johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,160
Nipo hapa kinondoni Uhuru peak napata supu. Kwa mbele naiona mipango mikubwa ya UVCCM ya uwekezaji pale ilipokuwa mango garden.Najiuliza Chadema wana uwekezaji wowote hata wa boda boda tu?!...... niishie hapo!