Kamanda Mohamedi Mtoi naona unatoa kauli kama mwanamapinduzi angalia sana una familia inakutegemea kwa ufupi tu tembelea familia ya Mwangosi (R.I.P) ili upate picha kamili usijifananishe na Slaa au Mbowe hao ni matajiri wakubwa wanatumia watu wenye akili fupi kama zako.
Unataka Naye Awe Mchumia Tumbo Kama Wewe? Nyie ni wa kuhurumiwa tu!
Last edited by a moderator: