Tatizo ni ushahidi wa mazingira,pale haonekani Lwakatare peke yake,mbona humsemi yule binti aliyekwenda dirishani na kurudi kusikojulikana,mbona husemi kuhusu black wall kulia pichani? Mbona hutuambii kuhusu kelele za chupa na honi za magari? Mimi simtetei Lwakatare lakini pia simtuhumu kwani ukisikiliza kwa umakini sauti ya mtu asiyeonekana utagundua he never resemble to be an assassin.Lakini pia,ukiangalia waving colour around his physical body,you will discover that the video placed in the designed frame.
Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa CHADEMA wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all CHADEMA supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians.
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
imran kombe!
Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa CHADEMA wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all CHADEMA supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians.
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
-Aanze kuleta video Mwigulu Nchemba aliyesema anayo ili kunusuru maisha ya watu
-Aliyepost kwenye mitandao akamatwe
-Jifunze na jielimishe kuhusu teknolojia ya kuchezesha na kupachika maneno kwenye video
-Mauaji ya Imran Kombe,Karume na kifo tata cha Prof.Malima vinajadilika
-Toa rai kwa Polisi iache kutumika kisiasa,TISS ambayo imekua mstari wa mbele kuiwinda CHADEMA kutumia watu wale wale na wasaliti wale wale wamejaribu kweli safari hii but wamekosea
NB:Wasipompandisha mahakamani jumatatu ili ukweli ujulikane basi itabidi watanzania wa-play part yao ili kukomesha tabia hii na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu
-Aanze kuleta video Mwigulu Nchemba aliyesema anayo ili kunusuru maisha ya watu
-Aliyepost kwenye mitandao akamatwe
-Jifunze na jielimishe kuhusu teknolojia ya kuchezesha na kupachika maneno kwenye video
-Mauaji ya Imran Kombe,Karume na kifo tata cha Prof.Malima vinajadilika
-Toa rai kwa Polisi iache kutumika kisiasa,TISS ambayo imekua mstari wa mbele kuiwinda CHADEMA kutumia watu wale wale na wasaliti wale wale wamejaribu kweli safari hii but wamekosea
NB:Wasipompandisha mahakamani jumatatu ili ukweli ujulikane basi itabidi watanzania wa-play part yao ili kukomesha tabia hii na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu
chadema ni chama cha wahuni sema ndio hivyo kipenda roho, washabiki wake hawataki kuona ukweli yaleyale ya chacha wangwe , chama kimejaa wahuni
Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa CHADEMA wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all CHADEMA supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians.
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
kwani ben sasa hivi mnapanga kwenda kumteka nani tena baada ya huyu mliyemaliza?
Tanzania tabu tupu, si CCM si upinzani wote wale wale tu.
Chama cha demokrasia na maendeleo kinaita militia yake "Red Brigade" halafu hamna mtu yeyote -kasoro Kiranga- anaye raise alarm kuhusu hili.
Mpaka "Red Brigade" wanapohakikisha wao ni Red Brigade kweli kwa mipango ya kijangili. Watu wanashangaa.
I saw this coming.
Na viongozi wa kitaifa kutetea uozo huu ndio kabisa wanaonyesha ujangili huu unapewa baraka za ngazi za juu kabisa.
Akili kumkichwa.
nikas mahindaimran kombe!
ben is cring for double standardsstupid, with this mind you are thinking of equating urself to zito kabwe
so because mwigulu is not in police's hand then it is okey for anyone to brfeak the laW?? yet they call u great thinker when childish excuse occupies ur mind>>>>>>>>
you argument is bogus kwani mtu anayerekodiwa hawezi kutoa makamasi puani na kujifutia kwy nguo yake mbele ya kamera. nchi nyingi sijui kwa Tanzania kumrecord mtu bila kumwambia ni illegal