Chadema hawa Virusi G55 Wakishaondoka wote Tangazeni Nafasi Zilizo wazi Vijana tuje tuzizibe haraka Sana hatuna kazi huku kitaa na Degree Zetu.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
GT

Nawashauri uongozi wa chadema Taifa kupitia nafasi zote zilizoachwa wazi na G55 ili vijana wazalendo tuje tujaze haraka sana.

Tanzania haijawa na Tatizo la nguvu kazi kwa hiyo msiwe na shaka vijana tupo tayari kwa kazi.

Jambo hili msichelewe kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo mara tu mtakapojirizisha wadudu.wote wameshaondoka.
 
Naunga mkono hoja kama alivyosema Wenje alunta continue...
 
Hawa wanaoondoka ndio waliokijenga chama. Wengi wana miaka zaidi ya 20 ndani ya chama. Acha uropokaji dogo chama sio sawa na harakati.
 

kuna maeneo mengine ni ya kujitolea. utakuwa tayari?
 
Hakuna mshahara. Upo tayari kufanya kazi kwa kujitolea?
 
Hebu tueleweshane hao G55 ni wakina nani hasa..?
Mbona sielewi ni nini kinaendelea huko CHADEMA kama wametangaza ajira tuambizane
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…