kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Siasa Ni mkakati, siasa ni kujua mapungufu ya mpinzani wako, siasa safi nikuweka wananchi mbele nakuzika matamanio binafsi kwa mgongo wa itikadi.
Tangu chadema watoe tamko lakuwafukuza viongozi na wanachama 19 mashambulizi toka ACT na CCM yamekuwa mengi sana.
Hakuna linalofanywa bila kuitaja chadema, adui wa ACT amekuwa ni Chadema na wananchi kwa ujumla na si CCM Tena.
Kauli mbiu iliyopo Sasa Ni umoja wa Taifa na Mambo ya Tanzania kujadiliwa Tanzania, ila hakuna anayesema wanajadili Kati ya Nani na Nani na hayo majadiliano yanafanywa wapi na wahusika ni wakina nani.
Ifike mahali tutambue wananchi Wana nguvu kuliko viongozi isipokuwa tu viongozi Wana nguvu ya dola. Chadema ina Mbunge mmoja tu bungeni lakini ina wabunge zaidi ya milioni 30 uraiani. Tunapokosa uhalali wakuongoza haimaanishi lazima tusiwe na wakuwaongoza ila lazima tusijiamini na wale tunaowaongoza.
Naamini msimamo wa chadema unafaida kubwa kisiasa kuliko msimamo wa ACT na CCM.....Wana watu nyuma yao wengine wana familia zao nyuma yao.
Tangu chadema watoe tamko lakuwafukuza viongozi na wanachama 19 mashambulizi toka ACT na CCM yamekuwa mengi sana.
Hakuna linalofanywa bila kuitaja chadema, adui wa ACT amekuwa ni Chadema na wananchi kwa ujumla na si CCM Tena.
Kauli mbiu iliyopo Sasa Ni umoja wa Taifa na Mambo ya Tanzania kujadiliwa Tanzania, ila hakuna anayesema wanajadili Kati ya Nani na Nani na hayo majadiliano yanafanywa wapi na wahusika ni wakina nani.
Ifike mahali tutambue wananchi Wana nguvu kuliko viongozi isipokuwa tu viongozi Wana nguvu ya dola. Chadema ina Mbunge mmoja tu bungeni lakini ina wabunge zaidi ya milioni 30 uraiani. Tunapokosa uhalali wakuongoza haimaanishi lazima tusiwe na wakuwaongoza ila lazima tusijiamini na wale tunaowaongoza.
Naamini msimamo wa chadema unafaida kubwa kisiasa kuliko msimamo wa ACT na CCM.....Wana watu nyuma yao wengine wana familia zao nyuma yao.