CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

Status
Not open for further replies.
Ninachokiona hapa hao waliokutuma wewe "funguo malaya" wanataka mumfitinishe na chama kila mwanachama wa CHADEMA aliye maarufu na mwenye kubeba haya majina ya Mohamed,Said,n.k ili baadae mhalalishe kete yenu ya udini kusema waislam hawatakiwi CHADEMA.Nenda kawaambie waliokutuma Lumumba kuwa umejaribu,umeshindwa,kuna milango(vyama) haifunguki kwa "funguo malaya".
Naam hiki hasa ndo kinatafutwa, Mtoi anawaumiza sana akina Ritz, Chamviga, Chama, Faiza Fox na watu wenye mwelekeo huo, wamemuwinda muda mrefu wamefeli, walifanikiwa kumpata kwa urahisi The Big Show wa mtwara na sasa wamebadili mbinu ili waendelee kumsaka Mohamed Mtoi..
-"wachawi wapo kazini msilale:"
 
Chamviga, rekodi yako hapa JF inaonesha una chuki kwa Wakristo. Hiyo chuki ndio chimbuko la hoja zako za kisiasa.

Rejea rekodi yako hii hapa






Kwa hiyo hatushangai. Ajenda yako ni ile ile.

Kwahiyo umeumia sana au? Mimi nimesema kweli otherwise niprove wrong.
 
MODS;

Mkuu Haki sawa ameshauri hili tamko lipandishwe kwenye hoja ya msingi kama majibu sahihi.

Mkuu mohamed Mtoi nadhani kuna haja ya kuangalia Taarifa hii kwa Mtazamo wa Kisheria zaidi na ikiwezekana hatua kama ya Yericko Nyerere muda fulani kuhusu kutishiwa ni vizuri ikafikiriwa,ili kupata Ufananuzi wa hicho kinachodaiwa na mleta Bandiko.

CC. Paw Invisible

Kweli ni mzuri taarifa kama hii ikawa kwenye kumbukumbu za kisheria hata kama jamaa zake Ludo hawataifanyia kazi lakini jamii itakuwa na kitu rejea hapo baadae
 
Hapa kuna kitu kibaya kinaweza kuwa kinapangwa....! kwa wahanga. Soma maelezo yote ya post ya kwanza ya uzi huu. Tujitahidi kuzuia 'unfriendly surprises'
 
Unawezaje kufahamu kwamba huyu ameandika ni CHADEMA, NCCR, UAMSHO au hana chama? Na kama una suala la msingi sana kama ulivyotaka watu wakuamini, kwa nini hukuwasiliana moja kwa moja na viongozi wa Chama? Wewe si ulikuwa unakaa kwa Kamanda Rwakatare? Ulipompiga mnada na number yake ulifuta?

Unafiki na uchochezi ni kazi za shetani na hazipiti bila malipo. Jihadhari kijana. Mimi hat meno mdomoni yalishaisha kwa hiyo siuogopi kwa sababu hamna cha kungoa.


Angalieni tena maneno "itafsiriwe kwenye proper context!" sasa mpaka hapa sijaona katika chadema aliyeweka proper context,akiwamo msemaji wetu wa chama.tutegemee tu kuwa wenye wajibu wa kulinda chama chetu wanafanya kazi.
 
Mkuu Tumaini Makene, asante kwa taarifa hii kuhusu Chadema na viongozi wake katika suala zima la kupokea ushauri, ushauri siku zote huwa ni ushauri tuu, mshauriwa ana hiyari aupokee au kuupuuza, ila kwa mujibu wa kitu kinachoitwa "right to information" kwa mtu yoyote au taasisi yoyote ambayo iko paid by taxpayers money, the tax pays have all the right to know each and everything kuhusu chombo hicho ambacho ndio hatma ya kodi zao!.

Chadema is no exception, its not a "private party" to enjoy "the right to privacy", itahojiwa, itaulizwa, itachunguzwa, itashauriwa, na pale inapoboronga, itabamizwa kwa sababu ni kodi zetu ndizo zinazoiendesha Chadema!.

Kwa vile sote tuko humu jf, sisi wengine hatuna vyama, mazuri tutapongeza, madudu tutakemea, na kwenye ushauri tutatao, its up to Chadema to take it or leave it, ila kuna sisi wengine hatupendagi makelele ya watu kuja kutulilia humu kila baada ya miaka mitano!, ndio maana sisi wengine tunashauri, na tukiisha puuzwa, wakati wa kuleta vilio humu vya November, 2015, sio tuu tutawakumbusha tuliwashauri nini, bali badala ya kuwapa pole kwa vilio, tutawazomea tukiamini hayo ndio mliyoyataka!.

Asante.

Pasco.

this is too low for you
najua unao uwezo wa kufikiri vizuri zaidi ya hapa kama ukiamua kuacha unafiki na upunguani

naendelea kuamini akaunti yako imebakwa na sio wewe uliyeandika huu upuuzi

yaani wewe unataka cdm ichukue uchizi wa ludo kumfukuza mtoi....???

ka mtu chenyewe kanachoshauri ndo yuleyule aliyetumika kumtengenezea lwakatare kesi tena kwa shiling 50000 alafu leo cdm imsikilize laxima utakuwa na uchizi kidogo ndani yako kumuamini huyu mdudu(ludo)
 
..mmh,chadema kuweni makini na bandiko hili, inawezekana huyu ludo tayari kashaandaa mpango wa kuwadhuru mbowe au dr slaa kwa kutumia kivuli cha mtoi. Lisemwalo lipo, kama halipo laja..
 
Mmh! Ndumira kuwili a k a Msaliti at work...hivi wewe ni Chadema au ni ACT? Alafu hicho ulichoandika mbona hakieleweki?
Uliza shule yake kwanza. Maana angekuwa na shule angefanya mambo yake ya msingi bila kutumiwa na akina Mwigulu pale Lumumba
 
Katika kipindi kama hiki, mimi ningekuwa cDM, ningejali zaidi taarifa, halafu inatoka wapi na imenifikiaje yafuate. Sijafahamu hapa LUDO anachezea team gani. Kutoa siri za mwandani wake ccm hadharani ni kuhatarisha ajira yake pamoja na mahusiano na mwajiri mambo yanyoweza kumgharimu kazi na maisha.

Lakini, pia yawezekana mwajiri amebreach, Ludo akaamua kumwaga mboga angalau kidogo.

Yawezekana ikawa ni mkakati wa ajira yake, ku create tension na confusion CDM, ili Mohamed, Uongozi wa CDM ama wote wasiaminiane na wasiwe karibu. Na hili naliona katika hoja mbili "..... Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Blue ya kwanza ni Ishara kwamba Mohamed, amepata matatizo kwa sababu ya CHADEMA, na hivyo anaita wito wa kuwalinda viongozi wa CDM na chama ili yasiwakute yaliyompata Mohamed.

Blue ya pili, inaonyesha kwamba ama Dr. Slaa na Mbowe, wakikutana na Mohamed, atadhurika.

Utata wa kuielewa nia na uhalisia wa hoja ya Ludo ni pale anapoomba usalama uimarishwe kwa viongozi wa CDM ambao miongoni mwao ni Mbowe na Dr. wa ukweli, na hapo hapo anaonyesha hao viongozi tena ndio washika hatari. Maana yake nini?

Kwa haraka nilidhani ni tatizo la uandishi na uwezo wa kueleza, pengine wangeongea naye angetoa ufafanuzi. Nidyo maana nikasema wamskilize, wachunguze anachokisema kabla hawajakibeba ama kukibeza.






Utakuwa upuuzi wa aina yake kwenda kumsikiliza mhalifu eti akujuze wapi mhalifu mwenzie tafanya uhalifu kwenye Mali/Eneo lako.Ila cha msingi hapa ,ni wazi kuwa njama dhahiri iko njiani kufanywa/kutokea ndani ya CDM na hili si geni maana Madiwani toka Shinyanga wamelisema ,sasa inawezekana kukwama mpango wa kwanza Plani ya Pili iko njiani -Hivyo taarifa hii yaweza kuwa na harufu hivyo ni vizuri Idara husika ikafanye tathimini.
 
Kwa wema gani ulio nao kwa CHADEMA we mlaaniwa usiye na mganga wa kukuagua!!!!!!!
Umeanza kupanga tena kumuumiza Mtoi kama ulivyofanya kwa Kibanda!!!
 
Lazima taarifa hizi zichukuliwe kwa tahadhari huenda kuna mpango umepangwa na maadui wa Chadema kumdhuru Mohamed Mtoi au Slaa na Mbowe katika uwepo wa Mohamed Mtoi ambayo mbinu hii itawafanya wananchi waamini propaganda hizi zinazoenezwa na Ludovick.
 
this is too low for you
najua unao uwezo wa kufikiri vizuri zaidi ya hapa kama ukiamua kuacha unafiki na upunguani

naendelea kuamini akaunti yako imebakwa na sio wewe uliyeandika huu upuuzi

yaani wewe unataka cdm ichukue uchizi wa ludo kumfukuza mtoi....???

ka mtu chenyewe kanachoshauri ndo yuleyule aliyetumika kumtengenezea lwakatare kesi tena kwa shiling 50000 alafu leo cdm imsikilize laxima utakuwa na uchizi kidogo ndani yako kumuamini huyu mdudu(ludo)
Mkuu Kilaza, asante!, ni mimi na account yangu haijabakwa!, ila nakiri sometimes if not most of the times, Pasco wa jf, huwa ni mpuuzi fulani!, ila 2015 November tutakutana humu kukumbushana baadhi ya maupuuzi, tulioshauri, yakapuuziwa!.

Naombea sana hili lako jina, liwe ni jina tuu, ila wewe mwenyewe usiwe kama jina lako, kwa sababu tunatofautiana sana uelewa wa issues humu ndani, werevu sikuzote huwa ni wasikilizaji wazuri wa ushauri!, hata akiambiwa na kichaa kuwa nyuma kuna nyoka, mwerevu atageuka!, mjinga ndio atapuuza kwa sababu aliyemwambia ni mwenda wazimu!.

Haijalishi huyo mwendawazimu aliwahi kuwafanyia nini nyuma, kinachotakiwa kufanywa na ni kusikiliza na sio lazima ku act!.
Mimi mwenyewe hapa nilipo sina chama, lakini nina marafiki zangu kibao CCM, Chadema, CUF na NCCR!, najua 100% sure ndani ya UKAWA kuna wana Ukawa wa ukweli na kuna "wasanii" tena ni wakubwa tuu, ila wako kwenye "payroll" ya wale "jamaa zetu", mimi nawajua fika!, kwa vile siko Chadema, nikiwashauri Chadema kuwa makini, kuwa ndani ya kundi lao la Mamba "Ukawa" na kenge wapo!, wanaweza wakapuuza!, jee unaijua kazi ya kenge kwenye kundi mamba?!. Kwa anayeijua kazi ya kenge kwenye kundi la mamba, hawezi kuambia kuna kenge na safari ikaendelea!, akapuuzia, eti tuu kwa sababu mtoa taarifa za kenge ndani ya kundi la mamba naye ni kenge!.

Asante.

Pasco.
 
Mkuu Kilaza, asante!, ni mimi na account yangu haijabakwa!, ila nakiri sometimes if not most of the times, Pasco wa jf, huwa ni mpuuzi fulani!, ila 2015 November tutakutana humu kukumbushana baadhi ya maupuuzi, tulioshauri, yakapuuziwa!.

Naombea sana hili lako jina, liwe ni jina tuu, ila wewe mwenyewe usiwe kama jina lako, kwa sababu tunatofautiana sana uelewa wa issues humu ndani, werevu sikuzote huwa ni wasikilizaji wazuri wa ushauri!, hata akiambiwa na kichaa kuwa nyuma kuna nyoka, mwerevu atageuka!, mjinga ndio atapuuza kwa sababu aliyemwambia ni mwenda wazimu!.

Haijalishi huyo mwendawazimu aliwahi kuwafanyia nini nyuma, kinachotakiwa kufanywa na ni kusikiliza na sio lazima ku act!.
Mimi mwenyewe hapa nilipo sina chama, lakini nina marafiki zangu kibao CCM, Chadema, CUF na NCCR!, najua 100% sure ndani ya UKAWA kuna wana Ukawa wa ukweli na kuna "wasanii" tena ni wakubwa tuu, ila wako kwenye "payroll" ya wale "jamaa zetu", mimi nawajua fika!, kwa vile siko Chadema, nikiwashauri Chadema kuwa makini, kuwa ndani ya kundi lao la Mamba "Ukawa" na kenge wapo!, wanaweza wakapuuza!, jee unaijua kazi ya kenge kwenye kundi mamba?!. Kwa anayeijua kazi ya kenge kwenye kundi la mamba, hawezi kuambia kuna kenge na safari ikaendelea!, akapuuzia, eti tuu kwa sababu mtoa taarifa za kenge ndani ya kundi la mamba naye ni kenge!.

Asante.

Pasco.

leo mbona umelewa mapema hivyo mkuu

ludo awe mshauri wa cdm

yaani unamaanisha shetani amshauri mungu?????
u cant be serious

alafu mkuu mbona unataka kujiona "mjanja"sana wewe eti baada ya nov 2015 tutakumbuka maneno yako kila mtu anajua cdm(hata cdm wenyewe wanajua hilo) urais haishindi ila mpango uliopo kwanza ni kuongeza wabunge wengi ili kuwa na nguvu bungeni .........

naendelea kuamini sio tu acc yako imebakwa bali na anayeitumia kalewa
 
leo mbona umelewa mapema hivyo mkuu

yaani unamaanisha shetani amshauri Mungu?????
u cant be serious

naendelea kuamini sio tu acc yako imebakwa bali na anayeitumia kalewa
Mkuu Kilaza, asante tena, kama in reality shetani amewahi kumshauri Mungu, what is Chadema kukataa ushauri wa shetani as if ni chama malaika!.

Inapotokea chama au kikundi cha watu, wakapanga njama za ugaidi na mipango ya kishetani, yoyote atakayeitoa siri hiyo nje, yes ni msaliti, ila huyo msaliti, kama ameitoa hiyo siri nje in good faith ili vyombo husika vikizuie chama a kikundi fulani kutekeleza zile nia zake ovu za kigaidi na vitendo vya kishetani!, then msaliti huyu ndio mwenye roho wa Mungu miongoni mwa wenye roho za ushetani!.

Huku akiitwa msaliti, kwa walengwa wa mpango ule, huyo kwao ni mkombozi!.

Ila pia shetani mara nyingi sana anapenda kujisguise kama Mungu au malaika, ili kuwachota kwa urahisi, hivyo anayewajua zaidi mashetani ni shetani mwenyewe!, mnaweza kuwa na malaika ndani yenu mkijijua kuwa ni malaika!, kumbe ni shetani!, sasa shetani anapowatahadharisha na malaika wenu kuwa ni shetani, issue sio kumpuuza, bali kumchunguza huyo malaika wenu kama kweli ni malaika au ni shetani!.

Asante,

Pasco.
 
Katika kipindi kama hiki, mimi ningekuwa cDM, ningejali zaidi taarifa, halafu inatoka wapi na imenifikiaje yafuate. Sijafahamu hapa LUDO anachezea team gani. Kutoa siri za mwandani wake ccm hadharani ni kuhatarisha ajira yake pamoja na mahusiano na mwajiri mambo yanyoweza kumgharimu kazi na maisha.

Lakini, pia yawezekana mwajiri amebreach, Ludo akaamua kumwaga mboga angalau kidogo.

Yawezekana ikawa ni mkakati wa ajira yake, ku create tension na confusion CDM, ili Mohamed, Uongozi wa CDM ama wote wasiaminiane na wasiwe karibu. Na hili naliona katika hoja mbili "..... Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Blue ya kwanza ni Ishara kwamba Mohamed, amepata matatizo kwa sababu ya CHADEMA, na hivyo anaita wito wa kuwalinda viongozi wa CDM na chama ili yasiwakute yaliyompata Mohamed.

Blue ya pili, inaonyesha kwamba ama Dr. Slaa na Mbowe, wakikutana na Mohamed, atadhurika.

Utata wa kuielewa nia na uhalisia wa hoja ya Ludo ni pale anapoomba usalama uimarishwe kwa viongozi wa CDM ambao miongoni mwao ni Mbowe na Dr. wa ukweli, na hapo hapo anaonyesha hao viongozi tena ndio washika hatari. Maana yake nini?

Kwa haraka nilidhani ni tatizo la uandishi na uwezo wa kueleza, pengine wangeongea naye angetoa ufafanuzi. Nidyo maana nikasema wamskilize, wachunguze anachokisema kabla hawajakibeba ama kukibeza.
Mkuu Tabby, asante kwa kutuwezesha kusoma "in between the lines", wengi wa wachangiaji wa uzi huh, wanaishia kuusoma juu juu tuu, na kujibu pumba with emotions!, ni wachache wenye uwezo wa kuzama deep ili kuuibua "the motive behind!" and the "underlying facts!"

Asante.

Pasco
 
leo mbona umelewa mapema hivyo mkuu

ludo awe mshauri wa cdm

yaani unamaanisha shetani amshauri mungu?????
u cant be serious

alafu mkuu mbona unataka kujiona "mjanja"sana wewe eti baada ya nov 2015 tutakumbuka maneno yako kila mtu anajua cdm(hata cdm wenyewe wanajua hilo) urais haishindi ila mpango uliopo kwanza ni kuongeza wabunge wengi ili kuwa na nguvu bungeni .........

naendelea kuamini sio tu acc yako imebakwa bali na anayeitumia kalewa

Pasco

Very controvertial guy! CDM si ya kutishiwa nyau. Ukitaka kulijua hilo msikilize Mh Mbowe 'mkikuta maiti yangu kanyaga juu yake endelea na mapambano'. This is beyond revolutionary spirit! Kukataa laki 3 kwa siku bmk si jambo jepesi, it's red signal of what is next....

Tumeshuhudia makelele mengi hapa na kubaini woga walionao magamba (akiwemo na wewe) dhidi ya Dr. Slaa na Mbowe ktk uchaguzi ujao.

Kwa taarifa yako cdm ni zaidi ya hao (Mbowe na na Dr. Slaa). Kuna potential presidential candidates zaidi ya hao. Hata mkiwachuria kifo...na mmeisha jaribu...kumbuka attempt za Arusha...hamtafanikiwa.

Tunachukulia kwa uzito zaidi ya 100% maneno ya Ludo kuwa ni mkakati kamili wa 1) uchonganishi 2) vitisho 3) mpango kamili wa mauaji....

Tutashauri cdm ichukue hatua zote za kujihami na kuweka haya yote kwa kumbukumbu za baadae.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom