CHADEMA in war against the truth


Assassin anakuwa na sifa gani? Tuelimishe manake unaonekana unajua sana.
 

Shame on you by being fooled with the ccm for such a long time. wenzio tushastuka wewe bado upo kwenye kundi la kuhongwa kanga, kofia na fulana then unauza uhuru wako for 5 yrs. lakini mwisho wenu umefika tutawakomboa tu kutoka kwenye ujinga ambao umeendelea kukutanda kwenye hilo bichwa lako lililojaa mikamasi. Wenzenu leo hii ambao tumewatangulia kujitawala wametuacha mbali, viwanda sisi badala ya kuviendeleza tunavigeuza maghala ya kutunzia bidhaa feki kutoka china. Halafu mnaleta propaganda cheap kama hizi ili kurudisha nyuma harakati za ukombozi! mmeishiwa sasa hivi kila mnachokuja nacho kinawarudia ninyi wenyewe. SHAME ON YOU GAMBAZ
 
wewe una ufahamu mdogo kweli kama lugha huiwezi acha. sentensi hiyo inasomeka hivi " THE END DOESN'T JUSTIFY THE MEANS".
 

Nafikiri ingekuwa jambo la busara na hekima ungeweka wazi maslahi yako ktk hili kabla kujifanya hakimu. Unao uthibitisho gani juu ya kauli zako? Usika ni sehemu ya wale waliobuni na kutekeleza progranda chafu dhidi ya CDM. Jiweke wazi katika kauli zako na waliokutuma kuwatetea!
 
Hivi kumbe kuonekana picha tu ya Lwakatare katika video ile ndio kunajustify kuwa video ile ni kweli? Kuna watu wavivu wa kufikiri sana nchini kwetu. Mbona maelezo anayoyatoa Lwakatare hakuna sauti, sauti zinasikika kutoka pembeni kwa watu wengine? Hata ishara ya midomo wakati mtu anapoongea ni tofauti kabisa. Poleni sana mnaofikiri kwa kutumia viuno na matumbo kama Mwigulu na Nape.
 


stupid, with this mind you are thinking of equating urself to zito kabwe

so because mwigulu is not in police's hand then it is okey for anyone to brfeak the laW?? yet they call u great thinker when childish excuse occupies ur mind>>>>>>>>
 

kwani ben sasa hivi mnapanga kwenda kumteka nani tena baada ya huyu mliyemaliza?
 
Tanzania tabu tupu, si CCM si upinzani wote wale wale tu.

Chama cha demokrasia na maendeleo kinaita militia yake "Red Brigade" halafu hamna mtu yeyote -kasoro Kiranga- anaye raise alarm kuhusu hili.

Mpaka "Red Brigade" wanapohakikisha wao ni Red Brigade kweli kwa mipango ya kijangili. Watu wanashangaa.

I saw this coming.

Na viongozi wa kitaifa kutetea uozo huu ndio kabisa wanaonyesha ujangili huu unapewa baraka za ngazi za juu kabisa.

Akili kumkichwa.
 
chadema ni chama cha wahuni sema ndio hivyo kipenda roho, washabiki wake hawataki kuona ukweli yaleyale ya chacha wangwe , chama kimejaa wahuni

Ukitaja wahuni unamweka wapi Mwigulu Nchemba? Unamweka wapi Nape? Unamweka wapi Wassira? Unamweka wapi Kikwete? Hao ndio wahuni waliolididimiza taifa letu.
 

Umeanzisha thredi ya nini wakati huna jipya?
Kwanini usingechangia kwenye za awali?
 

Kaka Kiranga,

Red Brigade ni kulinda mali na wafuasi wa CHADEMA.Ni kwa ajili ya ulinzi

Hata hivyo hiyo alarm unayo-raise against hivi vikundi uko sahihi maana hata Rwanda ilifikia huko kwa vikundi kama hivi

Sasa kwa mazingira ya kisiasa tuliyo nayo,unaona kabisa CCM wanatumia Green Guard si kwa ajili ya ulinzi kama ilivyo Red brigade bali wanaitumia kama militia ya ku-intimidate na kunyanyasa wafuasi wa upinzani kipindi cha uchaguzi.CHaDEMA tumekua tukilalamika sana sana lakini polisi hawachukui hatua

Sasa mimi ni miongoni mwa watu wanaotaka sasa Red brigade ipewe nguvu zaidi na tuhakikishe hakuna kikundi,kikosi chochote kitakacho-bully wafuasi wetu kipindi cha uchaguzi kwa kuwa jeshi la polisi halifanyi kazi yake kwa haki.Kama hii italeta detterence effect kwa CCM na vyombo vyake then this is right.Kama itawafanya polisi wagutuke then this is right.Ni kama mbinu ya kukabiliana na uhalifu dhidi ya CHAdEMA maana hapo hao hawafanyi siasa.Ni lazima tujilinde sasa

Even the American criminal justice system functions at least in part on the principle of deterrence.
 
Last edited by a moderator:
Pole amanibaraka!. Jina zuri lakini mufilisi kabisa. Huyu ni muathirika wa elimu (and hence Technology). Tulisema siku nyingi kuna watu hawatakiwi hata watume kiti humu kwenye JF kwani wanaonekana wachove hata wa kufikiri. Kama ni mtu anayeweza kudadisi mambo ya mtandao ni complex kuliko anavyoelewa. bht mbaya anaweza kuwa ni wale waliofika form 4 wakatoka patupu ndio maana wanatumiwa so cheaply. Elimu tunayopigania ubora wake kila siku ni kusudi watu waweze kujikomboa na kuepuka kuaibika kirahisi. Kama ilivyo katika msafara wa mamba ambao huwa pia na kenge, ha huku kwenye JF wapo watu wa ajabu.
 
stupid, with this mind you are thinking of equating urself to zito kabwe

so because mwigulu is not in police's hand then it is okey for anyone to brfeak the laW?? yet they call u great thinker when childish excuse occupies ur mind>>>>>>>>
ben is cring for double standards
 
you argument is bogus kwani mtu anayerekodiwa hawezi kutoa makamasi puani na kujifutia kwy nguo yake mbele ya kamera. nchi nyingi sijui kwa Tanzania kumrecord mtu bila kumwambia ni illegal

yaani sikuamia mtu mzima na akili zake mara kwanza kafutia kwenye suruali mara ya pili kwenye T-shirt ya PPF!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…