CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

Katibu mkuu wa CHADEMA taifa kwa sasa yuko hoi bin taabani kuongoza chama chake, ambacho hivi karibuni kiliweza kujizolea sifa hapa nchini, kwa kile kinacho daiwa kuwa kiliweza kutoa changamoto kubwa kwa chama tawala (CCM).

Jambo la kushangaza na kushtua kuhusu hiki chama, ni kuporomoka kwa umaarufu wake nchini, baada ya watanzania kugundua kuwa sio chama cha 'demokrasia' na 'maendeleo' kama wanavyo jipambanua, ila ni chama cha vurugu, fujo na maandamano yenye kuhatarisha amani na utulivu wa nchi.

Sifa hizi mpya kwa chama hiki, ambazo ni fujo na vurugu, zimetolewa na wananchi baada tu ya CHADEMA kumpa mamlaka Dr Slaa ya kuwa mtendaji mkuu wa chama hicho, Dr Slaa kwa siasa na mbinu zake, alidhani kwa kutumia maandamano basi ndio itakuwa njia pekee ya kuzidi kuinua jina na hadhi ya chama, kumbe imekuwa kinyume chake.

Mikakati ya Dr Slaa ya kuleta mageuzi ya siasa hapa nchini kupitia chama chake (CHADEMA) na washirika wake IMEDODA, na badala yake mikakati hiyo imefanikiwa kuondoa na kutokomeza kabisa sentensi isemayo "Tanzania ni kisiwa cha amani", na kwa sasa kuwa kisiwa cha wahanga wa mabomu.

Hoja ya msingi hapa ni kwamba, kama Dr Slaa amechemka na yuko hoi kuiongoza CHADEMA kwenye kufanya siasa za kistaarabu na safi. Je, atawezaje kuongoza nchi yetu yenye changamoto za kila aina?, haya ni mambo ya msingi sana kuhoji, kwani kushabikia uozo ambao utaenda kuliangamiza taifa sio UZALENDO hata kidogo.

Mheshimiwa, mbona hiki chama kinaendelea kuwanyang'anya kata nyingi tu kama watanzania hawakipendi? au ni maoni yako tu bila kuwa na taarifa sahihi?
Mi nadhani siku vyombo vya dola vikiacha kutumia nguvu katka chaguzi, ndo pale tutaconfirm kuwa hiki chama hakipendwi. Lakini kwa saa hz, CCM haiko akilini mwa watu kabisa, isipokuwa watawala na familia zao tu. Huu ndo ukweli kaka.
 
Ni jambo la kusikisha mbowe anajinad ana ushahidi,lakini ukiambiwa utoe ufanyiwe kaz anasema hana.huku nikuwaada wananch
 
Ni jambo la kusikisha mbowe anajinad ana ushahidi,lakini ukiambiwa utoe ufanyiwe kaz anasema hana.huku nikuwaada wananch

Polisi walishafanyia kazi jambo gani kati ya haya:-
1. Kutekwa kwa Dr. Ulimboka, Kibanda na kuuawa kwa Mwangosi
2. Kuuawa kwa Tembo wetu mbugani na kusafirishwa kwa Twiga kwenda Qatar
3. Kuibiwa kwa fedha za EPA, Mikataba feki ya Meremeta, Deep Green nk
4. Orodha ya wauzaji wa madawa ya kulevya aliyopewa JK
5. Kuuawa kwa Padri Mushi kule Zanzibar na Bomu la Arusha.

wewe tulia tu kama vile unanyolewa.

TAFAKARI!!!!!!!!
 
Kila mnapozungumzia udini,ukabila na ukanda mnanikumbusha ile video ya Lipumba(CUF) akikiri kumsaidia Kikwete(CCM)kuupata uraisi!Kweli Chadema imewashika pabaya!
 
