CHADEMA in war against the truth

CHADEMA in war against the truth

th

mambo yalianza kwa kumvamia , kumtesa na kumteka DC wa Igunga. hadi wabunge akina susan kiwangwa walishirika katika utekaji
th

mara tukasikia na mpiga kampeni maarufu wa ccm amemwagiwa tindikali na kikosi cha chdm chini ya chacha marwa kulekule igunga
713562071.JPG

hamad, kabla hatujatulia tukasikia dkt ulimboka naye amenyofolewa kucha
th

Mungu wangu!!!!!! likaja la kibanda kutobolewa jicho na kunyofolewa kucha

TUKAWA TUNAJIULIZA NANI YUKO NYUMA YA MAMBO HAYA!!!!???

MUNGU SI ATHUMANI WALA JOZEFU,


UKWELI UMEJULIKANA NA NI HUU HAPA CHINI. HUYU BWANA KATUONESHA CHAMA KINACHO RATIBU HAYA YOTE
th

anaitwa wilfred lwakatare
mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chdm


 
Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa Chadema wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all Chadema supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians. M
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.

Unaweza kuwa ukweli mpaka pale yule aliyeipost akamatwe ili awe shahidi.Kwa akili ya kawaida tu,unaongea kitu sensitive halafu watu wanapitapita hivi ni kweli?Ni mjinga tu atakye iamini clip hiyo.Hata shetani ameikataa.TUwe wa kweli na wawazi si vyema kumdhuru mtu yoyote kwa kutumia cheo au nafasi iliyopo.Je na yule muuza madini wa Bukombe ni Lwakatare amemuua/Watanzania tuwe makini na wanye nafasi zao,siku ikija kujulikana alipandikizwa utasikitika mara mia nafuu kuwa neutral,itasadia.
 
Mtu hakiwa Chadema hata kama ni muawaji hakuna tatizo.
 
je tuweke ip addrees ya kompyuta iliyotumika?je tu downset matukio mengine yaliyokuwa posted na kupyuta address iyo?je tulete na michango mingine ktk websites nyingine ambazo iyo komputa imekuwa ikitumika?kipi ni rahsi mnataka tufanye?
 


Kuna mtazamo mwingine wa hili sakata la video ya Lwakatare, mtazamo ambao nasdhindwa kuunganisha dots.. Naomba msaada

1. Kuna thread moja iliwekwa jana ikionyesha akina Michuzi wakipongezana kutokana na Usalama wa Taifa (TISS) ‘kuleta kitu hiki’ na kwamba ni ‘kete kubwa kwetu’ – bila shaka kete kubwa dhidi ya Chadema. Katika thread hiyo kulizuka tatizo la kutafsiri (yaani kulikuwapo ambiguity) kuhusu maneno (intepretation) ya pongezi hizo kwa TISS ni kwa ajili ya nini hasa – yaani kwa jitihada halali za TISS kuchunguza na hatimaye kupatikana hiyo video; au pongezi zililenga kwa wao TISS ‘kuipika’ hiyo videoa kwa ajili ya kubambikizia CDM?
2. Sasa hata tuchukue hiyo tafsiri ya kwanza – kwamba TISS ndiyo walifanikisha kuchunguza na kupatikana hiyo video ambayo bila shaka itakuwa ni ‘ushahidi’ mkubwa wa kesi dhidi ya Lwakatare na pengine CDM pia, jee hii ndiyo njia sahihi kwa TISS, au tuseme ndiyo utaratibu wao wa kuuweka kwanza ushahidi huu muhimu mtandaoni kabla ya sualakupelekwa mahakamani? Nasema hivi iwapo video hiyo ni kutokana na jitihada zao za halali wenyewe TISS yaani wao ndiyo exclusive owner wa hiyo video kama jinsi akina Michuzi walitaka sis tuamini. Inakuwaje waitumbukize kwanza mtandaoni? Ndivy utaratibu siku hizi?
3. Kwa nini TISS wasingekaa nayo kimya kimya tu halafu kuishtukizia mahakamani baada ya kumkamata Lwakatare? Ushahidi mkuu wa kesi unawekwa bayana kwa jamii kwa njia ya mtandaoni kabla ya kesi kuanza?
4. Lakini pengine TISS hawakuwa mmiliki pekee (exclusive owner) ya video hiyo yaani nao waliipata kutoka kwingine (labda from Mchemba?) lakini hata hivyo haikuwa sahihi kitaaluma za mambo ya upelelezi na mashitaka kuiweka kwanza mitandaoni – kwa lengo gani?
5. Na ndiyo sasa nakuja na tatizo langu kubwa kuhusu sakata zima hili: Yeyote yule (TISS au Mchemba) waliiweka video kwanza mtandaoni ili kupima joto ku-test waters) kuhusu uhalisia wake) na wameona kwamba video hiyo imejikuta inatobolewa matundu mengi tu (punched holes) hadi uhalisia wake kuonekana wa mashaka. Kweli TISS hufanya kazi kwa mtindo huu?
6. Mie nadhani ni Mchemba (aliyewahi kutangaza huko nyuma kwamba anayo video ‘inayoonyesha viongozi wa Chadema wakipanga mauaji’ lakini baadaye akajikuta video ina mapugufu mengi kuhusu alichokitangaza na ndiyo maana badala ya kuipeleka polisi (kama jinsi akina Dr Slaa walivyomtaka kuipeleka), au kuwapa TISS wai-deal nayo -- aliona ni vyema aiweke mtandaoni. Na sababu kubwa kufanya hivi ni kwamba iwapo itaonekana ni video ni bomu (yaani ya kughushi), basi isijulikane kama ni yeye ndiyo aliiweka mtandaoni na hivyo kukwepa lawama. Na ndiyo maana kumetokea ugumu wa kumpeleka Lwakatare mahakamani kwa haraka.
7. Video hiyo haimuunganishi moja kwa moja Lwakatare kuhusu kupigwa kwa Kibanda hivyo bila shaka waliokuwa nayo waliishikilia kwanza (was put on hold) hadi “tukio la Kibanda” litokee ndiyo ikawekwa mtandaoni. Hii bila shaka ilitakiwa jamii iwekwe kwanza kisaikolojia kuhusu yatakayofuata.”
8. Na yaliyofuata sasa tumeyaona – watu walipangwa ku-act nafasi zao kama ilivyotakiwa (according to the laid down script). Hawa wengine ni pamoja na Manyerere -- na hata huyo Ludovick na tukio lake lile la kutekwa ili kujitafutia alibi. Nahisi Ludovick atakuwa shahidi tu wa kujaribu kuakandamiza viongozi wengine wa CDM – ingawa hawatajwi katika video.
Mimi naona mpango mzima uliosukwa umekwenda kombo mahali fulani. Bado tISS wanakosa uweledi wa kufanya operations zao – kuanzia tukio la kuuwawa kwa Gen Amrani Kombe, Chacha Wangwe, tukio la tindikali la Kubenea, kutekwa kwa Ulimboka na pengine hili la kupigwa kwa Kibanda.

Naomba tujadili hili kwa kina.


 
Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa Chadema wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all Chadema supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians. M
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
Usamehewe bure maana hujui utendalo. Umetazama kwa kutumia nini? hayo macho yako au teknolojia gani uiweke wazi ili tuihukuwa hoja yako kwa vielelezo vyako. Kama ni kwa macho ya kawaida wewe ni mvivu wa kufikiri na huna kumbukumbu hata na Physics ya fomu two kama ulijaliwa kupita shule katika maada ya mwanga namna ambavyo macho yanaweza kukudanganya katika kutazama.
Hili jambo si la ushabiki wa kisiasa kama upeo wako wa kufikiri ambavyo unaweza kuwa ndani ya box la siasa. Angalia maslahi mapana ya taifa. Kama huna la kusema unaweza kunyamaza maana si lazima useme na hata mpumbavu akinyamaza kimya huhesabiwa kuwa anabusara.
 
sisi wengine hatuangalii vitu kwa black and white kama wewe, we think outside the box by going beyond average mind
can see. why didn't the producer avoid turning in the clip to the authorities? we don't trust the authority which is famous around the world for kidnapping and killing its own citizens. we look into everything with skeptical eyes, we want to verify what is behind the curtain before we make conclusion. we can't stop you from believing in brutal regime with bunch of wababishaji but don't force us to trust killers of mwangosi that suddenly they are interested in truth.

Hapo kwenye red, labda huyo aliye mrekodi Lwaka T ni mmoja wa askari wa CDM amabye kachoshwa na uovu anaotumwa kufanya dhidi ya wa TZ wenzake, akaamua kumkomoa Lwaka T. CDM mnalo hilo! tuelezeni ukweli acheni kuleta hizi porojo pelekeni hiyo clip ujerumani wakaangalizieni kama ni uongo au la! na dunia nzima ijue ukweli hii habari ya kutoa toa mapovu muache! we need to trust you so do the needful and mtoe tamko rasmi maana dunia nzima imeona hiyo clip! Jisafisheni, mmechafuka saana!
 
Hlo n kwel bro ukwel utabak mlle they fol as long tme now we a on
 
je tuweke ip addrees ya kompyuta iliyotumika?je tu downset matukio mengine yaliyokuwa posted na kupyuta address iyo?je tulete na michango mingine ktk websites nyingine ambazo iyo komputa imekuwa ikitumika?kipi ni rahsi mnataka tufanye?

Ina maana yeye hakujua haya kabla?
 
Kwa nini hajitokezi alieirekodi? Kwa nini wasimuhoji alioiweka youtube? Kwa nini sauti haisikiki vizuri? Kwa nini imetolewa muda huu. Kwa nini mnatoa povu. Kwa nini Ilunga hakukamatwa na video ipo youtube? Kwa nini na wewe unakuwa na ufinyu wa mawazo
 
Uzushi wa ccm haujaanza leo....tuambie magaidi wa cuf waliishia wapi na wale waliouawa 26/01/1996 huko Zanzibar waliuawa na nani? Kolimba je, aliuawa na nani? Imrani Kombe aliuawa na nani? Dr chachage naye je? Tujiulize na marehemu Sokoine aliuwa na nani? Mjue siku zote kuwa hata mandela alikuwa mhaini miaka zaidi ya 20 lakini mwishowe alikuwa rais. Mnaweza kuwaua, kuwasingiziza, kuwafunga nk lakini mnajiwekea kitanzi miaka ijayo mtajuta.
 
Hapo kwenye red, labda huyo aliye mrekodi Lwaka T ni mmoja wa askari wa CDM amabye kachoshwa na uovu anaotumwa kufanya dhidi ya wa TZ wenzake, akaamua kumkomoa Lwaka T. CDM mnalo hilo! tuelezeni ukweli acheni kuleta hizi porojo pelekeni hiyo clip ujerumani wakaangalizieni kama ni uongo au la! na dunia nzima ijue ukweli hii habari ya kutoa toa mapovu muache! we need to trust you so do the needful and mtoe tamko rasmi maana dunia nzima imeona hiyo clip! Jisafisheni, mmechafuka saana!
Mbona cd ya dr ulimboka hamukuijadili wala kufuatilia ukweli? Mbona picha za mauaji ya mwongosi hazijafanyiwa uchunguzi? CCM muache kutuhadaa ili kutupotezea lengo. Mfungeni tu huyo kamanda lakini mjipange kulipa huo ubaya.
 
wakati tukijadili ushahidi wa mipango michafu..ya chadema kupitia video ya Lwakatare..ambayo imetoa ushahidi wa giza zito la uslama ambalo lilikua likitishia usalama wa watanzania bila ya kupata jawabu
basi hebu tujikumbushe historia fufi tu ya Hitler na chama chake cha nazi jinsi walivo tumia mbinu chafu kuingia madarakani

Adolf Hitler's rise to power
Adolf Hitler's rise to power began in Germany in September 1919 when Hitler joined the political party known as the Deutsche Arbeiterpartei (abbreviated as DAP - German Workers' Party); the name was changed in 1920 to the Nationalsozialistische Deutsche Arbeiterpartei - NSDAP (National Socialist German Workers' Party, commonly known as the Nazi Party). This political party was formed and developed during the post-World War I era. It was anti-Marxist and was opposed to the democratic post-war government of the Weimar Republic and the Treaty of Versailles; and it advocated extreme nationalism and Pan-Germanism as well as virulent anti-Semitism. Hitler's "rise" can be considered to have ended in March 1933, after the Reichstag adopted the Enabling Act of 1933 in that month; President Paul von Hindenburg had already appointed Hitler as Chancellor on January 30, 1933 after a series of parliamentary elections and associated backroom intrigues. The Enabling Act — when used ruthlessly and with authority — virtually assured that Hitler could thereafter constitutionally exercise dictatorial power without legal objection.
Hitler rose to a place of prominence in the early years of the party. Being one of the best speakers of the party, he told the other members of the party to either make him leader of the party, or, he would never return. He was aided in part by his willingness to use violence in advancing his political objectives and to recruit party members who were willing to do the same. The Beer Hall putsch in November 1923 and the later release of his book Mein Kampf (usually translated as My Struggle) introduced Hitler to a wider audience. In the mid-1920s, the party engaged in electoral battles in which Hitler participated as a speaker and organizer,[SUP][2][/SUP] as well as in street battles and violence between the Rotfrontkämpferbund and the Nazi's Sturmabteilung (SA). Through the late 1920s and early 1930s, the Nazis gathered enough electoral support to become the largest political party in the Reichstag, and Hitler's blend of political acuity, deceptiveness and cunning converted the party's non-majority but plurality status into effective governing power in the ailing Weimar Republic of 1933.
Once in power, the Nazis created a mythology surrounding the rise to power, and they described the period that roughly corresponds to the scope of this article as either the Kampfzeit (the time of struggle) or the Kampfjahre (years of struggle).
oung jobless men attracted by the belonging and power, marched the streets, beating and even killing enemies of the Nazi party. Hitler's terror tactics were highly effective; the fear of the SA led many Germans to remain silent even though they did not support the Nazi party.

On 14 September 1921, Hitler and a substantial number of SA members and other Nazi Party adherents disrupted a meeting at the Lowenbraukeller of the Bavarian League. This federalist organization objected to the centralism of the Weimar Constitution, but accepted its social program. The League was led by Otto Ballerstedt, an engineer whom Hitler regarded as "my most dangerous opponent." One Nazi, Hermann Esser, climbed upon a chair and shouted that the Jews were to blame for the misfortunes of Bavaria, and the Nazis shouted demands that Ballerstedt yield the floor to Hitler.The Nazis beat up Ballerstedt and shoved him off the stage into the audience. Both Hitler and Esser were arrested, and Hitler commented notoriously to the police commissioner, "It's all right. We got what we wanted. Ballerstedt did not speak

[h=4]Attacks on other parties[/h] Hitler was a brilliant speaker, and his eyes had a peculiar power over people. He was a good organiser and politician. He was a driven, unstable man, who believed that he had been called by God to become dictator of Germany and rule the world. This kept him going when other people might have given up. His self-belief persuaded people to believe in him.
He main use was terror.
People were to scared to speak out because they knew what would happen to them. Many people of Germany did know that what Adolf Hitler was doing was wrong but were to afraid and felt alone so did not say their part. A lot of Germans fled from the country as they thought it was becoming 'brainwashed' by Hitler and overall i believe it was. Hitler was an amazing speaker but he used this power in malicious ways to intimidate and scare people. All these factors come together to empathy the fact Hitler mainly used terror to

intimidate the German people from questioning the Nazi Party.

Hitler would strategically put fear in people’s hearts by killing random people in the street, or taking away certain sections of cities to gas chambers or concentration camps. He would do everything slightly randomly so that people would never know what to expect or when, they only knew that it would never be good. As well, by taking people away, no one knew exactly what was happening to them so they were even more afraid-man's greatest fear is the fear of the unknown-Hitler obviously knew this and was very good at ensuring that everyone knew he was in charge.
 
Last edited by a moderator:
th

mambo yalianza kwa kumvamia , kumtesa na kumteka DC wa Igunga. hadi wabunge akina susan kiwangwa walishirika katika utekaji

TUKAWA TUNAJIULIZA NANI YUKO NYUMA YA MAMBO HAYA!!!!???

MUNGU SI ATHUMANI WALA JOZEFU,


UKWELI UMEJULIKANA NA NI HUU HAPA CHINI. HUYU BWANA KATUONESHA CHAMA KINACHO RATIBU HAYA YOTE
th

anaitwa wilfred lwakatare
mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chdm



Mimi nakaa na kujiuliza, ni kigezo gani kilimfanya akawa mkuu wa kitengo cha ulinzi na usalama wa CHADEMA hata hawezi kujilinda mwenyewe achilia mbali kukilinda chama. Ndiyo maana kuwa watu mpaka sasa inawatatiza na wengine hawajaamini kama hiyo video ni kweli au la kwa sababu, ni mjinga tu au mtu mwenye malengo mengine anayefanya vitu nyeti kama hivyo bila hata kuchukua tahadhari hata zile za kawaida kabisa katika ujasusi. This guy is really bogus.

Kwa wale wenye IMANI ZA DINI watadai huu ni ufunuo ili kuondoa migongano/sindiko katika kijamii nchini kutokana na kutupiana lawama pale matukio yanatokea.

Kwangu mimi nasema, huu ni ujinga tu ambao umemfanya akajikuta hapa alipo leo.
 
Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.

Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.

Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?

Mimi naamini kuwa CHADEMA wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.

Shame to all CHADEMA supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians.

Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.




I agree with you. Let them provide exculpatory evidence!
 
Back
Top Bottom