CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

Status
Not open for further replies.
Huyu amejua ili kuvuta hisia za wengi humu ni lazima afungue uzi kwa jina lake halisi ........ Kuna watu unaweza kuwatilia shaka sisi wengine hata kwa kukuangalia tu tunaweza kuhisi ni mtu wa namna gani lakini si @Mohamedi Mtoi .....hapa kuna issue imepangwa na uchokozi huu ni base ya kuelekea kwenye lengo ..........tutafahamu .......😛opcorn:
 
Joseph Ludovick

Lugha na taarifa za namna hii mara nyingi ni za uzushi, fitina, uchonganishi,chuki n.k hawezi kusema moja kwa moja, zinakuwa zinaheng mfano; fulani mbaya sana ohoooo mi nakuambia, sasa muulize kafanya nini? Hutakaa upate jibu la huo ubaya. Hongera verified user kwa kazi yako
 
Last edited by a moderator:
image.jpg Huyu Ludovick ndio walikuwa wana panga hapa na Mwigamba juu ya ku mshauri Mtoi wa Chadema ?
 
Yote nikutafuta attention ili tu kuonekane chadema hakujatulia.ludo siku sinyingi kazi yako CCM na ACT itafka mwisho.najua mtakuja na taarifa nyingine kwamba Tumain makenene kafanya blahablah.nachukia sana umaskin ndio uliokufikisha hapa ludo
 
Machale yananicheza, kuna jambo baya hawa watekaji wanataka kumfanyia Dr Slaa halafu story ipachikwe kwa Mtoi. Hivi kuna mtu anaijua sura ya Ludovick aipachike hapa?.
 
Kwa maoni yangu,
Naomba vyombo vyote vinavyohusika na usalama wa Nchi hii, komesheni hii tabia iliyojitokeza kwa wana siasa kujifanya wao ni watekaji, wanasheria, wauuaji, watesaji.....na kila aina ya uchafu unaoonezwa na hao wanasiasa uchwara.

Hivi vitendo vilianza kidogo kidogo hadi sasa madhara yake yanaonekana. Usipoziba ufa utajenga ukuta. Kila mtu afanye kazi kutokana na upeo wake. Kwa leo ni hayo tu.
 
..haa haa na kwa kina mwigulu kamati ya ulinzi na usalama ya ccm ihakikishe aimpi nafasi mwigulu kukutana na jk au kinana peke yao!
 
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.

Nimeshauri
Mpuuzi wewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom