Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
Hapana Mkuu
Maudhui ya Uzi ni kuwa ulikuwa unawa alert CHADEMA kuwa Mtoi was a bad Man
Kifo cha Mtoi na Maudhui ya huu uzi haviendani kabisa.
Ni upuuzi kutaka kumpa Crediti Msaliti Ludo
Nisome hapo juu aisee... I mean huenda kifo cha Mtoi huyu Ludovick ahojiwe, sio Bure hapo... Nadhani umenisoma