CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

Status
Not open for further replies.

Joseph Ludovick

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
382
Reaction score
506
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.

Nimeshauri


Wakuu.

Sikutaka kumjibu Ludovick kwa kuwa majibu ya Afisa habari wetu wa chama kamanda Tumaini Makene yalijitosheleza sana! Nimeamua kumjibu binafsi kwa kuwa anaweza kuibua hofu isiyokuwa na msingi kutokana na matumizi ya lugha aliyotumia.

Kwenye sehemu ya bandiko lake kwa wale wanaojua kukusanya na kuunganisha nukta ameandika hivi "... Kufuatia hayo yaliyo msibu kwa sababu ya CHADEMA...".

Japo kwenye bandiko lake hukueleza yaliyonisibu ni yapi, lakini wakati huohuo amejivika kuwa msemaji wangu ambaye kwa haiba na matendo yake ya usaliti kwenye chama siwezi kumruhusu kufanya hivyo, bali anaweza kuwa msemaji anaye tumiwa na waliowahi kumtumia kuiangamiza CHADEMA kwa ugaidi fake na mwishowe wakashindwa wote.

Mpaka amekuja kuandika ujumbe wake hapo juu, Sina lolote lililo nikumba ndani ya CHADEMA na natimiza majukumu yangu na wajibu wangu kwa chama chetu ambacho naamini kwa matendo na mwenendo wake (Ludovick Joseph) hawezi kuwa na udhu wa kukisemea achilia mbali kujinasibu kuwa ni mwanachama.

Kama kuna lolote baya linaloweza kunikumbuka na kunidhuru kama ilivyotokea kwa Kibanda ambaye kwenye moja ya mchango wake kule mabadiliko alisema "...miongoni mwa watu walio nivamia ana fanana na Joseph Ludovick...",wakati huo Ludovick akiwa wa kwanza kuripoti kwenye mitandao kuwa Kibanda amevamiwa, litafanya nikumbuke hiyo kauli yake ya "...Yaliyo msibu kwa sababu ya CHADEMA.."

Ninachoweza kumuambia, NIKO TAYARI KWA LOLOTE maana najua hawashindwi kufanya lolote kama jinsi ambayo wamekuwa mafundi wa kupanga yote waliyopanga na wakashindwa kwenye yote.

"Foward ever, backward never"
 
Mohamed Mtoi ni mwanachama na mtendaji wa chama aliyekabidhiwa majukumu na anayatimiza kadri inavyotakiwa.

Yuko anatimiza majukumu yake kwa chama kama kawaida. Anatimiza wajibu wake kama mwanachama. Anawajibika kama mtendaji kwa kadri ya nafasi yake.

CHADEMA au viongozi wake, hawapangiwi wala kupokea ushauri wa namna ya kusimamia, kuendesha chama au utendaji kazi wa kila siku kutoka kwa CCM na washirika wao (its cronies as I normally write).

Mleta mada anayo fursa nzuri ya kupeleka ushauri wake CCM ambako bila shaka wanamwamini zaidi kama sehemu ya vijana wao.

Mleta mada huyu angeshauriwa atumie fursa aliyonayo ya mawasiliano ya siri na wazi (kama alivyofanya hapa), aungane na wenzake kwenye lile tawi jipya la CCM, kuwapatia ushauri kama huu watu wa Lumumba au pale White House Dodoma.

Awashauri badala ya kufungia magazeti wafanyie kazi facts zinazosemwa na Magazeti mathalani tukio la kutekwa, kuteswa na kutaka kuuwawa kwa Dkt. Ulimboka.

Awashauri kuwa waache kufanya au kupalilia mauaji kisha wanawatuma mawakala wao kusema Ni Chadema.

Alipaswa awe amewashauri 'wenzake' wafanye uchunguzi wa kina na kuchukua hatua kwenye
 
unajua some time we jamaa sikuelewi uko upande upi? upande wa CDM or against CDM
 
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa.lakini siyo wengi wanajua historia yake. kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya chadema, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe mtoi hakutani na dokta slaa na mbowe akiwa peke yake.

kwa sababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context. ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.

Nimeshauri

Mmh! Ndumira kuwili a k a Msaliti at work...hivi wewe ni Chadema au ni ACT? Alafu hicho ulichoandika mbona hakieleweki?
 
Isee sijaelewa makamanda mna maana gani.
Ngoja aje mwingine huenda ntaelewa vizuri.
 
mwacheni kijana amechanganyikiwa, atakapo kuwa mtu mzima na kuanza kijitambua ataacha ujinga huo anaoufanya, hawezi akawa na akili timamu huyo. haeleweki yuko CDM au CCM, au ndo njaa inamtesa
 
Mohamed Mtoi ni mwanachama na mtendaji wa chama aliyekabidhiwa majukumu na anayatimiza kadri inavyotakiwa.

Yuko anatimiza majukumu yake kwa chama kama kawaida. Anatimiza wajibu wake kama mwanachama. Anawajibika kama mtendaji kwa kadri ya nafasi yake.

CHADEMA au viongozi wake, hawapangiwi wala kupokea ushauri wa namna ya kusimamia, kuendesha chama au utendaji kazi wa kila siku kutoka kwa CCM na washirika wao (its cronies as I normally write).

Mleta mada anayo fursa nzuri ya kupeleka ushauri wake CCM ambako bila shaka wanamwamini zaidi kama sehemu ya vijana wao.

Ahsante sana TumainiMakene...kwa kombora lako hili moja ni jibu tosha kwa mleta mada hii. Am sure hawezi kurudi tena hapa.
 
Last edited by a moderator:
post za kimkakati toka ACT

hii ni ya pili baada ya comment ya jana kwenye uzi wa kum attack Saanane
 
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.

Nimeshauri

inapendeza kuona mnawajua vizuri viongozi wenu walivyo madikteta
 
post za kimkakati toka ACT

hii ni ya pili baada ya comment ya jana kwenye uzi wa kum attack Saanane
ACT mtawachukua sana lakini kiuhalisia wanawajua vizuri sana viongozi wenu, ni vigumu sana kutoamini yanayosemwa na ACT kuhusu viongozi wa CHADEMA na hasa MBOWE na SLAA
 
Mohamedi Mtoi. Angalia alama za nyakati ndugu yangu. Madam umezungukwa na kina Masawe, Mangi, Mungi na kina John ima ukubaliane na matakwa yao au uitwe Msaliti kama Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Isee sijaelewa makamanda mna maana gani.
Ngoja aje mwingine huenda ntaelewa vizuri.

Mkuu mada haijaletwa na Kamanda, imeletwa na Msaliti mtumishi wa ACT, huu ni ule mwendelezo wa wana genge kujitoa ufahamu
 
CCM wewe, Chadema wewe, ACT wewe...hivi hamuoni kama mnajidharirisha? Chagueni chama kimoja na mtulienacho.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom