa leo tu Mwigulu kasema ana video ya bomu na wakati Bomu linalipuliwa na Policeccm yeye alikuwa anatoa mapovu kwenye mkutano wa Magamba wa kufunga kampein.
 
Watakwambia, "Tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu", wakati huo wameshika "viroba" vyao mkononi.

Huyo Mungu anayewatuma wakaue wananchi sijui ni Mungu gani!
 
Hivi wewe mwehu unakuwaga na ubongo wa kufikiri kabla ya kuja humu kweli?

Nimeshangaa sana kuona makamanda viroba wanashanbikia bila kutumia akili matukio ya mabomu na vurugu zinazoendelea nchini bila kufikiri chanzo ni nini?

Mimi nawauliza tu, siku Lema na Dj wakipatikana na hatia ya kupanga mauaji mtasema nini?

Mkae mkijua iko siku watanaswa tu!
 
Itakuwa jinamizi la ccm mjinga weee!
Haitaniingia akilini hata kidogo ya kwamba mawazo yenu ndiyo imefika kikomo.

Watakwambia, "Tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu", wakati huo wameshika "viroba" vyao mkononi.

Huyo Mungu anayewatuma wakaue wananchi sijui ni Mungu gani!
 
Nimeshangaa sana kuona makamanda viroba wanashanbikia bila kutumia akili matukio ya mabomu na vurugu zinazoendelea nchini bila kufikiri chanzo ni nini?

Mimi nawauliza tu, siku Lema na Dj wakipatikana na hatia ya kupanga mauaji mtasema nini?

Mkae mkijua iko siku watanaswa tu!
my take;
ni upuuzi kujadili thread ya kipuuzi..
 
Wapange kujiua kisa umaarufu???HALAFU WAKISHAJIUA HUO UMAARUFU WAMWACHIE NANI???Vp,hapo unafunga tu box au wauza na 071?
 
Nimeshangaa sana kuona makamanda viroba wanashanbikia bila kutumia akili matukio ya mabomu na vurugu zinazoendelea nchini bila kufikiri chanzo ni nini?

Mimi nawauliza tu, siku Lema na Dj wakipatikana na hatia ya kupanga mauaji mtasema nini?

Mkae mkijua iko siku watanaswa tu!
Unatafuta ushahidi gani, ilihali tayari ushahidi wa awali kwenye mauaji ya mwangosi unaonyesha kwamba ni kawaida ya CCM kuua na kusingizia CHADEMA? Mwaka huu wenu! Na CHADEMA wameshawashika pabaya. Vinginevyo mmutafute mmoja ambaye ni cheep mmnunue ili akinenee uongo CHADEMA. Otherwise, huu mwaka wenu CCM. Mbinu zenu zote zishagundulika.

Mnaua halafu mnasingizia CHADEMA. Hivi kama CHADEMA wangetaka kuua, si wangetuma watu waue kwenye mikutano ya CCM? Sasa CHADEMA ni wehu hadi waue watu kwenye mikutano yao ili wahudhuriaji kwenye mikutano yao wapungue? Mwaka huu hamtoki. Naona namna ambavyo CCM mnajimaliza kabisa na mbinu zenu za usalama wa taifa waliochoka akina Ighondu.
 
Unatafuta ushahidi gani, ilihali tayari ushahidi wa awali kwenye mauaji ya mwangosi unaonyesha kwamba ni kawaida ya CCM kuua na kusingizia CHADEMA? Mwaka huu wenu! Na CHADEMA wameshawashika pabaya. Vinginevyo mmutafute mmoja ambaye ni cheep mmnunue ili akinenee uongo CHADEMA. Otherwise, huu mwaka wenu CCM. Mbinu zenu zote zishagundulika.

Mnaua halafu mnasingizia CHADEMA. Hivi kama CHADEMA wangetaka kuua, si wangetuma watu waue kwenye mikutano ya CCM? Sasa CHADEMA ni wehu hadi waue watu kwenye mikutano yao ili wahudhuriaji kwenye mikutano yao wapungue? Mwaka huu hamtoki. Naona namna ambavyo CCM mnajimaliza kabisa na mbinu zenu za usalama wa taifa waliochoka akina Ighondu.

Viongozi wako wa CHADEMA wakati wanapanga mipango yao ya mauaji waliamua wajilipue wao wenyewe kwasababu walijua watu wengi watafikiri kama wewe ulivyofikiri hapo kwenye red lakini kwa bahati nzuri WaTanzania wa leo ni waelewa kwahiyo wameshaelewa CHADEMA ni wauaji.
 
Nimeshangaa sana kuona makamanda viroba wanashanbikia bila kutumia akili matukio ya mabomu na vurugu zinazoendelea nchini bila kufikiri chanzo ni nini?

Mimi nawauliza tu, siku Lema na Dj wakipatikana na hatia ya kupanga mauaji mtasema nini?

Mkae mkijua iko siku watanaswa tu!

Umaarufu upi...waliohudhria Soweto walipelekwa na magar? Walipewa kofia, chakula,kanga au hela? Mmelewa madaraka mpaka akili za kufikiri zimekwisha...kama unazo kidogo soma tena ulichokiandika .jaribuni kununua watu ili watoe ushaidi kuwa walikuwa pamoja na Lema na Mbowe...umaarufu upi zaidi ya waliokua nao sasa. Umejitoa ufahamu ukifikiri wengine pia wako kama wewe.. Hivi ni chama kipi kipo desperate kwa Arusha kati ya CCM na CDM? ...Unaweza usijue kutokana na akili za kushikiwa. Badala ya kushugulikia matatizo ya wananchi mnapambana na CDM. Kusini huduma za kijamii hoi..mnawaza kulinda umeya ili mlinde maslahi yenu. Shame.
 
Mnyika anatangazia Uma wa Watanzania kua Mbunge Nasari ametoroka Hosp. Leo Mbunge Nasari anakanusha na kusema kua serikari na bunge la jamuhuri ndio vinavyo muhudumia. Chadema kueni na kauli zilizo za ukweli.
 
Mungu tuepusha kabisa. Nahisi cdm wakishika nchi Mambo yatakuwa magum zaidiiii.
 
Back
Top Bottom