CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

Status
Not open for further replies.
MSALITI NA MAMLUKI kama wewe MSAKATONGE LUDOVIC NI NANI MWENYE AKILI yake timamu atakuamini ? Pamoja na wema wote aliokufanyia lwakatare SHUKRANI ZAKO NDIO YALE ULIYOMFANYIA ? HAKIKA MUNGU HATOKUACHA , MWISHO WA KELELE ZAKO NI 2015 BAADA YA WANAOKUTUMA KUPIGWA CHINI .
 

Mwigulu anavyojigamba namna alivyokununua.

Bado una moral authority ya kushauri CHADEMA?

Ushauri kwa CCM, huyu mtu anaharibu mipango yenu ya siri, kwani kuna wengine walikuwa hawaamini dhana ya usaliti. Joseph Ludovick anadhihirisha bila chembe ya mashaka kuwa kuna watu wanajivika uanachama wa CHADEMA, lakini kila wanalofanya ni la kupaka matope chama.

Anathibitisha bila chembe ya shaka kwamba kuna kundi kubwa la usaliti lilikuwemo CHADEMA na lilitumiwa na CCM.

CCM, huyu mtu anakuwa hatari kwenu.
 
Last edited by a moderator:
ludovic wewe upo chadema au act

TATIZO KUBWA la WASALITI , MAMLUKI NA WASAKATONGE WOTE NI KUDHANI KWAMBA WANA AKILI KULIKO MTU YEYOTE , WAMESAHAU KWAMBA TUMEWAFUNGA VING'AMUZI , KILA WANACHOKIFANYA GIZANI KIKO HADHARANI , KUNA TAARIFA KWAMBA HATA SISIEMU imeWADHARAU SANA HAWA VIJAKAZI WAO , MAANA YANAONEKANA KAMA MAROBOTI TU !
 
Joseph Ludovick
Huwa unatumia akili kweli wewe?

Ile wako Dr. Slaa na Mbowe wapatwe matatizo yoyote from now,

Tutaanza na wewe utatujulisha tu nani huwa anakutuma.
 
Last edited by a moderator:


Pure mamluki. umenu.nu.liwa (neno hilo limezuiwa kutokea) na Mwigulu kusaliti chama.
 
Last edited by a moderator:
Uzushi unaofanana kama huu uliletwa pia hapa jana ila ulikuwa ukimuhusu BEN,Leo uzushi umetoka kwa Ben umehamia kwa MOHAMED MTOI! Duh mtataga mwaka huu
 
Huu ndo uzuri wa JF! Tukiwa bado tuna machungu ya kusalitiwa na kuhujumiwa kwa matukio ya ugaidi, leo hii anakuja na ngonjera za kuishauri CHADEMA...Kwa maslahi ya nani?...wamekulipa kiasi ewe Ludo this time?... Grrrrr

Mwigulu anavyojigamba namna alivyokununua.

Bado una moral authority ya kushauri CHADEMA?

Ushauri kwa CCM, huyu mtu anaharibu mipango yenu ya siri, kwani kuna wengine walikuwa hawaamini dhana ya usaliti. Joseph Ludovick anadhihirisha bila chembe ya mashaka kuwa kuna watu wanajivika uanachama wa CHADEMA, lakini kila wanalofanya ni la kupaka matope chama.

Anathibitisha bila chembe ya shaka kwamba kuna kundi kubwa la usaliti lilikuwemo CHADEMA na lilitumiwa na CCM.

CCM, huyu mtu anakuwa hatari kwenu.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu.

Sikutaka kumjibu Ludovick kwa kuwa majibu ya Afisa habari wetu wa chama kamanda Tumaini Makene yalijitosheleza sana! Nimeamua kumjibu binafsi kwa kuwa anaweza kuibua hofu isiyokuwa na msingi kutokana na matumizi ya lugha aliyotumia.

Kwenye sehemu ya bandiko lake kwa wale wanaojua kukusanya na kuunganisha nukta ameandika hivi "... Kufuatia hayo yaliyo msibu kwa sababu ya CHADEMA...".

Japo kwenye bandiko lake hukueleza yaliyonisibu ni yapi, lakini wakati huohuo amejivika kuwa msemaji wangu ambaye kwa haiba na matendo yake ya usaliti kwenye chama siwezi kumruhusu kufanya hivyo, bali anaweza kuwa msemaji anaye tumiwa na waliowahi kumtumia kuiangamiza CHADEMA kwa ugaidi fake na mwishowe wakashindwa wote.

Mpaka amekuja kuandika ujumbe wake hapo juu, Sina lolote lililo nikumba ndani ya CHADEMA na natimiza majukumu yangu na wajibu wangu kwa chama chetu ambacho naamini kwa matendo na mwenendo wake (Ludovick Joseph) hawezi kuwa na udhu wa kukisemea achilia mbali kujinasibu kuwa ni mwanachama.

Kama kuna lolote baya linaloweza kunikumbuka na kunidhuru kama ilivyotokea kwa Kibanda ambaye kwenye moja ya mchango wake kule mabadiliko alisema "...miongoni mwa watu walio nivamia ana fanana na Joseph Ludovick...",wakati huo Ludovick akiwa wa kwanza kuripoti kwenye mitandao kuwa Kibanda amevamiwa, litafanya nikumbuke hiyo kauli yake ya "...Yaliyo msibu kwa sababu ya CHADEMA.."

Ninachoweza kumuambia, NIKO TAYARI KWA LOLOTE maana najua hawashindwi kufanya lolote kama jinsi ambayo wamekuwa mafundi wa kupanga yote waliyopanga na wakashindwa kwenye yote.

"Foward ever, backward never"
 
MSALITI NA MAMLUKI kama wewe MSAKATONGE LUDOVIC NI NANI MWENYE AKILI yake timamu atakuamini ? Pamoja na wema wote aliokufanyia lwakatare SHUKRANI ZAKO NDIO YALE ULIYOMFANYIA ? HAKIKA MUNGU HATOKUACHA , MWISHO WA KELELE ZAKO NI 2015 BAADA YA WANAOKUTUMA KUPIGWA CHINI .

Huyu Ludovick ambaye aliaminiwa na chama,alyekuwa karibu na Lwakatare akapanga njama haramu,wanajf kwa uzi wake huu,nakishauri chama kuhakikisha usalama wa Mtoi upo makini, katika kauli tu na mada yake inaashiria yeye na kundi lake wanalao jamno,mara nyingi dalili ya mvua ni mawingu
 
CHADEMA au viongozi wake, hawapangiwi wala kupokea ushauri wa namna ya kusimamia, kuendesha chama au utendaji kazi wa kila siku .
Mkuu Tumaini Makene, asante kwa taarifa hii kuhusu Chadema na viongozi wake katika suala zima la kupokea ushauri, ushauri siku zote huwa ni ushauri tuu, mshauriwa ana hiyari aupokee au kuupuuza, ila kwa mujibu wa kitu kinachoitwa "right to information" kwa mtu yoyote au taasisi yoyote ambayo iko paid by taxpayers money, the tax pays have all the right to know each and everything kuhusu chombo hicho ambacho ndio hatma ya kodi zao!.

Chadema is no exception, its not a "private party" to enjoy "the right to privacy", itahojiwa, itaulizwa, itachunguzwa, itashauriwa, na pale inapoboronga, itabamizwa kwa sababu ni kodi zetu ndizo zinazoiendesha Chadema!.

Kwa vile sote tuko humu jf, sisi wengine hatuna vyama, mazuri tutapongeza, madudu tutakemea, na kwenye ushauri tutatao, its up to Chadema to take it or leave it, ila kuna sisi wengine hatupendagi makelele ya watu kuja kutulilia humu kila baada ya miaka mitano!, ndio maana sisi wengine tunashauri, na tukiisha puuzwa, wakati wa kuleta vilio humu vya November, 2015, sio tuu tutawakumbusha tuliwashauri nini, bali badala ya kuwapa pole kwa vilio, tutawazomea tukiamini hayo ndio mliyoyataka!.

Asante.

Pasco.
 
Tunawezaje kumuamini mtu aliyeweza kusaliti chama kwa elfu 50 tu za Mpesa?

Ludovick kajipange tena kijana shame on you.

Mwigulu (bosi/mwajili wake ) anapanga kumtungua Dr wetu kwenye helicopta, halafu swahiba wa Mchange yule "aliyechanganyikiwa" anakuja hapa akituonyesha kuwa ana mahaba sana na Dr wetu na Mbowe? Hivi CCM nao inakuwaje wanakubali kuwatumia watu wenye IQ ndogo kama hawa? au ndo dalili za kuishiwa mbinu?
 
khee njia ya muongo ni fupi.....mhhhh ludo upo...mtoi huyo hapo kwenye kona umemsoma?
 
Mwigulu (bosi/mwajili wako ) anapanga kumtungua Dr wetu kwenye helicopta, halafu swahiba wa Mchange yule "aliyechanganyikiwa" unakuja hapa ukituonyesha kuwa una mahaba sana na Dr wetu na Mbowe? Hivi CCM nao inakuwaje wanakubali kuwatumia watu wenye IQ ndogo kama hawa? au ndo dalili za kuishiwa mbinu?
Huyu jini ludo ana matatizo sana mkuu..
Sasa anajiita eti chadema! Vijimtu vingine bana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom