Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Imrani Kombe, Horace Kolimba, Kighoma Malima, Karume Senior, Kuteswa kwa Ulimboka, Sumu ya Mwakyembe,Mwangosi
Imrani Kombe, Horace Kolimba, Kighoma Malima, Karume Senior, Kuteswa kwa Ulimboka, Sumu ya Mwakyembe,Mwangosi
Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa Chadema wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all Chadema supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians. M
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
tukumbushane historia ya matukio yanayofanana na haya kwa ujachache tu,mauaji ya imran kombe,kifo tata cha kolimba,mwasisi wa zanzibar karume,prof.malima,kumwagiwa tindikali kubenea,vitisho vya kuuwawa kwa wanasiasa kama mwakyembe,kilango slaa na regnand mengi.na mpaka mwakyembe akamwandikia barua ya malalamiko IGP,ili kulinda haki yake ya kuishi akaenda mbali zaidi na kusema police na usalama wa taifa wanataka kukatisha maisha yangu,kupigwa na kuteswa kwa ulimboka hii ni mifano michache kwa kutaja.je matukio yote haya ni chadema au lwakatale ni muhusika?najua wewe ni mwana ccm kama mimi lakini lazima tuwe na hofu ya mungu kabla ya kujilekeza katika ushabiki ya vyama vyetu ambao kimsingi hauna maana yoyote kama maisha ya watu yanaangamia kisa tu eti tuendelee kubaki madarakaniYoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa Chadema wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all Chadema supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians. M
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
Hube wewe Ben tueleze, hiyo video ni fake?Hatuwezi kujadili video bila ku-question credibility yake
Kama wewe ni blind follower,then i'm not one of them
Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa Chadema wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all Chadema supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians. M
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
chadema ni chama cha wahuni sema ndio hivyo kipenda roho, washabiki wake hawataki kuona ukweli yaleyale ya chacha wangwe , chama kimejaa wahuni
Hube wewe Ben tueleze, hiyo video ni fake?
chadema ni chama cha
wahuni sema ndio hivyo kipenda roho, washabiki wake hawataki kuona
ukweli yaleyale ya chacha wangwe , chama kimejaa wahuni
Wameshazoea KULAGHAI watu...
Chedama Forums ukiwazidi akili wanakuogopa na kukupiga ban katika forum yao. Na hii ni ishara kwamba kukupiga ban kwenye forums ni kwa sababu hawawezi kukupata "physically". Lakini kama wangeweza kukupata, basi wangetuteka nyara na kukutoa macho.
Kwa ufupi, Vichanzi ameshapigwa ban la kudumu. Nashangaa sana wewe ZeMarcopolo bado hujapigwa ban.
Hii ni ishara ya utawala wa chadema utakavyokuwa. Mawazo makubwa kuliko chadema hayataruhusiwa, na hasa kama yakitoka kwa wale wasiokuwa wanachadema.
chadema ni chama cha wahuni sema ndio hivyo kipenda roho, washabiki wake hawataki kuona ukweli yaleyale ya chacha wangwe , chama kimejaa wahuni
Akili za watu wenye uwezo mdogo wa kufanya mijadala na kufikiri kwa mapana wanataka ujadili hoja kwa kutumia hoja ndogo kama wafanyavyo wasabato kuchukua mstari mmoja wa biblia. Endeleeni kutengeneza clips zinazoipa ushindi chadematwo wrong doesnt make right. Hoja unazoleta ni kama ku- divert from the topic, from the issue under discussion. The point in the video is lwakatare speaking. Full stop.
Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa Chadema wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all Chadema supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians. M
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
hata mimi namjua sana rwakatare video ile ni yake na maneno ni yake anayepinga.ni wale watu wanaosemwa akipenda chongo huita kengeza na ndio wenye kelele.na ndio wachaguaji viongozi wabovu.Yoyote anayemjua Lwakatare na kama ameitazama video yake iliyorushwa mtandaoni atajua kwamba yule ni yeye kwa umbo, kwa sauti na hata matambo yake.
Nashangaa sana watu wanaotumia nguvu zao zote kupinga ukweli huu kuwa Lwakatare amerekodiwa akipanga hujuma mbaya na za aibu za kudhuru binadamu na watanzania wenzake.
Baada ya kuona ushahidi huu najiuliza CHADEMA wameua wangapi? mpaka sasa?
Mimi naamini kuwa Chadema wanaweza kuukandamiza ukweli ule kwa mafanikio makubwa hasa mtandaoni kwani propaganda machinery yao iko sophisticated sana, Lakini CHADEMA will not be able to fool all the people all the time.
Shame to all Chadema supporters who know the truth but you are determined to fool Tanzanians. M
Ni kweli the end justifies the means lakini sio kwa namna hii. You have crossed the line. Period.
Mbona taarifa za kiintelijensia kutoka vyanzo vya kuaminika zinasema Wewe ndo walewale style za Lwakatare na Mabere Marando,tofauti yenu ni Aina Ya biti mnazokuja nazo!