CHADEMA imekosa Dira?

CHADEMA imekosa Dira?

Hata kama ni chemical father, wazalendo hawawezi kufikiria namna hii. Unatetea upumbaf pindi ukiwa beneficiary wa upumbaf na kimantiki ukiwa ni pumbaf vilevile, unapokosa au kukatishwa benefits ndio unaanza kulalama na walalahoi wanakutazama tu. Huu ni ujinga tuamke.

Uzalendo wa kuvumisha matusi mie simo, niache na upumbaf wangu na ww baki na uelewa wako.
 
Mugo"The Great";516471 said:
Sasa nimejua kuwa una-mislead watu either kwa makusudi au kwa kutokujua facts. Hiyo miaka unayozungumzia nilikuwa pale Mlimani na Mbatia hakuwepo tena, Nsanzugwanko wala hakuwahi kukanyaga UDSM kupiga book. Mpaka Ngereja anamliza Degree yake 1994, Mrema alikuwa bado ni kada wa CCM.

Nsanzugwanko:
New England Univeristy – MBA – 1992-994 – Masters Degree
Tabora TTC – 1973-1974 –Certifcate in Teaching
College of Business Education – Diploma
New England University – 1991-1991 – Post-graduate Diploma

Ngereja:
University of Dar es Salaam – LLB- 1991-1994 Graduate
University of Dar es Salaam-LLM – 1996-1999 Masters Degree

Mrema:
Alikihama CCM mwaka 1995 na kujiunga na NCCR Mageuzi na hata wakati wa kampeni za 1995 Viongozi wote uliowataja hapo juu hawakuwepo UDSM kama wanafunzi

Ni vizuri wewe na Wenzio (CCM) mnaji-amini kuwa mnaangalia mambo at the bigger picture. Na hiyo ni Advantage kubwa kwa Wadanganyika na hasa pale mtakapogundua kuwa freefall is just around the corner and there is no way back.

Kwa taarifa yako nimetembelea vijiji vingi sana(ukiondoa vya mikoa ya Kusini) na mambo yanabadilika na siwezi kukuomba/kukulazimisha uniamini kwa sababu hakuna ulazima huo.

hiyo ndiyo ninaita JF smack down. Unatwanga mtu mpaka anachanganyikiwa. Ebwana Mugo --- we kweli the great.

Hapa Masatu atajinyonga tu maana hana cha kusema (zaidi ya kuleta thread za kidini).
 
Kinabungo na masatu ndio wamekosa dira hapa!
 
Back
Top Bottom