omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 151
Last edited by a moderator:
Yale yale yapi???? we are smarter than you think.This is interesting..... Yaleyale ya Mnyika na Deus Mallya!
This is Interesting .....as well......This is interesting.... yaleyale ya Mnyika na Deus Mallya!
Na hilo litampata M. Mtoi pia.
Mkuu wanaonekana wana njaa sana hao watuView attachment 180092Huyu Ludovick ndio walikuwa wana panga hapa na Mwigamba juu ya ku mshauri Mtoi wa Chadema ?
Mpuuzi weweMohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
Idara yenu wewe na nani?
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Nimeshauri