Mkuu, mtu ambaye ameshadhihirika kuhujumu chama......Mkuu Tumaini Makene, asante kwa taarifa hii kuhusu Chadema na viongozi wake katika suala zima la kupokea ushauri, ushauri siku zote huwa ni ushauri tuu, mshauriwa ana hiyari aupokee au kuupuuza, ila kwa mujibu wa kitu kinachoitwa "right to information" kwa mtu yoyote au taasisi yoyote ambayo iko paid by taxpayers money, the tax pays have all the right to know each and everything kuhusu chombo hicho ambacho ndio hatma ya kodi zao!.
Asante.
Pasco.
Yaani nawewe unaweza kutoa ushauri kweli mada yenyewe kaleta kibaraka wenu ambaye cdm tulishamtimua miaka mingi iliyopita.
Maneno ya Zitto hayo? Huu Msemo umekuwa pro tangu kabla hata ya Zitto kuzaliwa ......sembuse kujua kiingereza"foward ever, backward never" mkuu mohamed mtoi naona umenukuu maneno ya jemedari, gwiji wa siasa, mzalendo wa ukweli ZITO KABWE .. Hongera sana, bila shaka zito kabwe ni role model wako
Huyu sio BAVICHA. Kumbuka alikuwemo kwenye gari la viongozi wa ACT, ajali ya gari hilo ilipotokea hakuwa na jinsi ya kujificha
Mwanaume mwenye bei ya kununulika kama pipi, unapaswa kujishtukia.Mtoi,
'judex nemo causa sua'
We we ni Mnafiki sana , endelea kujenga ACT Acha Kujifanya uko Chadema wakati uko kwenye ziara za Mwigamba .........Angalieni tena maneno "itafsiriwe kwenye proper context!" sasa mpaka hapa sijaona katika chadema aliyeweka proper context,akiwamo msemaji wetu wa chama.tutegemee tu kuwa wenye wajibu wa kulinda chama chetu wanafanya kazi.
TATIZO KUBWA la WASALITI , MAMLUKI NA WASAKATONGE WOTE NI KUDHANI KWAMBA WANA AKILI KULIKO MTU YEYOTE , WAMESAHAU KWAMBA TUMEWAFUNGA VING'AMUZI , KILA WANACHOKIFANYA GIZANI KIKO HADHARANI , KUNA TAARIFA KWAMBA HATA SISIEMU imeWADHARAU SANA HAWA VIJAKAZI WAO , MAANA YANAONEKANA KAMA MAROBOTI TU !
"foward ever, backward never" mkuu mohamed mtoi naona umenukuu maneno ya jemedari, gwiji wa siasa, mzalendo wa ukweli ZITO KABWE .. Hongera sana, bila shaka zito kabwe ni role model wako
Maneno ya Zitto hayo? Huu Msemo umekuwa pro tangu kabla hata ya Zitto kuzaliwa ......sembuse kujua kiingereza
Wewe ni kama mchawi aliyempa sumu mtu, kisha anajifanya anamletea dawa.Angalieni tena maneno "itafsiriwe kwenye proper context!" sasa mpaka hapa sijaona katika chadema aliyeweka proper context,akiwamo msemaji wetu wa chama.tutegemee tu kuwa wenye wajibu wa kulinda chama chetu wanafanya kazi.
akili yako ya korodani ndo inaamini hiyo ni slogan ya Msaliti,kwamba msaliti ni creator
Watu wanapoamua kuabudu binadamu wenzao ni shida kweli.Hayo ni maneno ya Zito mkuu. Mtoi ameyanukuu tu
wakuu.
Sikutaka kumjibu ludovick kwa kuwa majibu ya afisa habari wetu wa chama kamanda tumaini makene yalijitosheleza sana! Nimeamua kumjibu binafsi kwa kuwa anaweza kuibua hofu isiyokuwa na msingi kutokana na matumizi ya lugha aliyotumia.
Kwenye sehemu ya bandiko lake kwa wale wanaojua kukusanya na kuunganisha nukta ameandika hivi "... Kufuatia hayo yaliyo msibu kwa sababu ya chadema...".
japo kwenye bandiko lake hukueleza yaliyonisibu ni yapi, lakini wakati huohuo amejivika kuwa msemaji wangu ambaye kwa haiba na matendo yake ya usaliti kwenye chama siwezi kumruhusu kufanya hivyo, bali anaweza kuwa msemaji anaye tumiwa na waliowahi kumtumia kuiangamiza chadema kwa ugaidi fake na mwishowe wakashindwa wote.
Mpaka amekuja kuandika ujumbe wake hapo juu, sina lolote lililo nikumba ndani ya chadema na natimiza majukumu yangu na wajibu wangu kwa chama chetu ambacho naamini kwa matendo na mwenendo wake (ludovick joseph) hawezi kuwa na udhu wa kukisemea achilia mbali kujinasibu kuwa ni mwanachama.
Kama kuna lolote baya linaloweza kunikumbuka na kunidhuru kama ilivyotokea kwa kibanda ambaye kwenye moja ya mchango wake kule mabadiliko alisema "...miongoni mwa watu walio nivamia ana fanana na joseph ludovick...",wakati huo ludovick akiwa wa kwanza kuripoti kwenye mitandao kuwa kibanda amevamiwa, litafanya nikumbuke hiyo kauli yake ya "...yaliyo msibu kwa sababu ya chadema.."
ninachoweza kumuambia, niko tayari kwa lolote maana najua hawashindwi kufanya lolote kama jinsi ambayo wamekuwa mafundi wa kupanga yote waliyopanga na wakashindwa kwenye yote.
"foward ever, backward never"
Hayo ni maneno ya Zito mkuu. Mtoi ameyanukuu tu
Hayo maneno manake nini Ludo?