white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,618
- 13,890
Kutetea majitu yasiyojitambua ni kazi sana!!acha tu yapigike hadi akili itakpokuwa sawa!!mala ngapi yanazulumiwa wanakuja viongozi wa upinzani/wanaharakati wanayafafanulia, hayaelewi anakuja yile anayewanyonya anawaambia achaneni na huyo anataka kuvuluga amani ya nchi yeye atakimbilia ulaya!!tayari yanamuamini.Kila kona ni kilio cha Tozo kiasi kwamba Watu hawaelewi kinacholiliwa ni nini hasa
Binafsi najiuliza Chadema hujinasibu kuwa wao ni watetezi wa wananchi, je huwa wanatutetea kwenye mambo gani?
Mungu ni mwema wakati wote!