Enkorongo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 979
- 439
Kiukweli ccm wamefanya ujambaziMali zote za CCM ni za serikali! Majengo yamejengwa na serikali, viwanja ni vya serikali, mashamba ni ya serikali nk.
Kwa taarifa yako hakuna mradi hata mmoja wa ccm umetokana na michango ya wana ccm! Hakuna mradi wo wote umeanzishwa kutokana na ruzuku pamoja na kwamba ndiyo chama kinachokomba zaidi ya 70% ya ruzuku yote ya vyama vya siasa!