Your comparing CCM,which used to be a state party, with chadema? Your not serious. CCM ilipata uwekezaji mkubwa kikiwa chama dola kwa over 30 years na hadi leo kina enjoy that privilege unawezaje kukilinganisha na vyama vya juzi ambavyo hata havijawahi kushika dola leave alone kua chama dola? Don’t compare the incomparablesNipo hapa kinondoni Uhuru peak napata supu. Kwa mbele naiona mipango mikubwa ya UVCCM ya uwekezaji pale ilipokuwa mango garden.Najiuliza Chadema wana uwekezaji wowote hata wa boda boda tu?!...... niishie hapo!