Does this article make any sense ama tunataka sasa kushusha hadhi ya forum kwa kuleta inssues ambazo ni below standard of this forum ? Hivi Masatu hoja ama post hii si ungaliweza kuandika kule kule ziliko za CUF ama CCM tukabana matumizi ?Ni mawazo yangu na swali tu si lazima ufuate ninavyosema mimi .
Lunyungu.
Article ya kusema kuwa Chadema wameshinda Biharamulo ina make sense?jee sio Below standard ya JF? WATU walivyokuwa hawana subra na wamejaa ushabiki WA CHADEMA wakajaza THANKS 71 habari isiyo na ukweli,wewe ukawa mtu wa pili kutuma maoni na ukasema hivi
"TAARIFA KAMILI NI KWAMBA CHADEMA WAMERUDIA MAMBO YA TARIME,CHADEMA IMESHINDA BIHARAMULO HABARI ZA UHAKIKA UNAWEZA KUPIGA SIMU +255787 474 707 KUJUA UKWELI".
UKAMALIZA KWA KUSEMA HONGERA CHADEMA.
UKAPEWA THANKS 21,ULIANDIKA HAYA WAKATI UKIJUA UNAONGOPA.
UONGO WAKO NA WENZAKO UKAWAPONZA GAZETI LA TANZANIA DAIMA WAKAKOPI HABARI KAMA ILIVYO KUMBE WAMEDANGANYWA KWA KUTEGEMEA HABARI YENU YA UPOTOSHAJI.
HABARI ZENU ZINA MAKE SENSE? MASATU KAULIZA CHADEMA WAMEKOSA DIRA? HUJAONA ALAMA YA KUULIZA SWALI?