CHADEMA hawajakaguliwa! #FACT

CHADEMA hawajakaguliwa! #FACT

Kwa muda mrefu tumekuwa tukieleza hapa jamvini na hata kwenye majukwaa ya kisiasa kuwa wapo viongozi wakubwa ndani ya vyama vya siasa ambao wanafanya ubadhirifu na kutumia pesa ya ruzuku kwa manufaa binafsi, lakini kama ilivyo kawaida ya waliofunga masikio na mioyo yao tukaambulia matusi na hata ban hapa jamvini. Lakini waswahili wanasema "sikio la kufa halisikii dawa" kama tungelisikilizwa kipindi kile na watu wale wakajirekebisha na kuacha tabia ya kugeuza chama cha siasa kuwa SACCOS yao binafsi basi hatari inayowakabili sasa isingelikuwa mbele yao.

Taarifa zilizopo mtaani na kila kwenye chombo cha habari ni juu ya Mwenyekiti wa PAC na Naibu katibu mkuu wa Chadema ndugu Zitto Kabwe kuahidi kuwapeleka mahakamani wale wote watakaodhihirika kuwa wamefisidi na kutumia pesa ya ruzuku ya chama kwa maslahi binafsi, baada tu ya kufanya ukaguzi kwenye vyama husika. Kwa wale tunaofahamu ukweli ni kuwa ukaguzi huo hautakiacha salama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kwa maana yupo babu mtu mzima na kiongozi mkubwa wa Chadema ambae tunao ushahidi wa maandiko lakini pia ushahidi wa kauli yake kuwa amejikopesha pesa za ruzuku ya Chama. Sasa ataeleza kama lengo na matumizi ya ruzuku ni kukopeshana..? na kwa bahati mbaya maelezo haya ataenda kuyanyoosha vizuri akiwa kisutu.

Kimsingi ni lazima kila mtanzania regardless chama anachotokea, dini anayoiamini ama itikadi anayosimamia ni LAZIMA awe mstari wa mbele kuhakikisha kuwa anaitetea na kuilinda TANZANIA, kwa maana anaonyesha uzalendo na upendo wa kweli kwa TAIFA kwa kuwataja hadharani na hata kupeleka vielelezo mahakamani juu ya wale wote wanaofisidi na kula mali ya umma kwa vigezo na trick mbalimbali.

Nakuunga mkono zitto na natuma salamu kwa Babu ajiandae kukabiliana na PILATO wa Kisutu.
 
Kwa muda mrefu tumekuwa tukieleza hapa jamvini na hata kwenye majukwaa ya kisiasa kuwa wapo viongozi wakubwa ndani ya vyama vya siasa ambao wanafanya ubadhirifu na kutumia pesa ya ruzuku kwa manufaa binafsi, lakini kama ilivyo kawaida ya waliofunga masikio na mioyo yao tukaambulia matusi na hata ban hapa jamvini. Lakini waswahili wanasema "sikio la kufa halisikii dawa" kama tungelisikilizwa kipindi kile na watu wale wakajirekebisha na kuacha tabia ya kugeuza chama cha siasa kuwa SACCOS yao binafsi basi hatari inayowakabili sasa isingelikuwa mbele yao.

Taarifa zilizopo mtaani na kila kwenye chombo cha habari ni juu ya Mwenyekiti wa PAC na Naibu katibu mkuu wa Chadema ndugu Zitto Kabwe kuahidi kuwapeleka mahakamani wale wote watakaodhihirika kuwa wamefisidi na kutumia pesa ya ruzuku ya chama kwa maslahi binafsi, baada tu ya kufanya ukaguzi kwenye vyama husika. Kwa wale tunaofahamu ukweli ni kuwa ukaguzi huo hautakiacha salama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kwa maana yupo babu mtu mzima na kiongozi mkubwa wa Chadema ambae tunao ushahidi wa maandiko lakini pia ushahidi wa kauli yake kuwa amejikopesha pesa za ruzuku ya Chama. Sasa ataeleza kama lengo na matumizi ya ruzuku ni kukopeshana..? na kwa bahati mbaya maelezo haya ataenda kuyanyoosha vizuri akiwa kisutu.

Kimsingi ni lazima kila mtanzania regardless chama anachotokea, dini anayoiamini ama itikadi anayosimamia ni LAZIMA awe mstari wa mbele kuhakikisha kuwa anaitetea na kuilinda TANZANIA, kwa maana anaonyesha uzalendo na upendo wa kweli kwa TAIFA kwa kuwataja hadharani na hata kupeleka vielelezo mahakamani juu ya wale wote wanaofisidi na kula mali ya umma kwa vigezo na trick mbalimbali.

Nakuunga mkono zitto na natuma salamu kwa Babu ajiandae kukabiliana na PILATO wa Kisutu.

Hivi kwanini mnadhani suala la Ruzuku ni la Slaa tu na Chadema. juliana shonza tafuta kazi ya kufanya kama huna tafuta bwana akuweke ndani
 
ooh! Ni nini mandate ya msajili kulingana na sheria hiyo?

Huyo auditor umejuaje kama sio accredited?

Halafu kama ndivyo unavyosema then kosa hapa ni la chadema,registrar au cag?

jama mi mpita njia tu,
ila nasema serikali regerege na dhaifu tena nasema
 
Nimeshangazwa na kauli ya Mwenyekiti wa POAC kuwa vyama vyote vya siasa nchini havijapeleka ripoti ya mahesabu ya ruzuku kwa Mkaguzi na Mdhibiti wa Mahesabu ili kukaguliwa. Tukumbuke kuwa fedha hizi wanazopewa ni kodi ya Mtanzania yaani mwananchi ambaye analipa kupitia kodi mbalimbali ili kuendesha shughuli za nchi hii ikiwamo na hizo ruzuku.

Mhe. Zitto ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA. Na anakuwa anahudhuria vikao vyote vya chama. Kwa nini hakuwashauri CHADEMA kama kweli ana nia njema na chama ili kupeleka mahesabu hayo kwa CAG ???? Kwa nini asubiri akaseme uovu wa vyama kikiwemo chama chake kwenye Kamati?? Huoni kuwa kwa namna nyingine huenda yeye kama kiongozi wa Chama alishiriki kutokupeleka Mahesabu hayo kwa CAG???

Ushauri wangu ni kuwa , sisi wanachama na wapenzi wa vyama tunapoona jambo zuri au baya ndani ya mfumo ni vema kulisema ndani ya mfumo ili kurekebishwa (kama ni baya) na kulitilia maanani kama ni zuri. Tusisubiri tunaona mwenendo mbaya ndani ya mfumo wako, unakaa kimya, baadaye unakuja kulipuka tu kuwa mfumo huu ninaousimamia hauwajibiki vizuri.Makatibu wa Vyama wataitwa kwenye tume kujieleza. Ok. kwa mfano Dr. Slaa akamtuma Mhe. Zitto kwenye hicho kikao je hali itakuwaje kuhusu majibu??

Kwa namna moja ama nyingine Mhe. Zitto anahusika na chama chake kwa kutokukaguliwa na CAG. Chama na ni watu akiwemo yeye. Katika hili asijiweke pembeni kwa ulaghai kuwa ana uchungu na hela za watanzania bali anatafuta tu umaharufu.
 
Kwa muda mrefu tumekuwa tukieleza hapa jamvini na hata kwenye majukwaa ya kisiasa kuwa wapo viongozi wakubwa ndani ya vyama vya siasa ambao wanafanya ubadhirifu na kutumia pesa ya ruzuku kwa manufaa binafsi, lakini kama ilivyo kawaida ya waliofunga masikio na mioyo yao tukaambulia matusi na hata ban hapa jamvini. Lakini waswahili wanasema "sikio la kufa halisikii dawa" kama tungelisikilizwa kipindi kile na watu wale wakajirekebisha na kuacha tabia ya kugeuza chama cha siasa kuwa SACCOS yao binafsi basi hatari inayowakabili sasa isingelikuwa mbele yao.

Taarifa zilizopo mtaani na kila kwenye chombo cha habari ni juu ya Mwenyekiti wa PAC na Naibu katibu mkuu wa Chadema ndugu Zitto Kabwe kuahidi kuwapeleka mahakamani wale wote watakaodhihirika kuwa wamefisidi na kutumia pesa ya ruzuku ya chama kwa maslahi binafsi, baada tu ya kufanya ukaguzi kwenye vyama husika. Kwa wale tunaofahamu ukweli ni kuwa ukaguzi huo hautakiacha salama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kwa maana yupo babu mtu mzima na kiongozi mkubwa wa Chadema ambae tunao ushahidi wa maandiko lakini pia ushahidi wa kauli yake kuwa amejikopesha pesa za ruzuku ya Chama. Sasa ataeleza kama lengo na matumizi ya ruzuku ni kukopeshana..? na kwa bahati mbaya maelezo haya ataenda kuyanyoosha vizuri akiwa kisutu.

