- Thread starter
- #61
Hivi kwani ni CHADEMA peke yake iliyoshindwa katika uchaguzi wa Biharamulo??
Mada hapa ni Chadema ukitaka kujua habari za vyama vingine fungua thread husika tutajadili
Hivi kwani ni CHADEMA peke yake iliyoshindwa katika uchaguzi wa Biharamulo??
Kitendo cha CHADEMA kutangaza kimeshinda uchaguzi wa B'mulo kupitia kwa wapambe wake ni kipimo tosha kuwa chama hicho kimekosa Dira.
Hapana unaongopa Chadema ilishinndwa Kiteto tuu,Mbeya walidhurumiwa walimuenguwa mgombeya wao,Busanda walichukua Dunia yote inajua kulikuwa na uwakilisha wa wana dunia kupitia balozi zao,
Biharamulo hiyo ndio komesha CCM waone aibu puu dhuluma kila mahala
lakini kutokana na mafundisho hayo Chadema wasibaki kusema kesi zinachukua muda na nini na ni
Wapeleke kesi mahakamani nakala kwenye balozi zote ,umoja wa Africa na umoja wa mataifa wajue nchi ambayo imekuwa ikiheshimiwa duniani kwa amani iko hatarini kutumbukizwa kwenye dimbwi la matatizo makubwa ya uzandiki na uporaji wa haki za wananchi
Kulipua mabomu ni sera nzuri sana pesa za EPA kama kweli zimerudishwa manake zisingerudi ili mradi watumii vurugu kutekeleza hayo
Kutumia helicopta ni lazima ili wote wafikwe na umeona matokeo yake na mafanikio ya helkopta chadema inawafuasi wa kutosha tuu,kwa kiasi kikubwa vijijini
Marehemu Kolimba alisema CCM imekosa dira,......
Marehemu Chacha Wangwe alisema CHADEMA chama cha kikabila lakini hakusema kuwa chadema imekosa dira.
Katika hizo kauli mbili za watu wawili waliokuwa vigogo ndani ya vyama vyao, huyo wa CCM ndiye alikiri kuwa wamekosa dira.Sasa unachoshindwa kuelewa ni kitu gani hapo?au umepofushwa na mahaba uliyonayo kwa ccm.
kaaazi kweli kweli poti.
Jamani nilishasema...hapa JF tunataka watu wenye akili timamu.....Masato ana matatizo ya kukosa ustaarabu...kwa kusoma tuu threads zake anazoleta hapa nimegundua ni mtu wa kuropoka na labda mwenzao mafisadi wa tanzania. Inakuwaje kila kitu serious kinachohusu CHAMA CHA MAFISADI yeye watu wakitoa mawazo against CCM anakasirika sanaaa.....ila anataka akikashifu wengine TUMBEBE JUICE...hii haiwezekani. Naungana na wasemaji wengine kumwomba Masato alete hoja za kufaa kudiscuss......sio ushabiki wa kutokuwa na hoja. Masato...unawezaje kucompare MAFISADI wa 45yrs na CHADEMA 15 yrs? Hebu tuambie kisomi, hii comparison yako ni ya wapi?
Weekend hii nilihudhuria mojawapo ya sherehe (za kiangazi) za watanzania waishio nje ya nchi. Kama kawaida ya vijana wengi wa kitanzania (ninao wafahamu mimi), mazungumzo ya siasa za bongo huchukua sehemu kubwa sana ya maongezi baina ya watu (vikundi, nk).
Baada ya kumaliza ubishi wa nani mbabe kwenye:
1. Tenesi - venus au serena
2. Soka - Ronaldo au Ronaldinho
3. Soka ya bongo - simba au yanga
4. Basiketibol - Kobe au Lebron
5. NK
Mambo yalihamia kwenye siasa za bongo, mengi yalisemwa ila moja tu ndilo lilikosa jibu mwafaka toka kwa wachangiaji (baada ya kutokea ubishi mkali - hasa baada ya heinikeni kuwakolea baadhi ya wachangiaji).
Swali kubwa lilikuwa, je ni kweli CHADEMA iliwaunga mkono CUF (kwenye ngazi ya uraisi) katika chaguzi za 1995 na 2000?
Natumaini kuwa great thinkers wa JF watauweka huu ubishi chini once and for all.
nilitegeme una hoja kumbe ni wale wale. Usijali mzee watu kama ninyi lazima muwepo ili wengine wawepo kwani ecosystem lazima iwepo.Siku za fisadi zinahesabika.To be more precisely its not even 48 years its 47 years na miezi 7 rekebisha tena!
Sina kumbukumbu kamili za mwaka 1995 japo ni kweli. Kuhusu mwaka 200 ni ukweli wa asilimia 100 maana katika maeneo yote alipopita Mgombea Urais wa CUF, Prof Lipumba na mgombea Mwenza, Mh. Nasor, Chadema walishiriki kwa hali na mali na kuna maeneo Chadema walitumia magari yao, hoteli zao, mfano Kilimanjaro, Hotel Aishi ya Machame na Keys ya Moshi mjini na magari yote ya Chadema yalitumika. Kwa Moshi hata gari la Lipumba Land Cruiser short chases aliyosafiri nayo nchi nzima ikiwa imechoka alilazimika kuiacha na kukabidhiwa gari ingine yenye hadhi. Ilikuwa ni kwa nia njema na pengine kwa Chadema pia kutaka Lipumba asaidie kampeni za wagombea wao wa Ubunge, Philemon Ndesamburo kwa Moshi mjini na Freeman Mbowe kwa Hai.
Lakini hali ya sasa haishirii neema kwa mageuzi hata kidogo. CUF na Chadema sasa wanaangaliana kama mahasimu wakuu, tena kuliko hata ilivyo kwa CCM.
Masatu ingekuwa vyema ujibu hoja.
Ulitaka miaka 48 ya uhuru nimekupa ila hujajibu hoja zangu. jibu hoja za msingi wacha kuficha kichwa na kuaacha kiwili wili juani.
Nini unachoshabikia CCM?
Hii ni ajabu ya dunia
Hii thread ambayo imekuwa critical to CHADEMA iko humu zaidi ya 24 hrs
unloess ma critics waliomo si aggressive enough lakini mindhali bado ipo then sioni kwa nini wengine tusiingie
kwa kuanza nataka kujua msimamo wao kwenye issue ya KADHI na ile MoU ya kanisa na serikali
Ewaaa,
Hapa GT umenena kabisa. Hata mie nataka nijue msimamo wa CHADEMA juu ya kuhalalisha UMALAYA Tanzania na malaya wawe wanalipa Kodi, maana biashara ya ukahaba si ndiyo biashara nzee kuliko zote duniani?
Pia kama wataruhusu KUFUNGUA Sex Shop Tanzania. Michuzi hatimaye ataweza kuja kununua hapahapa Tanzania hizo Dildo zake. Pia videos, toys za wakubwa, wasichana wa Peep Show watakuwepo. Uzuri ni kuwa NTALIPA kodi na kodi hiyo ntaruhusu iende kulipa MAHAKIMU wa mahakama ya KADHI, kusaidia watoto yatima, kutoa misaada kwa wanafunzi wasio na uwezo nk nk. Itategemea kipato changu kitachanganya kiasi gani.
Nilishatangaza zamani, Sex shop ya kwanza itakuwa Sikonge......
(Masatu ukipata donge kuandikwa tena Sikonge, hang your self...)
Masatu,
Come down. Nilikuona ONLINE nikataka kukusalimu ki-vyangu. Nilifikiri utanipata kumbe hukunielewa. Sikuwa na maana ya kukutukana wala kusema ukajinyonge.... na wewe hutaniwi? Kama imekuuma basi pole, na chukulia kama salamu/utani nilipoona jina lako.
Ilitosha kuona habari yenyewe ilivyokaa kaa ki-aina......
Sikonge wa Sikonge,
Mie nilikuwa najibu salam yako ki-aina nilidhani utanielewa, looks like hakunipata.
Anyway nilikuwa najibu salaam tu...
Ewaaa,
Hapa GT umenena kabisa. Hata mie nataka nijue msimamo wa CHADEMA juu ya kuhalalisha UMALAYA Tanzania na malaya wawe wanalipa Kodi, maana biashara ya ukahaba si ndiyo biashara nzee kuliko zote duniani?
Pia kama wataruhusu KUFUNGUA Sex Shop Tanzania. Michuzi hatimaye ataweza kuja kununua hapahapa Tanzania hizo Dildo zake. Pia videos, toys za wakubwa, wasichana wa Peep Show watakuwepo. Uzuri ni kuwa NTALIPA kodi na kodi hiyo ntaruhusu iende kulipa MAHAKIMU wa mahakama ya KADHI, kusaidia watoto yatima, kutoa misaada kwa wanafunzi wasio na uwezo nk nk. Itategemea kipato changu kitachanganya kiasi gani.
Nilishatangaza zamani, Sex shop ya kwanza itakuwa Sikonge......
(Masatu (Muhogo Mchungu) ukipata donge kuandikwa tena Sikonge, hang your self...)
Siasa ni kama askari wa miguu mafanikio ni wanapo advance na kuchukua territory kuongea majimbo yap ndio mafanikio. Chadema wao acha waendelee kujaza watu kwenye mikutano yao wengine wanakuja kuburudika na mziki, wengine wanafuata helikopta nk
Sasa kama umeamua kuangalia kwenye angle ya kujaza watu kwenye mikutano then kumuulize mzee wa Kiraracha ana somo zuri kwenye topic hiyo.
Mugo"The Great";515342 said:Hivi unajua kusoma kweli? Mapenzi yako kwa CCM yamekupofusha. Nani amezungumzia siasa za kujaza watu kama siyo wewe mwenyewe? Mimi nimeongelea matokeo yaliyotangazwa na TUME ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa Upinzani una-gain ground i.e from 3-5% to 45+%.
Kwa upande wa Muziki , CCM ndiyo mahodari wa kujaza watu kupitia fani hiyo ili kionekane kinapendwa. Ndiyo maana wapo radhi kutumia mamilioni ya shilingi kum-maitain Komba.
Umma uliokuwa ukihudhuria mikutano ya Mzee wa Kiraracha ni tofauti na Umma wa sasa kimtazamo na kifikra.
Unachoshindwa kuelewa chaguzi ndogo ni different battle ground. Unahitaji soma la masuala haya ngoja nikusaidie.
Jimbo la Temeke Tambwe akiwa CUF alishindwa uchaguzi mdogo kwa tofauti ya kura 2000 tu na kukawa na hoja kama hizo kutoka CUF kuwa wana gain ground. Unachosahau turn out ni only 44% na utakapokuja uchaguzi mkuu ni 2010 ni different battle ground.
Its political naivity kuita umma ulihuhudhuria mikutano ya Mrema ni tofauti na Umma wa sasa unataka kusema wale wamekufa wamezaliwa wengine? waulize Chadema wenzio watakwambia "upepo" wa kisiasa umebadilika sasa kutoka kupendwa kwa CUF kuja Chadema meaning watu ni wale wale sasa wanahama ku support chama kimoja kuja kingine.
You are up for the biggest dissapointment comes 2010 son!