CHADEMA in war against the truth

Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.

Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.

Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?

Mimi naamini kuwa CHADEMA wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.

Shame to all CHADEMA supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians.

Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
Wewe IGHONDU toa uchafu wako hapa!!!
 
Kaka Kiranga,

Red Brigade ni kulinda mali na wafuasi wa CHADEMA.Ni kwa ajili ya ulinzi

Hata hivyo hiyo alarm unayo-raise against hivi vikundi uko sahihi maana hata Rwanda ilifikia huko kwa vikundi kama hivi

Sasa kwa mazingira ya kisiasa tuliyo nayo,unaona kabisa CCM wanatumia Green Guard si kwa ajili ya ulinzi kama ilivyo Red brigade bali wanaitumia kama militia ya ku-intimidate na kunyanyasa wafuasi wa upinzani kipindi cha uchaguzi.CHaDEMA tumekua tukilalamika sana sana lakini polisi hawachukui hatua

Sasa mimi ni miongoni mwa watu wanaotaka sasa Red brigade ipewe nguvu zaidi na tuhakikishe hakuna kikundi,kikosi chochote kitakacho-bully wafuasi wetu kipindi cha uchaguzi kwa kuwa jeshi la polisi halifanyi kazi yake kwa haki.Kama hii italeta detterence effect kwa CCM na vyombo vyake then this is right.Kama itawafanya polisi wagutuke then this is right.Ni kama mbinu ya kukabiliana na uhalifu dhidi ya CHAdEMA maana hapo hao hawafanyi siasa.Ni lazima tujilinde sasa

Even the American criminal justice system functions at least in part on the principle of deterrence.

When all is said and done, even if one sympathises with your cause, the mere name "Red Brigade" for any person who has had the minimum exposure to world affairs, the basest decorum of any semblance to respect for human dignity and rule of law, and a healthy abhorrence towards terrorism, is simply and repugnantly unnacceptable .

Didn't anyone object to this PR disaster of a name?

Doesn't anyone read anymore?

Or is the message here that CHADEMA endorses terrorism openly?

You guys are making it hard for sane, learned people to support you. One could get jailed in Italy for the mere suspicion of belonging to "The Red Brigade". By the time someone realizes that this is a photocopy wannabe Red Brigade one's connecting plane might have already left and left one stranded at Leonardo Da Vinci !
 
When all is said and done, even if one sympathise with your cause, the mere name "Red Brigade" for any person who has had the minimum exposure to world affairs, the basest decorum of any semblance to respect for human dignity and rule of law, and a healthy abhorrence towards terrorism, is simply and repugnantly unnacceptable .

Didn't anyone object to this PR disaster of a name?

Doesn't anyone read anymore?

Or is the message here that CHADEMA endorses terrorism openly?

You guys are making it hard for sane, learned people to support you. One could get jailed in Italy for the mere suspicion of belonging to "The Red Brigade". By the time someone realizes that this is a photocopy wannabe Red Brigade one's connecting plane might have already left and left one stranded at Leonardo Da Vinci !

Got your point Kiranga

.....But what is your suggestion here,should we Rebrand Red brigade?


Actually,What’s the difference between Hamas in Iraq, the Islamic Army in Iraq and the Jihad and Reform Front? and what is the difference between Interahamwe in Rwanda and green Guard in Tanzania na ni nini tofauti kati ya inkotho we sizwe ya Soauth africa na Red brigade ya CHADEMA(tanzania).Concerning the former, The three militant Islamist groups are based in Iraq, but they have different historical roots and leadership structures. And their goals and strategies do not necessarily align so the other comparative groups

These differences highlight one of the biggest challenges to tackling terrorism: understanding the motivations, allegiances, shifting priorities and organizational structures of the dozens of militant groups around the world.


Groups with similar grievances and demographics sometimes merge with one another; other times they don’t. Organizations that begin with one leadership structure might splinter or change over time, giving birth to a hydra of new militant groups that may themselves merge or diverge in new and unexpected ways.

Tusipokua makini na polisi wasipofanya kazi yao na Law enforcement machinery wataharibu hata demokrasia yetu.tutaachana na ideologies tutaishia kuwa na programs ambazo in return zitazalisha guerilla groups.mfumo wa vyama vingi utafeli na kutakua hakuna haja ya kunadi sera,kampeni wala kupiga kura kwani coup d'tat itakua replaced na tyranny nyingine ya coup civillien(mapinduzi ya matakwa ya umma)

Low voters turn out ndogo election iliyopita ni kielelezo.Sasa definition yoyote ya terrorism ni lazima iambatane na ufafanuzi wa intimidation ambayo green guard wanafanya in the presence of security forces.CHADEMA ina-act on defence,lengo ni detterence!
 
Nakumbuka maneno ya Biblia kuwa kuna watu wana macho lakini hawaoni, na wana masikio lakini hawasikii...Quran nayo inasema wapo watu kila utakachowaambia ima wanaona au wanasikia lakini kwao haileti tofauti. How could we think that a clip that has been given into our eyes lakini bado hamuamini? Lakwatare anaongea yeye mwenyewe na site tunamsikia, lakini CHADEMA mna kata a eti ni njama za CCM...kwani alitumwa na CCM kuongea yale? Ndipo hapo ninaposema kuwa ni wakati wa KUVUA GWANDA...nie nishavua la kwangu, wewe je?
 
tatizo ni ushahidi wa mazingira,pale haonekani lwakatare peke yake,mbona humsemi yule binti aliyekwenda dirishani na kurudi kusikojulikana,mbona husemi kuhusu black wall kulia pichani? Mbona hutuambii kuhusu kelele za chupa na honi za magari? Mimi simtetei lwakatare lakini pia simtuhumu kwani ukisikiliza kwa umakini sauti ya mtu asiyeonekana utagundua he never resemble to be an assassin.lakini pia,ukiangalia waving colour around his physical body,you will discover that the video placed in the designed frame.

our goverment system is no longer credible
 
Toa hoja sio matusi.

Wewe Amanibaraka sijui akili zako ziko sehemu gani ya mwili wako.

*Watanzania wengi hawajui tofauti ya TISS na Sheikh Yahaya (wote wanatumia nguvu za kishenzi kutisha/kuiba/kuharibu)
*Wote ni marehemu (TISS is dead morally and Yahaya is dead physically/spiritually)
 
Got your point Kiranga

.....But what is your suggestion here,should we Rebrand Red brigade?


Actually,What’s the difference between Hamas in Iraq, the Islamic Army in Iraq and the Jihad and Reform Front? and what is the difference between Interahamwe in Rwanda and green Guard in Tanzania na ni nini tofauti kati ya inkotho we sizwe ya Soauth africa na Red brigade ya CHADEMA(tanzania).Concerning the former, The three militant Islamist groups are based in Iraq, but they have different historical roots and leadership structures. And their goals and strategies do not necessarily align so the other comparative groups

These differences highlight one of the biggest challenges to tackling terrorism: understanding the motivations, allegiances, shifting priorities and organizational structures of the dozens of militant groups around the world.


Groups with similar grievances and demographics sometimes merge with one another; other times they don’t. Organizations that begin with one leadership structure might splinter or change over time, giving birth to a hydra of new militant groups that may themselves merge or diverge in new and unexpected ways.

Tusipokua makini na polisi wasipofanya kazi yao na Law enforcement machinery wataharibu hata demokrasia yetu.tutaachana na ideologies tutaishia kuwa na programs ambazo in return zitazalisha guerilla groups.mfumo wa vyama vingi utafeli na kutakua hakuna haja ya kunadi sera,kampeni wala kupiga kura kwani coup d'tat itakua replaced na tyranny nyingine ya coup civillien(mapinduzi ya matakwa ya umma)

Low voters turn out ndogo election iliyopita ni kielelezo.Sasa definition yoyote ya terrorism ni lazima iambatane na ufafanuzi wa intimidation ambayo green guard wanafanya in the presence of security forces.CHADEMA ina-act on defence,lengo ni detterence!

CHADEMA needs to do more than rebrand, that (rebranding) is for insipid corporations cosmetics.

CHADEMA needs to revamp it's now apparently lackadaisical mission to quell the cavalier and wanton enthusiam for political shortcuts and myopic fluff, and replace it with a sober, deep rooted, people based, grassroots informed and dignified approach towards a better Tanzania.

I have a feeling that it is becoming a burgeoning behemoth with splintering spleens. While PR and politicking are taking precedence over the real issues of concern regarding governance, particularly the despicable hullabaloo and clamoring types of propaganda, and now even borderline terrorism starts to figure.Spare the lawyerly boilerplate, I'm immunized.

If not, CHADEMA's dazzling disarray will be it's own worst enemy, giving the way less than popular CCM room to depict it as a "seasonal party" with no real connection to or conviction for the issues (never mind the lack of moral authority on CCM's part).

And the people will be hard pressed not to say "Zimwi likujualo...".

CHADEMA has a real chance to make some serious moves, the people are desperate for change, we just don't need some more acrobatics.CCM has had more acrobatics than we will need for another century.

I have been to the destitute corners of the country. I had on a khaki suit (Which I have been rocking since long before it became associated with CHADEMA).The people were so receptive.

Kumjua Sugu tu deal, watu wanataka kuandika barua mikutano iende huko.It was like a political fanaticism type of thing.

Show the people the difference between CHADEMA and CCM.

Tunapoona CHADEMA inaanza kuleta circuses zile zile tulizokataa CCM tunakosa mategemeo, tuiondoe CCM ana kuileta CCM B sasa?
 
Nyie CHADEMA hapa mna analyse augument zenu vizuri...the only thing you are not doing is to prove it...cleanly to the public u feke wa ile video...but until then acheni kuingia vitani na ukweli ulio wazi....technologia ya kuweka sauti kwenye video ni rahisi mno, na kama ile video ilitumika kuwekewa maneno si mlete original....sonography forensic experts watatoa majibu within minutes....acheni kelele...you make me wonder wangapi wamepitia kwenye mateso yaliyopangwa kama haya...na CHADEMA, CCM au kundi linengine...M/Mungu atulinde maana yanaendelea hapa nchini kwetu yanaanza kutisha.
 
Back
Top Bottom