Kimsingi ni lazima kila mtanzania regardless chama anachotokea, dini anayoiamini ama itikadi anayosimamia ni LAZIMA awe mstari wa mbele kuhakikisha kuwa anaitetea na kuilinda TANZANIA, kwa maana anaonyesha uzalendo na upendo wa kweli kwa TAIFA kwa kuwataja hadharani na hata kupeleka vielelezo mahakamani juu ya wale wote wanaofisidi na kula mali ya umma kwa vigezo na trick mbalimbali.

Nakuunga mkono zitto na natuma salamu kwa Babu ajiandae kukabiliana na PILATO wa Kisutu.

Hapo ndipo Zitto alipopoteza alikuwa na nia njema but by the time alipoligeuza swala la vyama vitano makatibu wakuu watano akafanya ni la chadema pekee na katibu wake mkuu basi plot ikafa namuonea huruma Zitto kwa ujinga alioufanya hajasaidia nchi
 
Itabidi aeleze ilikuaje Ruzuku ya Chama itumike kugharamia Picnic ya Mahawara huko Marekani kwa wiki kadhaa,Kanuni ipi ilitumika Slaa kuomba Mkopo chadema,Halafu Katibu Slaa akaipitisha tena mkopo usio na Riba, Mshahara wa Mil 7 ulipitishwa kwa vigezo gani?Mbowe itabidi ajieleze ilikuaje akauzia Chama Canter lake mkweche la kubebea maspika kwa mil 500, Mrs Mushumbuz ilikuaje bila ya kufuata taratibu za fedha kuuzia Chama Accounting Package kwa Mil 10? Inakuaje House girl wa Nyumbani kwa Josephine agharimiwe kwa fedha za Ruzuku? Inakuaje Ofisi za Mikoa ya Kaskazini inapelekewa Ruzuku japo kiduchu lakin mikoa ya Magharibi na Kanda ya Ziwa inajiendesha kwa kutembeza Kopo kwa wanachama? Sasa mtoto hatumwi Dukani maana hata ajira za Mtaa wa Ufipa zinapatikana kwa Ruhusa ya Josephine Mushumbuz Hawara na Kimada wa Katibu Mkuu!
 
Kwa muda mrefu tumekuwa tukieleza hapa jamvini na hata kwenye majukwaa ya kisiasa kuwa wapo viongozi wakubwa ndani ya vyama vya siasa ambao wanafanya ubadhirifu na kutumia pesa ya ruzuku kwa manufaa binafsi, lakini kama ilivyo kawaida ya waliofunga masikio na mioyo yao tukaambulia matusi na hata ban hapa jamvini. Lakini waswahili wanasema "sikio la kufa halisikii dawa" kama tungelisikilizwa kipindi kile na watu wale wakajirekebisha na kuacha tabia ya kugeuza chama cha siasa kuwa SACCOS yao binafsi basi hatari inayowakabili sasa isingelikuwa mbele yao.

Taarifa zilizopo mtaani na kila kwenye chombo cha habari ni juu ya Mwenyekiti wa PAC na Naibu katibu mkuu wa Chadema ndugu Zitto Kabwe kuahidi kuwapeleka mahakamani wale wote watakaodhihirika kuwa wamefisidi na kutumia pesa ya ruzuku ya chama kwa maslahi binafsi, baada tu ya kufanya ukaguzi kwenye vyama husika. Kwa wale tunaofahamu ukweli ni kuwa ukaguzi huo hautakiacha salama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kwa maana yupo babu mtu mzima na kiongozi mkubwa wa Chadema ambae tunao ushahidi wa maandiko lakini pia ushahidi wa kauli yake kuwa amejikopesha pesa za ruzuku ya Chama. Sasa ataeleza kama lengo na matumizi ya ruzuku ni kukopeshana..? na kwa bahati mbaya maelezo haya ataenda kuyanyoosha vizuri akiwa kisutu.

Kimsingi ni lazima kila mtanzania regardless chama anachotokea, dini anayoiamini ama itikadi anayosimamia ni LAZIMA awe mstari wa mbele kuhakikisha kuwa anaitetea na kuilinda TANZANIA, kwa maana anaonyesha uzalendo na upendo wa kweli kwa TAIFA kwa kuwataja hadharani na hata kupeleka vielelezo mahakamani juu ya wale wote wanaofisidi na kula mali ya umma kwa vigezo na trick mbalimbali.

