CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

Status
Not open for further replies.
Ludo ni msaliti na mtekaji kutoka uvccm. Sasa anatumia kivuli cha hoax political party act-tanzania.

Hana lolote zaidi ya uganga njaa.
 
Mkuu naskia sharti kujiunga ACT ni lazima uwe na laini yenye Mpesa, hahahaha

Kweli mkuu maana mfadhili wao anataka kuhakikisha wanachama wote wawe wanatumia mpesa,nilipochoka prof mzima kurushiwa laki 2 ili asaliti.Yule prof aliwadharaulisha wana taaluma wenzie.
 
Kumekucha! Mohamedi Mtoi chadema hawakutaki na hawawezi kukuacha kwenye chama chao!
Huyu inawezekana ni mjumbe katumwa kufikisha ujumbe kuwa ujitayarishe kufunga vilivyo vyako!

Stuka huu ujumbe umeletewa.. soon utaanza kuitwa msaliti na watatunga waraka na kusema ulitaka kuung`oa uongozi wa chadema hapo Tanga.
 
Last edited by a moderator:
Ludovick anaweza kuwa na ubaya mkubwa kuliko ubora, na akawa mdanganyifu kambambe kulilko ukweli. Lakini hata jambazi siku inafika anakumbuka kulia 'mama yangu', mama ambaye kamuasi na kuyakataa mafundisho yake.

Umemshauri vizuri, kwamba aanze kutoa ushauri bora kwa ccm kama wanamsikiliza na kumwamini.

Upande mwingine, taarifa anayotoa si ya kuikubali moja kwa moja na wala si ya kuidharau moja kwa moja. Si vizuri kuamini kila kitu lakini pia ni vyema kutokudharau taarifa. Ludovick, hata kama ana mkataba wa uharamia na kundi lolote kwa ajili ya tumbo, huyu ni binadamu mwenye dhamira na nafsi ambavyo mara zote huwa vina nguvu ishindayo fedha, njaa na hata uchungu wa kifo.

Inteligencia na uongozi msikilizeni. Wasilianeni naye awaambie anachotaka mkifahmu, nanyi mkichunguze mpate ukweli. Si lazima kila kitu kiandikwe hapa mtandaoni. Hakuna hasara ya kujiridhisha kwamba anawadanganya kulioko majuto ya kudharau taarifa.



Mohamed Mtoi ni mwanachama na mtendaji wa chama aliyekabidhiwa majukumu na anayatimiza kadri inavyotakiwa.

Yuko anatimiza majukumu yake kwa chama kama kawaida. Anatimiza wajibu wake kama mwanachama. Anawajibika kama mtendaji kwa kadri ya nafasi yake.

CHADEMA au viongozi wake, hawapangiwi wala kupokea ushauri wa namna ya kusimamia, kuendesha chama au utendaji kazi wa kila siku kutoka kwa CCM na washirika wao (its cronies as I normally write).

Mleta mada anayo fursa nzuri ya kupeleka ushauri wake CCM ambako bila shaka wanamwamini zaidi kama sehemu ya vijana wao.

Mleta mada huyu angeshauriwa atumie fursa aliyonayo ya mawasiliano ya siri na wazi (kama alivyofanya hapa), aungane na wenzake kwenye lile tawi jipya la CCM, kuwapatia ushauri kama huu watu wa Lumumba au pale White House Dodoma.

Awashauri badala ya kufungia magazeti wafanyie kazi facts zinazosemwa na Magazeti mathalani tukio la kutekwa, kuteswa na kutaka kuuwawa kwa Dkt. Ulimboka.

Awashauri kuwa waache kufanya au kupalilia mauaji kisha wanawatuma mawakala wao kusema Ni Chadema.

Alipaswa awe amewashauri 'wenzake' wafanye uchunguzi wa kina na kuchukua hatua kwenye
 
Mtoi hajulikani anajishughulisha na nini chadema. Mtoi ni jobless

We hujui kama siku hizi anafukuzia tenda na Deus??? Wana kitengo chao maalum cha kushughulikia nafsi za watu.
R.I.P Chacha Wangwe.
 
mohamed Mtoi tulimpa wosia mimi na FaizaFoxy Chadema sipo hawakutaki angalia sasa umeanza kuwekewa zengwe.

CC: chama

Mkuu Ritz Lazima Mtoi ataelewa tulichokuwa tunamwambia maana lazima ataambiwa aliandaa waraka!

Siku si nyingi Lissu atatoa tamko la kumfukuza!
Ludo Vick ametumwa kumfikishia ujumbe ajiandae.
 
Last edited by a moderator:
We hujui kama siku hizi anafukuzia tenda na Deus??? Wana kitengo chao maalum cha kushughulikia nafsi za watu.
R.I.P Chacha Wangwe.

kumbe mtoi yuko kwenye kitengo cha ugaidi
 
Kumekucha tena Mungu anawadhalilisha wale wote walikuwa wanamchafua Zitto mitandaoni wale wote waliokuwa wanatumiwa mishumaa kwenye giza sasa umeme umeishawaka hawana tena kazi chezea Mbowe na Dr.Slaa.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.

Nimeshauri

naona umekubali kutumiwa na unatumika aswaa
 
Sinema za BAVICHA huyu haziishi.
Ina maana Mtoi anatumiwa na wasaliti ili amdhuru Mzee Slaa na Mbowe?
Huyu sio BAVICHA. Kumbuka alikuwemo kwenye gari la viongozi wa ACT, ajali ya gari hilo ilipotokea hakuwa na jinsi ya kujificha
 
mwacheni kijana amechanganyikiwa, atakapo kuwa mtu mzima na kuanza kijitambua ataacha ujinga huo anaoufanya, hawezi akawa na akili timamu huyo. haeleweki yuko CDM au CCM, au ndo njaa inamtesa

Hata malaika mlinzi aliyekabidhiwa kumlinda nae haelewi hoja ya huyu bwana sembuse sisi wasomaji? Mod hii haiwezi kuwa hoja ya great thinker na unalijua jukwaa lao. Ihamishe mapema.
 
Mohamedi Mtoi. Angalia alama za nyakati ndugu yangu. Madam umezungukwa na kina Masawe, Mangi, Mungi na kina John ima ukubaliane na matakwa yao au uitwe Msaliti kama Zitto.

Zzk alikua cdm kwa miaka2 ya mwanzo ya ubunge wake then baada ya hapo akahamia ccm huku akijificha kwenye kwapa la cdm huyo kwetu ni msaliti na hatufai kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz Lazima Mtoi ataelewa tulichokuwa tunamwambia maana lazima ataambiwa aliandaa waraka!

Siku si nyingi Lissu atatoa tamko la kumfukuza!
Ludo Vick ametumwa kumfikishia ujumbe ajiandae.
Mkuu, hauwezi kufanya siasa za maji taka ukabaki salama.
 
Last edited by a moderator:

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Taarifa hii ifikishe kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe...

Nyinyi mnaojiita wanasiasa wa Tanzania ni bure kabisa, yaani ni uchwara...

Mnaandika andika tu mambo ya ajabu humu kuwachanganya watu...

Hivi ngoja nikuulize, ina maana hujui taratibu stahiki za kulibainisha jambo kama hili?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom