CHADEMA inamiliki vitega uchumi Gani?

CHADEMA inamiliki vitega uchumi Gani?

Nipo hapa kinondoni Uhuru peak napata supu. Kwa mbele naiona mipango mikubwa ya UVCCM ya uwekezaji pale ilipokuwa mango garden.Najiuliza Chadema wana uwekezaji wowote hata wa boda boda tu?!...... niishie hapo!
Hahahaha kamanda una matani...!! Chademaa imewekeza kwa mademu tu..mbona hilo liko wazi...!!! Uliza Bro Mbowee akufafanulie hili
 
Nipo hapa kinondoni Uhuru peak napata supu. Kwa mbele naiona mipango mikubwa ya UVCCM ya uwekezaji pale ilipokuwa mango garden.Najiuliza Chadema wana uwekezaji wowote hata wa boda boda tu?!...... niishie hapo!
Unajua chanzo cha Mango Garden, ilikuwa mali ya serikali na ilianzishwa na nchi rafiki, pis Mali nyingi zinazodaiwa ni za ccm zilikuwa za serikali. Kabla ya uhuru mikoa mingi ilikuwa na viwanja vya michezo vya serikali sasa hivi ccm inadai ni vyake; Usimsifu mwizi kwa utajiri alionao.
 
Chadema wamewekeza sana Wana kiwanda kikubwa mno cha majungu pale makao makuu ya chadema .Kiwanda kinaitwa Majungu Industries limited.Na ndicho kiwanda pekee wanachomiliki.
Hii funga kazi walahi!
 
Hahahaha kamanda una matani...!! Chademaa imewekeza kwa mademu tu..mbona hilo liko wazi...!!! Uliza Bro Mbowee akufafanulie hili
Ni kweli kabisa walahi
 
Mali zote walizoridhi CCM baada ya kutugwa sheria ya vyama vingi 1992; mali hizo ni za UMMA. Za kwao ni zile walizochuma baada ya 1992.
 
Nipo hapa kinondoni Uhuru peak napata supu. Kwa mbele naiona mipango mikubwa ya UVCCM ya uwekezaji pale ilipokuwa mango garden.Najiuliza Chadema wana uwekezaji wowote hata wa boda boda tu?!...... niishie hapo!
Mango Garden ilianzishwa na serikali kwa msaada toka nje, acha kumsifu mwizi kwa utajiri alionao.
 
Ifikie wakati sasa hizi ruzuku za vyama zufutwe kwa kuwa pesa za serikali zinapotea bure kwa vyama ambavyo sio taasisi za kuzalisha. Ni bora hizi ruzuku zingepelekwa kwa wakulima na wafanyabiashara wadogo ili kuongeza ajira.

Na nadhani kuna kitu CCM wanamekiona kwa jicho la mbali na wameanza kujiandaa kwa kuhakiki mali zao na kufufua miradi yao. Wanataka kujitegemea.

Mali ya chama ni wanachama sasa kama chama na wanachama wake hawawezi kujitegemea nadhani ifikie mahali ruzuku zipelekwe kwenye miradi ya maendeleo.

Kama wananchi wanahitaji hivyo vyama basi wataviendesha vyama vya wenyewe.

Kama kuna vyama vitakufa kwa kukosa ruzuku basi wananchi hawavihitaji kwa sababu havina umuhimu.
 
Back
Top Bottom