Nakuunga mkono zitto na natuma salamu kwa Babu ajiandae kukabiliana na PILATO wa Kisutu.
You must be a fool, hao CCM wana usafi gani? unaongelea kukopa ruzuku, wakati watu wamepiga deal za EPA, KAGODA, USWISS, RICHMOND we nitatizo, ama kweli nyani haoni .... kuna chama kilichooza kama chama cha mafisadi. ua unapost ili ujipatie buku 7?
 
Sakata linaloendelea nchini la ruzuki ya vyama vya siasa bila ya chembe ya shaka ni kaburi la Dr. Slaa! Naona Zitto kaamua kulipiza kisasi na safari hii kamkamata vibaya Dr. Slaa na hata Mbowe mwenyewe! Ziko taarifa za uhakika za Dr. Slaa kuchota zaidi ya 200mill kwa ajili ya safari yake ya Ulaya ambayo bado hajarudi!

Zitto alipohoji kajibiwa aache kiherehere kwani hayamuhusu. Si mara ya kwanza anajibiwa hivyo ndio maana akaamua kutafuta kamba ya kuwamaliza wabaya wake!

Kinachosikitisha tu ni kuwa anatumia nguvu kubwa kutoboa mtumbwi ambao hata yeye amepanda ndani yake!!
 
Kwa nini slaa anatumia pesa za chama kwa matakwa yake na maisha yake haya mambo kayatoa wapi.
 
You must be a fool, hao CCM wana usafi gani? unaongelea kukopa ruzuku, wakati watu wamepiga deal za EPA, KAGODA, USWISS, RICHMOND we nitatizo, ama kweli nyani haoni .... kuna chama kilichooza kama chama cha mafisadi. ua unapost ili ujipatie buku 7?
Acha kelele we bavicha kama unaushahidi wa hayo unayosema weka ushahidi vinginevyo wewe na Lisu ni walewale tu.
Lakini ukweli ni kwamba kashifa hii chadema hawakwepi hasa slaa ambaye kila siku anajikopesha hela za chama.
 
« CHADEMA wamwaga nyaraka za 'siri' Hesabu za Ruzuku; Msajili na CAG wawajibike
Topic Information

There are currently 219 users browsing this thread. (36 members and 183 guests)
 
Acha kelele we bavicha kama unaushahidi wa hayo unayosema weka ushahidi vinginevyo wewe na Lisu ni walewale tu.
Lakini ukweli ni kwamba kashifa hii chadema hawakwepi hasa slaa ambaye kila siku anajikopesha hela za chama.
we ndiyo juha, hii yakutafuna ruzuku ni ya CCM bado hamjatambua hilo, timewill tell! kuhusu maswala ya wizi wa KAGODA kamuulize ushahidi aliye sema walioiba warudishe kisha awasamehe, kuna ushahidi zaidi ya huo? CCM ni chama kichafu
 
Itabidi aeleze ilikuaje Ruzuku ya Chama itumike kugharamia Picnic ya Mahawara huko Marekani kwa wiki kadhaa,Kanuni ipi ilitumika Slaa kuomba Mkopo chadema,Halafu Katibu Slaa akaipitisha tena mkopo usio na Riba, Mshahara wa Mil 7 ulipitishwa kwa vigezo gani?Mbowe itabidi ajieleze ilikuaje akauzia Chama Canter lake mkweche la kubebea maspika kwa mil 500, Mrs Mushumbuz ilikuaje bila ya kufuata taratibu za fedha kuuzia Chama Accounting Package kwa Mil 10? Inakuaje House girl wa Nyumbani kwa Josephine agharimiwe kwa fedha za Ruzuku? Inakuaje Ofisi za Mikoa ya Kaskazini inapelekewa Ruzuku japo kiduchu lakin mikoa ya Magharibi na Kanda ya Ziwa inajiendesha kwa kutembeza Kopo kwa wanachama? Sasa mtoto hatumwi Dukani maana hata ajira za Mtaa wa Ufipa zinapatikana kwa Ruhusa ya Josephine Mushumbuz Hawara na Kimada wa Katibu Mkuu!
Haya maneno yanaukweli ndani yake sasa kwa nini hawa chadema wanafanya haya madudu wanayofanya?

kwani chadema / kadima hawajui kuwa hizi pesa ni za walipa kodi wa tanzani?

Kwanza kwa nini slaa ajilipe mshahara wa milioni saba kwa vigezo gani.

hilo gari alilouzia mbowe chama kwa hela zote hizo ndiyo majanga kabisa,

huyu mshumbushi naye anatumia hela za chama yeye kama nani ndani ya chadema hii hasara kweli.
 
we ndiyo juha, hii yakutafuna ruzuku ni ya CCM bado hamjatambua hilo, timewill tell! kuhusu maswala ya wizi wa KAGODA kamuulize ushahidi aliye sema walioiba warudishe kisha awasamehe, kuna ushahidi zaidi ya huo? CCM ni chama kichafu
Mimi bavicha kwanza sipendi hata kujibishana nao make hamna akili mtaishia kutukana tu nikome kabisa kama umevurugwa kivyako na chama chenu cha ukoo.
 
Kwa muda mrefu tumekuwa tukieleza hapa jamvini na hata kwenye majukwaa ya kisiasa kuwa wapo viongozi wakubwa ndani ya vyama vya siasa ambao wanafanya ubadhirifu na kutumia pesa ya ruzuku kwa manufaa binafsi, lakini kama ilivyo kawaida ya waliofunga masikio na mioyo yao tukaambulia matusi na hata ban hapa jamvini. Lakini waswahili wanasema "sikio la kufa halisikii dawa" kama tungelisikilizwa kipindi kile na watu wale wakajirekebisha na kuacha tabia ya kugeuza chama cha siasa kuwa SACCOS yao binafsi basi hatari inayowakabili sasa isingelikuwa mbele yao.

Taarifa zilizopo mtaani na kila kwenye chombo cha habari ni juu ya Mwenyekiti wa PAC na Naibu katibu mkuu wa Chadema ndugu Zitto Kabwe kuahidi kuwapeleka mahakamani wale wote watakaodhihirika kuwa wamefisidi na kutumia pesa ya ruzuku ya chama kwa maslahi binafsi, baada tu ya kufanya ukaguzi kwenye vyama husika. Kwa wale tunaofahamu ukweli ni kuwa ukaguzi huo hautakiacha salama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kwa maana yupo babu mtu mzima na kiongozi mkubwa wa Chadema ambae tunao ushahidi wa maandiko lakini pia ushahidi wa kauli yake kuwa amejikopesha pesa za ruzuku ya Chama. Sasa ataeleza kama lengo na matumizi ya ruzuku ni kukopeshana..? na kwa bahati mbaya maelezo haya ataenda kuyanyoosha vizuri akiwa kisutu.

Kimsingi ni lazima kila mtanzania regardless chama anachotokea, dini anayoiamini ama itikadi anayosimamia ni LAZIMA awe mstari wa mbele kuhakikisha kuwa anaitetea na kuilinda TANZANIA, kwa maana anaonyesha uzalendo na upendo wa kweli kwa TAIFA kwa kuwataja hadharani na hata kupeleka vielelezo mahakamani juu ya wale wote wanaofisidi na kula mali ya umma kwa vigezo na trick mbalimbali.

Nakuunga mkono zitto na natuma salamu kwa Babu ajiandae kukabiliana na PILATO wa Kisutu.


Kweli UKIINGIA kwenye CHAMA CHA UFISADI; UZANDIKI unajisahau kama wewe unawafanyia wananchi HAKI au LA

Jiangalie HAUNA KAZI lakini Unapata Safari; Unalishwa; Unastareheshwa kwa jina la CCM; Sasa hapo ikiondolewa Madarakani au GODFATHER wenu ndani ya CCM akiondolewa MADARAKANI fikiria Utadondokea wapi?

Umechoma MOTO MADARAJA YOTE uliyokuwa Unayatumia kwahiyo hautaweza kurudi NYUMA na kujirekebisha; SIASA sio kujenga UNYAMA na UADUI kama Unaoufanya Sasa hivi; Umeona MFANO MZURI wa President OBAMA na Former President BUSH walivyofanya hapo Dar???? ni ishara ya kuwaonyesha NYINYI Msiojua DEMOCRASIA kuwa SIASA sio Uuaji an WIZI

Sasa wewe Unacheka hicho CHAMA CHA CHADEMA... Wakikuita na kukuonyesha hiyo picha hapo CHINI na kukuuliza ni Nani alikupa pesa za kupanda hiyo NDEGE? utasema ni SERIKALI au CCM? na walizipata wapi??? RUZUKU au kuwaibia KODI wananchi Masikini wa TANGANYIKA???

