CHADEMA imekosa Dira?

Kitendo cha CHADEMA kutangaza kimeshinda uchaguzi wa B'mulo kupitia kwa wapambe wake ni kipimo tosha kuwa chama hicho kimekosa Dira.

Sema wewe kiazi nikisema mimi mhogo naambiwa wa uchungu....
 
Hapana unaongopa Chadema ilishinndwa Kiteto tuu,Mbeya walidhurumiwa walimuenguwa mgombeya wao,Busanda walichukua Dunia yote inajua kulikuwa na uwakilisha wa wana dunia kupitia balozi zao,
Biharamulo hiyo ndio komesha CCM waone aibu puu dhuluma kila mahala

lakini kutokana na mafundisho hayo Chadema wasibaki kusema kesi zinachukua muda na nini na ni

Wapeleke kesi mahakamani nakala kwenye balozi zote ,umoja wa Africa na umoja wa mataifa wajue nchi ambayo imekuwa ikiheshimiwa duniani kwa amani iko hatarini kutumbukizwa kwenye dimbwi la matatizo makubwa ya uzandiki na uporaji wa haki za wananchi
Kulipua mabomu ni sera nzuri sana pesa za EPA kama kweli zimerudishwa manake zisingerudi ili mradi watumii vurugu kutekeleza hayo
Kutumia helicopta ni lazima ili wote wafikwe na umeona matokeo yake na mafanikio ya helkopta chadema inawafuasi wa kutosha tuu,kwa kiasi kikubwa vijijini

Kwanza hakuna aliesema Chadema wameshindwa Kiteto hayo yako wewe! ingawa ni kweli wapo on record wameshindwa Kiteto.

Hoja za "dunia nzima" ilipelekwa Busanda na CCM haina mashiko! whats dunia nzima by the way? kama ni uongozi Mwenyekiti wa CCM hakuwepo Busanda na lakini Mwenyekiti wa Chadema na uongozi mzima walikuwa kule sasa nani kapeleka "dunia nzima" baina CCM na Chadema?

Hilo la mabalozi na UN go ahead lakini kabla ya kufanya hivyo mngeomba ushauri kutoka CUF wao walishapita mwaweza pata "udhoefu" wao
 
Marehemu Kolimba alisema CCM imekosa dira,......
Marehemu Chacha Wangwe alisema CHADEMA chama cha kikabila lakini hakusema kuwa chadema imekosa dira.
Katika hizo kauli mbili za watu wawili waliokuwa vigogo ndani ya vyama vyao, huyo wa CCM ndiye alikiri kuwa wamekosa dira.Sasa unachoshindwa kuelewa ni kitu gani hapo?au umepofushwa na mahaba uliyonayo kwa ccm.
kaaazi kweli kweli poti.


Wa poti dont let me down big time! lets extends lione of reasoning here, hivi chama kuwa cha kikabila na familia kweli kitakuwa na Dira? oops sorry maybe huo ukabila na ufamilia ndio dira yenyewe!
 
Last edited:
Jamani nilishasema...hapa JF tunataka watu wenye akili timamu.....Masato ana matatizo ya kukosa ustaarabu...kwa kusoma tuu threads zake anazoleta hapa nimegundua ni mtu wa kuropoka na labda mwenzao mafisadi wa tanzania. Inakuwaje kila kitu serious kinachohusu CHAMA CHA MAFISADI yeye watu wakitoa mawazo against CCM anakasirika sanaaa.....ila anataka akikashifu wengine TUMBEBE JUICE...hii haiwezekani. Naungana na wasemaji wengine kumwomba Masato alete hoja za kufaa kudiscuss......sio ushabiki wa kutokuwa na hoja. Masato...unawezaje kucompare MAFISADI wa 45yrs na CHADEMA 15 yrs? Hebu tuambie kisomi, hii comparison yako ni ya wapi?


Mwenye akili timamu naitwa Masatu na sio Masato
 
Hii ni ajabu ya dunia

Hii thread ambayo imekuwa critical to CHADEMA iko humu zaidi ya 24 hrs

unloess ma critics waliomo si aggressive enough lakini mindhali bado ipo then sioni kwa nini wengine tusiingie

kwa kuanza nataka kujua msimamo wao kwenye issue ya KADHI na ile MoU ya kanisa na serikali
 
Weekend hii nilihudhuria mojawapo ya sherehe (za kiangazi) za watanzania waishio nje ya nchi. Kama kawaida ya vijana wengi wa kitanzania (ninao wafahamu mimi), mazungumzo ya siasa za bongo huchukua sehemu kubwa sana ya maongezi baina ya watu (vikundi, nk).

Baada ya kumaliza ubishi wa nani mbabe kwenye:

1. Tenesi - venus au serena
2. Soka - Ronaldo au Ronaldinho
3. Soka ya bongo - simba au yanga
4. Basiketibol - Kobe au Lebron
5. NK

Mambo yalihamia kwenye siasa za bongo, mengi yalisemwa ila moja tu ndilo lilikosa jibu mwafaka toka kwa wachangiaji (baada ya kutokea ubishi mkali - hasa baada ya heinikeni kuwakolea baadhi ya wachangiaji).

Swali kubwa lilikuwa, je ni kweli CHADEMA iliwaunga mkono CUF (kwenye ngazi ya uraisi) katika chaguzi za 1995 na 2000?

Natumaini kuwa great thinkers wa JF watauweka huu ubishi chini once and for all.

Kweli Heinikeni zilichanganya mpaka mnampambanisha Ronaldo na Ronaldinho! mbona watu washamsahu huyo Ronaldinho, the nearest you could get is the like of Messi, Kaka etc
 
To be more precisely its not even 48 years its 47 years na miezi 7 rekebisha tena!
nilitegeme una hoja kumbe ni wale wale. Usijali mzee watu kama ninyi lazima muwepo ili wengine wawepo kwani ecosystem lazima iwepo.Siku za fisadi zinahesabika.
Respect mkuu.
kauli ya haki kinepi.
 
Sina kumbukumbu kamili za mwaka 1995 japo ni kweli. Kuhusu mwaka 200 ni ukweli wa asilimia 100 maana katika maeneo yote alipopita Mgombea Urais wa CUF, Prof Lipumba na mgombea Mwenza, Mh. Nasor, Chadema walishiriki kwa hali na mali na kuna maeneo Chadema walitumia magari yao, hoteli zao, mfano Kilimanjaro, Hotel Aishi ya Machame na Keys ya Moshi mjini na magari yote ya Chadema yalitumika. Kwa Moshi hata gari la Lipumba Land Cruiser short chases aliyosafiri nayo nchi nzima ikiwa imechoka alilazimika kuiacha na kukabidhiwa gari ingine yenye hadhi. Ilikuwa ni kwa nia njema na pengine kwa Chadema pia kutaka Lipumba asaidie kampeni za wagombea wao wa Ubunge, Philemon Ndesamburo kwa Moshi mjini na Freeman Mbowe kwa Hai.

Lakini hali ya sasa haishirii neema kwa mageuzi hata kidogo. CUF na Chadema sasa wanaangaliana kama mahasimu wakuu, tena kuliko hata ilivyo kwa CCM.

Si useme tu kama mwaka 1995 mlimuunga mkono mzee wa Kiraracha! halafu sikujua kuwa Aishi na keys hotel ni za Chadema
 
Masatu ingekuwa vyema ujibu hoja.
Ulitaka miaka 48 ya uhuru nimekupa ila hujajibu hoja zangu. jibu hoja za msingi wacha kuficha kichwa na kuaacha kiwili wili juani.
Nini unachoshabikia CCM?

Thread hii inahusu Chadema kukosa dira masuala ya CCM na ICON hospital ipo thread ya CCM hapo chini kaulize huko
 
Hii ni ajabu ya dunia

Hii thread ambayo imekuwa critical to CHADEMA iko humu zaidi ya 24 hrs

unloess ma critics waliomo si aggressive enough lakini mindhali bado ipo then sioni kwa nini wengine tusiingie

kwa kuanza nataka kujua msimamo wao kwenye issue ya KADHI na ile MoU ya kanisa na serikali

Ewaaa,

Hapa GT umenena kabisa. Hata mie nataka nijue msimamo wa CHADEMA juu ya kuhalalisha UMALAYA Tanzania na malaya wawe wanalipa Kodi, maana biashara ya ukahaba si ndiyo biashara nzee kuliko zote duniani?

Pia kama wataruhusu KUFUNGUA Sex Shop Tanzania. Michuzi hatimaye ataweza kuja kununua hapahapa Tanzania hizo Dildo zake. Pia videos, toys za wakubwa, wasichana wa Peep Show watakuwepo. Uzuri ni kuwa NTALIPA kodi na kodi hiyo ntaruhusu iende kulipa MAHAKIMU wa mahakama ya KADHI, kusaidia watoto yatima, kutoa misaada kwa wanafunzi wasio na uwezo nk nk. Itategemea kipato changu kitachanganya kiasi gani.

Nilishatangaza zamani, Sex shop ya kwanza itakuwa Sikonge......

