OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Mkuu upo sahaihi hapo kwenye RED, Sijui kwa nini hili swala lije muda huu wakati utaratibu upo wazi. Kushindwa kwa CAG kufanya kazi zake isiwe adhabu kwa vyama vya siasa.
very simple.
Mtoto wa kiume kapelekwa jandoni na sasa mdogo wake wa kike ana malaria! !!!!!!
Wote wanatibiwa kazini utaenda na mama yao haki yake utampa!!!!
Homa ya mtoto wa kike haiwezi kuwa sababu ya kusahau kuwa mtoto wa kiume yupo jandoni