Mpongeze ZITTO KABWE lakini pia angalia jasho kwenye kwapa lako; hiyo ndio itakuwa MWISHO wa pesa za BURE??? Hauna KAZI haujachaguliwa kokote UVCCM umepandikizwa - Umeona bila kufuata Demokrasia


1. EVIDENCE # 1 Usidhani ya kuwa utastarehe na wizi wa pesa za walipakodi sababu umejificha ndani ya CCM


1176348_199274890246778_2066488784_n.jpg



Haya ndio Maneno uliyoyasema " Namshukuru mungu nimefika salama Mwanza.sasa mapambano yameanza yanaanza kesho simiyu himahima wana simiyu na wanamara hoooodiiiiiiiiii!!!!!!!!"
 
Hongera sana Zitto kwa hili watu wengi wanahoji kwa nini serikali haijatenga pesa kwa ajili CAG kwenda kukagua vyama vya siasa hivi nyinyi mlitegemea CCM watenge pesa kwq ajili ya ukaguzi wakati wao wenyewe wanajua wana madudu ya kutisha? Hongera Zitto na PAC kwa kumfunga paka kengele
 
Last edited by a moderator:
Kupeleka tu mahesabu inaonyesha kwamba wanajua wajibu wao.
Bila shaka umemsikia CAG anasema kwamba hana fungu la kufanyia audit vyama vya siasa.
Kwahiyo kwa namna yoyote ile Chadema haiwezi kulaumiwa,labda sasa ni muda muafaka bunge litenge bajeti ya kufanyia audit vyama vya siasa kwakuwa kwa kufanya hivyo ndipo mzizi wa fitna utakuwa umekatwa.

Kwa wale ambao vitabu vyao ni vichafu hata hizo audited report wanazodai kuwa nazo hazijafikishwa ofisini kwa msajili kwahiyo hata wao ccm hawajakaguliwa. #FACT
Asante Mura,
Hizi miwani wanazovaa watu fulani huwa zinawaonyesha CHADEMA tu! Pole zao.
 
Sakata linaloendelea nchini la ruzuki ya vyama vya siasa bila ya chembe ya shaka ni kaburi la Dr. Slaa! Naona Zitto kaamua kulipiza kisasi na safari hii kamkamata vibaya Dr. Slaa na hata Mbowe mwenyewe! Ziko taarifa za uhakika za Dr. Slaa kuchota zaidi ya 200mill kwa ajili ya safari yake ya Ulaya ambayo bado hajarudi!

Zitto alipohoji kajibiwa aache kiherehere kwani hayamuhusu. Si mara ya kwanza anajibiwa hivyo ndio maana akaamua kutafuta kamba ya kuwamaliza wabaya wake!

Kinachosikitisha tu ni kuwa anatumia nguvu kubwa kutoboa mtumbwi ambao hata yeye amepanda ndani yake!!
Haha Zitto kajishika pabaya mwenyewe kakosea kuendeleza libeneka kageuza mjadala wa vyama vyote kuwa wa chama chake na haswa katibu mkuu mmoja anakataa hata vielelezo vilivyotolewa na chama chake anajitahidi kuwaaminisha wananchi kwamba yeye si sehemu ya chadema akiambiwa hana akili za propaganda huwa anafura simply zitto ni mjinga siku zote hajawahi tengeneza plot ikafanikiwa hii imekufa kabla haijaanza yeye angeshikilia vyama vyote mpaka siku akiwaita mbele ya kamati awavae kisawasawa sasa anamuacha CAG,Msajili,Serikali Kuu na vyama vingine nane yeye yuko na chadema kasha jizika kawa maiti iliyosimama
 
kinachonikera ni wale wanaojifanya siku zote wana uchungu na nchi na huchukia ufisadi wa fedha za umma wako mstari wa mbele kuhalalisha uharamia huu wa vyama vya siasa! Huu ni unafiki, undumilakuwili na upuuzi first class!

hata kama kusoma hujui basi hata picha huoni , unaambiwa cag ndiye alitakiwa aende kwenye vyama , halafu wewe unaitolea mapovu cdm kwa lipi ?
 
Back
Top Bottom