(Masatu (Muhogo Mchungu) ukipata donge kuandikwa tena Sikonge, hang your self...)
 
Last edited:
Ewaaa,

Hapa GT umenena kabisa. Hata mie nataka nijue msimamo wa CHADEMA juu ya kuhalalisha UMALAYA Tanzania na malaya wawe wanalipa Kodi, maana biashara ya ukahaba si ndiyo biashara nzee kuliko zote duniani?

Pia kama wataruhusu KUFUNGUA Sex Shop Tanzania. Michuzi hatimaye ataweza kuja kununua hapahapa Tanzania hizo Dildo zake. Pia videos, toys za wakubwa, wasichana wa Peep Show watakuwepo. Uzuri ni kuwa NTALIPA kodi na kodi hiyo ntaruhusu iende kulipa MAHAKIMU wa mahakama ya KADHI, kusaidia watoto yatima, kutoa misaada kwa wanafunzi wasio na uwezo nk nk. Itategemea kipato changu kitachanganya kiasi gani.

Nilishatangaza zamani, Sex shop ya kwanza itakuwa Sikonge......

(Masatu ukipata donge kuandikwa tena Sikonge, hang your self...)

Please yourself....
 
Masatu,

Come down. Nilikuona ONLINE nikataka kukusalimu ki-vyangu. Nilifikiri utanipata kumbe hukunielewa. Sikuwa na maana ya kukutukana wala kusema ukajinyonge.... na wewe hutaniwi? Kama imekuuma basi pole, na chukulia kama salamu/utani nilipoona jina lako.

Ilitosha kuona habari yenyewe ilivyokaa kaa ki-aina......
 
Masatu,

Come down. Nilikuona ONLINE nikataka kukusalimu ki-vyangu. Nilifikiri utanipata kumbe hukunielewa. Sikuwa na maana ya kukutukana wala kusema ukajinyonge.... na wewe hutaniwi? Kama imekuuma basi pole, na chukulia kama salamu/utani nilipoona jina lako.

Ilitosha kuona habari yenyewe ilivyokaa kaa ki-aina......

Sikonge wa Sikonge,

Mie nilikuwa najibu salam yako ki-aina nilidhani utanielewa, looks like hakunipata.

Anyway nilikuwa najibu salaam tu...
 
Sikonge wa Sikonge,

Mie nilikuwa najibu salam yako ki-aina nilidhani utanielewa, looks like hakunipata.

Anyway nilikuwa najibu salaam tu...

Masatu aka Muhongo mchungu,

Mie sijambo na asante kwa salamu.
 
Ewaaa,

Hapa GT umenena kabisa. Hata mie nataka nijue msimamo wa CHADEMA juu ya kuhalalisha UMALAYA Tanzania na malaya wawe wanalipa Kodi, maana biashara ya ukahaba si ndiyo biashara nzee kuliko zote duniani?

Pia kama wataruhusu KUFUNGUA Sex Shop Tanzania. Michuzi hatimaye ataweza kuja kununua hapahapa Tanzania hizo Dildo zake. Pia videos, toys za wakubwa, wasichana wa Peep Show watakuwepo. Uzuri ni kuwa NTALIPA kodi na kodi hiyo ntaruhusu iende kulipa MAHAKIMU wa mahakama ya KADHI, kusaidia watoto yatima, kutoa misaada kwa wanafunzi wasio na uwezo nk nk. Itategemea kipato changu kitachanganya kiasi gani.

Nilishatangaza zamani, Sex shop ya kwanza itakuwa Sikonge......

(Masatu (Muhogo Mchungu) ukipata donge kuandikwa tena Sikonge, hang your self...)

la haula wa laa kuwata illa billahi laadhwim

duh!

maalim naona umekata zote! safi sana

Ohh wamzungumzia huyu Muislam anaitwa ISSA MICHUZI ambaye blog yake iko sponsored na POMBE?

STA70161-1.jpg


lakini swali langu liko pale pale tunataka kujua msimamo wa CHADEMA juu ya mahakama ya Kadhi na ile MoU ya kanisa na serikali




zaidi ya hayo wakti huu namsikiliza JUMA BHALO nyimbo yaitwa ASIYEJUA KURAI SIMLEZI SI MLEZI WA MAHABA.......mambo kama haya shurti uwe wanthokea kule waja leo waondoka leo


huku I am looking for a fight jf lakini naona hakuna anyetaka kuunuanua ugomvi

ahhhh
 
Siasa ni kama askari wa miguu mafanikio ni wanapo advance na kuchukua territory kuongea majimbo yap ndio mafanikio. Chadema wao acha waendelee kujaza watu kwenye mikutano yao wengine wanakuja kuburudika na mziki, wengine wanafuata helikopta nk

Sasa kama umeamua kuangalia kwenye angle ya kujaza watu kwenye mikutano then kumuulize mzee wa Kiraracha ana somo zuri kwenye topic hiyo.


Hivi unajua kusoma kweli? Mapenzi yako kwa CCM yamekupofusha. Nani amezungumzia siasa za kujaza watu kama siyo wewe mwenyewe? Mimi nimeongelea matokeo yaliyotangazwa na TUME ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa Upinzani una-gain ground i.e from 3-5% to 45+%.

Kwa upande wa Muziki , CCM ndiyo mahodari wa kujaza watu kupitia fani hiyo ili kionekane kinapendwa. Ndiyo maana wapo radhi kutumia mamilioni ya shilingi kum-maitain Komba.

Umma uliokuwa ukihudhuria mikutano ya Mzee wa Kiraracha ni tofauti na Umma wa sasa kimtazamo na kifikra.
 
Mugo"The Great";515342 said:
Hivi unajua kusoma kweli? Mapenzi yako kwa CCM yamekupofusha. Nani amezungumzia siasa za kujaza watu kama siyo wewe mwenyewe? Mimi nimeongelea matokeo yaliyotangazwa na TUME ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa Upinzani una-gain ground i.e from 3-5% to 45+%.

Kwa upande wa Muziki , CCM ndiyo mahodari wa kujaza watu kupitia fani hiyo ili kionekane kinapendwa. Ndiyo maana wapo radhi kutumia mamilioni ya shilingi kum-maitain Komba.

Umma uliokuwa ukihudhuria mikutano ya Mzee wa Kiraracha ni tofauti na Umma wa sasa kimtazamo na kifikra.

Unachoshindwa kuelewa chaguzi ndogo ni different battle ground. Unahitaji soma la masuala haya ngoja nikusaidie.

Jimbo la Temeke Tambwe akiwa CUF alishindwa uchaguzi mdogo kwa tofauti ya kura 2000 tu na kukawa na hoja kama hizo kutoka CUF kuwa wana gain ground. Unachosahau turn out ni only 44% na utakapokuja uchaguzi mkuu ni 2010 ni different battle ground.

Its political naivity kuita umma ulihuhudhuria mikutano ya Mrema ni tofauti na Umma wa sasa unataka kusema wale wamekufa wamezaliwa wengine? waulize Chadema wenzio watakwambia "upepo" wa kisiasa umebadilika sasa kutoka kupendwa kwa CUF kuja Chadema meaning watu ni wale wale sasa wanahama ku support chama kimoja kuja kingine.

You are up for the biggest dissapointment comes 2010 son!
 
Unachoshindwa kuelewa chaguzi ndogo ni different battle ground. Unahitaji soma la masuala haya ngoja nikusaidie.

Jimbo la Temeke Tambwe akiwa CUF alishindwa uchaguzi mdogo kwa tofauti ya kura 2000 tu na kukawa na hoja kama hizo kutoka CUF kuwa wana gain ground. Unachosahau turn out ni only 44% na utakapokuja uchaguzi mkuu ni 2010 ni different battle ground.

Its political naivity kuita umma ulihuhudhuria mikutano ya Mrema ni tofauti na Umma wa sasa unataka kusema wale wamekufa wamezaliwa wengine? waulize Chadema wenzio watakwambia "upepo" wa kisiasa umebadilika sasa kutoka kupendwa kwa CUF kuja Chadema meaning watu ni wale wale sasa wanahama ku support chama kimoja kuja kingine.

You are up for the biggest dissapointment comes 2010 son!

Kwanini wana-update daftari la wapiga Kura? Maana yake vijana wapya ambao hawakuwepo 1995, 2000 wanaingia sasa hivi. Kwa mfumo wa sasa unataka uniambie kuwa watanzania wameganda "siyo dynamic?" Kwanini niwaulize Chadema wakati mimi siyo wa huko? Mimi mwenyewe nina macho ya kuona na uwezo wa ku-analyse mambo.

Halafu usilinganishe Temeke na Busanda, Kiteto au Biharamulo, kwa sababu Busanda, B'mulo na Kiteto vinawakilisha Rural setting wakati Temeke inawakilisha miji. Na CCM ilikuwa strong zaidi in rural areas na upepo huu mabadiliko unavuma kuelekea kule ambako hawakutegemea yaani vijijini.
 
Back
Top Bottom