Mheshimiwa, mbona hiki chama kinaendelea kuwanyang'anya kata nyingi tu kama watanzania hawakipendi? au ni maoni yako tu bila kuwa na taarifa sahihi?
Mi nadhani siku vyombo vya dola vikiacha kutumia nguvu katka chaguzi, ndo pale tutaconfirm kuwa hiki chama hakipendwi. Lakini kwa saa hz, CCM haiko akilini mwa watu kabisa, isipokuwa watawala na familia zao tu. Huu ndo ukweli kaka.

kweli ndio maana vijanawote wa chadema kaloleni wameamia cuf wamesema hawataki kuongozwa na akili ndogo
 
Yaani Chadema ni chama cha wahuni maana hata hapa wanajulikana kwa maneno yao yasiyokuwa na hoja zaidi ya matusi
 
We jiulize kwanini vurugu zinatokea sehemu ambapo upinzani upo na je unaelewa chanzo cha vurugu huwa ni wananchi wanaanza kurusha mawe au huwa unamsikiliza nape bila kufuatilia, juzi walisema mkusanyiko usio halali lkn wao wenyewe ndio walitoa kibali na badae kuanza kurusha mabomu, mapinduzi daima watu kama nyie lzima muwepo ili kutuchalange alipingwa mandela itakuwa nyie magamba wachache mliopo hamtusumbui
 
Ukuu wa Wilaya utamiua ndugu.

Maana tangu Mwiguli atoe Bingo ya nafasi za u-DC, hata Shoza na Mwampamba sasa ni kuoneana wivu kwa kwenda mbele.

Vipi Kiongozi, wale Simba wala watu wameisha siku hizi??
 
Edpolisiua.jpg
 
CHADEMA wanaangamizaje taifa na wao hawapo madarakani? Unaongelea ya leo au ya kesho?
 
Je unaujua ufisadi wa Slaa kwenye mradi wa UVIWASU? au nikuhabarishe?
 
Chadema ni chama cha pekee nchini chenye kutoa fursa kwa wale watu waliokuwa na umaarufu hapo zamani lakini kutokana na kuchuja kwao wamepoteza mvuto mbele ya jamii na kuchoka kabisa.

Hivi karibuni, chadema imepokea wasanii wa bongo flevor wa kipindi hicho na kwa kuwa 'game' sasa limekuwa gumu, wasanii hao wamehama mziki na kukimbilia siasa kama njia ya kujikomboa na janga la njaa.

Wasanii hao ni JOSEPH MBILINYI (SUGU), JOSEPH HAULE (Prof J) na Soggy Doggy, hii hali ya wasanii kuona kwamba njia pekee ya kujikomboa na njaa kupitia CHADEMA inatokana na nini? kwani enzi hizo wapo kwenye chart CHADEMA haikuwepo?

JITAMBUE!
 
chadema ni chama cha pekee nchini chenye kutoa fursa kwa wale watu waliokuwa na umaarufu hapo zamani lakini kutokana na kuchuja kwao wamepoteza mvuto mbele ya jamii na kuchoka kabisa.

Hivi karibuni, chadema imepokea wasanii wa bongo flevor wa kipindi hicho na kwa kuwa 'game' sasa limekuwa gumu, wasanii hao wamehama mziki na kukimbilia siasa kama njia ya kujikomboa na janga la njaa.

Wasanii hao ni joseph mbilinyi (sugu), joseph haule (prof j) na soggy doggy, hii hali ya wasanii kuona kwamba njia pekee ya kujikomboa na njaa kupitia chadema inatokana na nini? Kwani enzi hizo wapo kwenye chart chadema haikuwepo?

Jitambue!

naona wewe ndiyo jalala. Kwani hao siyo binadamu?
 
hamna kazi ya kufanya au ???
kutwa kucha mnaandika mambo ya kitoto yasio na tija katika maendeleo ya nchi yetu.
kama vijana tunaowategemea waje kujenga nchi mnatumika kuandika upuuzi kama huu nchi itafika wapi?
acheni kutumika kama condom na kutupwa
jitafutieni shughuli za maendeleo na sio kutegemea buku 7 hapo Lumumba.
post mada zenye kujenga nchi, zenye kumwelimisha kijana mwenzio na sio kupost matapishi kila siku.
Nyerere alisema ukishauriwa na mtu mjinga huku ukijua anakushauri ujinga nawe ukakubali ujinga wake utakuwa mjinga zaidi yake.
 
Back
Top Bottom