Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Nadhani haya ndio masuala ya msingi. Kwa nini CAG hajakagua mahesabu hayo wakati yapo? Kanuni zinasemaje kama CAG hajakagua/ameshindwa kukagua? Chama ambacho mahesabu yake yanatakiwa kukaguliwa, kinatakiwa kufanya nini (kwa mujibu wa kanuni) endapo CAG ameshindwa kukagua mahesabu yake kwa wakati? Kwa mujibu wa kanuni, ni muda gani CAG amepewa kukagua mahesabu na kutoa report yake?
Mkuu umeuliza maswali ya msingi sana. Tukipata majibu yake basi ndipo tutajua kwa uhakika nano hakutekeleza wajibu wake na anapaswa kuwajibika.