Mkuu
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
kwahi hiyo munakubali alikuwa anamrekodi Rwakatare wakati anapanga UGAID?
harafu anaonesha kuwa ana tumia id nyingi hapa mtandaoniHabari yako haijakamilika.
Kweli Mkuu! hawa Waislamu lazima tuwafukuze kwanjia yoyote ile. Na yeye timwite msaliti.Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
Uislam wa Mtoi ni.kikwazo chadema
Mkuu
Kamanda Mohamedi Mtoi na Ben Saanane ni vikaragosi vinatumiwa tu hakuna anayewataka Chadema, walitumwa kazi ya kummaliza Zitto wameshindwa kwa maana hawaihitajiki tena, ile ndoto ya kugombea ubunge Mlalo ndio imekwisha.
Akili (kama unayo) imegota hapo.
Bila shaka wewe si mwanachama wa CDM lakini shetani wa CCM unayetaka kuchonganisha CDM na waislamu.Kweli Mkuu! hawa Waislamu lazima tuwafukuze kwanjia yoyote ile. Na yeye timwite msaliti.![]()
![]()
Sent from my D5503 using Tapatalk
Akili (kama unayo) imegota hapo.
Usifikiri Laki Si Pesa hajui anachokifanya. Anajua sana. Lengo ni kuchonganisha CDM na waislamu kwa maslahi si ya waislamu au watanzania ila kwa maslahi yao hao mashetani wachonganishi.
Lengo ni kuonyesha kuwa CDM haiwataki waislamu. Hizi ndizo mbinu za aibu kabisa zinazoashiria kuwa chama cha mapinduzi CCM kimeishiwa hadhi zote za kuwa chama tawala na sasa kimekuwa chama cha kishetani tu.
Sina muda kujibizana na MTU bahau mwenye akili za kushikiwa, mmetiwa akili za ujinga kujigeuza wapigania Uhuru angalieni familia ya Mwangosi kabla hamjajitoa mhanga, mtaacha watoto wenu wanateseka, Slaa na Mbowe hawana muda wa kutunza familia zenu wakipiga picha za promo kwenye magazeti mchezo umekwisha.kwahiyo hapa ndiyo MWISHO KABISA WA UWEZO WAKO ?