CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

Status
Not open for further replies.
Chadema kina kazi kubwa kukabiliana na hawa wasaliti wanaojiita WASHAURI.

Ni ajabu sana mtu anaekuvizia kila siku kwenye kona akumalize,leo anakuja anajifanya kukupa ushauri jinsi ya kujihami.
 
LUDOVICK hivi wewe ni chama gani,CDM,ACT au CCM?Unauchungu gani na CHADEMA hasa baada ya kashfa zakukisaliti chama.Wengi watakuchukulia kama mchonganishi tu,umeshindwa kupeleka habari hizi panapohusika?
 
Si kila jambo ni la kudharau. Huyu bwana anaaminika sana CCM na ACT . Alichoamua kuabdika kwa id yake si cha kudharau hata kidogo na anajua Mohamed Mtoi ni member humu na anajua atakuja kukanusha na hapo ndipo atamwaga kila kitu. Tudharau hadharani lakini secretly afanyiwe uchunguzi. Sasa hivi hakuna mtu wa kuaminika kwa asilimia mia moja, ikizingatiwa MM2 bado hajafahamika.
 
Mohamedi Mtoi. Angalia alama za nyakati ndugu yangu. Madam umezungukwa na kina Masawe, Mangi, Mungi na kina John ima ukubaliane na matakwa yao au uitwe Msaliti kama Zitto.

chama cha wachaga lakini katiba yake ime m-disqualify mchaga Beni Saanane

buku 7 hovyo
 
Last edited by a moderator:
Hahahhahahaha Mohamedi Mtoi huyu huyu au mwingine? huyu huyu Msambaa wa Mkuzi? Hapana aiseee nimempigia nimpe taarifa naona simu yake iko busy, anakuja sasa hivi
 
Last edited by a moderator:
Sinema za BAVICHA huyu haziishi.
Ina maana Mtoi anatumiwa na wasaliti ili amdhuru Mzee Slaa na Mbowe?
 
LUDOVICK hivi wewe ni chama gani,CDM,ACT au CCM?Unauchungu gani na CHADEMA hasa baada ya kashfa zakukisaliti chama.Wengi watakuchukulia kama mchonganishi tu,umeshindwa kupeleka habari hizi panapohusika?

Njaa zinawasumbuwa wasaliti hawa...CCM wao,Chadema wao,ACT wao. Na boss wao ameing'ang'ania Chadema hadi akaenda mahakamani lakini cha ajabu hata huyu boss wao CCM yupo,ACT yupo na Chadema yupo. Hii ni hatari sana
 
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.

Nimeshauri
USHAURI:Kwa hatua uliyofikia Ludovick hutakiwi na huna hata hadhi ya kutoa ushauri kwa CDM iwe ni kwa nia njema au mbaya..ulishapoteza hiyo nafasi.Unachotakiwa kufanya nikukaa kimyaaa ili waliochagulia kuikomboa Tanzania wafanhivyo.
 
Hivi huyu si yule aliepewa 50,000 za kurekodi ile movie ya Lwakatare? moral authority ya kuishauri CHADEMA unaipata wapi wakati wewe ndo ulikuwa mhusika mkuu wa kuisingizia CHADEMA Ugaidi? CCM na ACT wanakupa nini zaidi ya kukutumia kama condom? Mohamed Mtoi nyota yake ina ng'aa ... muda si mrefu atakuwa miongoni mwa mawaziri wachache watakao ineemesha Tanzania via CHADEMA...
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.

Nimeshauri
 
Ungetwambia kwanza ulipopata ajari na gari la ACT Morogoro ulikuwa unaenda kujenga chama gani msaliti wewe!
 
Ludovic Mkuu wa Usalama wa ACT unasema idara yenu ya act imwangalie Mtoi wa Chadema kwa madhumuni yapi??

Hahaa dogo unadata kweupe hivi??
 
Ludovick unaparangana kweli,kule umeambiwa ulete ushahidi umekimbia,kwa hiyo umehamishia upuuzi wako huku?
 
nIMESHAONGEA NA Mohamedi Mtoi AMESEMA HAKURUPUKI KWENYE KUJIBU, ATAKUJIBU TU KWA KUTULIA HAPO UTAKAPOKUWA UMEWEKA USHAHIDI WAKO MAANA HII STORY IKO HEWANI HEWANI SANA
CHAMVIGA TULIA ANAKUJA MANI na zumbemkuu hebu njooni huku msikilize Mgosi anatetwa
 
Last edited by a moderator:
chama cha wachaga lakini katiba yake ime m-disqualify mchaga Beni Saanane

buku 7 hovyo

Ben japo ni mchaga lakini ni msaliti kama Albert Msando. Hivyo hana nafasi hata kama ni wa kabila letu kwani alimsaliti mwenyekiti wetu.
 
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.

Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.

Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.

Nimeshauri

Hata kichaa ndio alitoa taarifa ya kulipuliwa kwa majengo pacha ya WORLD TRADE CENTRE, ila walimpuuza. Kilichotokea mnakijua wenyewe.
 
nIMESHAONGEA NA Mohamedi Mtoi AMESEMA HAKURUPUKI KWENYE KUJIBU, ATAKUJIBU TU KWA KUTULIA HAPO UTAKAPOKUWA UMEWEKA USHAHIDI WAKO MAANA HII STORY IKO HEWANI HEWANI SANA
CHAMVIGA TULIA ANAKUJA MANI na zumbemkuu hebu njooni huku msikilize Mgosi anatetwa

Mbona umemsahau Mshana jr na shemeji yenu Bategereza kuja kumsaidia mgosingwa anavyotetwa na mburula Ludovick.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom